Serikali na jumuiya za kiraia zijiandae kujenga miundo mbinu kuzitumia vizuri rasilmali za nchi Balozi Seif Idd
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi pamoja na Mkewe Mama Pili Juma Iddi (kulia) wakitabasamu pamoja na Jaji Mkuu wa Tanzania Mh. Mohamed Chande Othman kwenye tafrija maalum kwenye Hoteli ya Mount Meru baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Chama cha Majaji Wanawake uliofanyika Mkoani Arusha.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Chama cha Majaji Wanawake wa Philippines Jaji Teresita Leonardo – De Castro kushoto yake pamoja...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-awbFc4vtGoM/U_TJXzs2JWI/AAAAAAAGA8g/ZQX7xu2_-oo/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Balozi Seif Ali Idd akutana na Uongozi wa Jumuiya Watanzania wanaosoma Nchini Korea ya Kusini { KOIKA }
Rais wa KOIKA aliyekuwa kinara wa Ujumbe wa Viongozi Wanne wa Jumuiya hiyo Ndugu Steven Katemba alieleza hayo wakati wa mazungumzo yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Nyumbani kwake Mazizini Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Nd. Steven...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HmD9DW_SbcI/VWh2UE-9pFI/AAAAAAAHapQ/2iYZ3Fo8014/s72-c/166.jpg)
TAASISI ZA SERIKALI ZAASWA KUBINI MBINU MKAKATI KATIKA UFANISI WA KAZI-BALOZI SEIF ALI IDDI
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Watendaji wa Taasisi za Serikali wana wajibu wa kutumia vipaji walivyojaaliwa kuwa navyo katika kubuni mbinu na mikakati watakayohisi kwamba inaweza kutaleta faida na ufanisi katika maeneo yao ya kazi sambamba na Serikali Kuu kwa jumla.
Alisema faida ya ubunifu watakaoutumia watendaji hao utaongeza kasi ya uwajibikaji endapo wataendelea kushikamana baina yao katika...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8mxIt0kQVpw/UxR05KjDFjI/AAAAAAAFQyQ/4M6q8iOOU88/s72-c/unnamed+(2).jpg)
Balozi Seif Ali Idd awapongeza Viongozi na Wanachama wa CCM wa Tawi la Mafufuni,Bumbini kwa uamuzi wao wa kujenga Tawi jipya la CCM
Balozi Seif alisema hayo wakati akikabidhi mchango wa Shilingi Milioni moja kwa ajili ya uwezekaji wa Tawi hilo kufuatia ahadi aliyoitoa ya kusaidia harakati za ujenzi wa Jengo hilo mchango alioukabidhi kwa uongozi wa Tawi hilo hapo Ofisini...
9 years ago
MichuziBalozi Mulamula afungua Mkutano wa Asasi za Kiraia wa Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Maalim Seif, Balozi Idd wachimbana
MAKAMU wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Idd na Makamu wa Kwanza, Maalim Seif Sharif Hamad, wameingia katika vita ya maneno kuhusu rasimu ya katiba, masuala ya Muungano...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632pmp4aAFlmBUU3Bw1i*3OY9RBDV9muHtVY5cPb60t13ptQAQDU9jAvH**hGi-WvkSSw7d*OfJt0wHj1Iknvzo4o/baloziseifidd.jpg?width=650)
BALOZI SEIF IDD AZINDUA MAONYESHO YA SABASABA DAR
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9pUwDvuXLIo/U8vFYX6DDgI/AAAAAAAF4EI/zDD0NX3C4KM/s72-c/540.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDD AKUTANA NA WANA CCM WA NUNGWI
Alisema Wanasiasa wasifikirie kwamba anapokwenda majimboni hasa katika maeneo yanayoongozwa na Upinzani wakadhani ya kuwa anakwenda kuvuruga siasa za vyama vyengine vya upinzani.
Balozi Seif alitoa kauli hiyo wakati akizungumza na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EcoBe2dBmhE/VSLoV0J2qMI/AAAAAAAHPbs/E03AQkmKUjU/s72-c/229.jpg)
Balozi Seif Idd azungumza na Viongozi wa Mkoa wa Magharibi, Zanzibar
![](http://4.bp.blogspot.com/-EcoBe2dBmhE/VSLoV0J2qMI/AAAAAAAHPbs/E03AQkmKUjU/s1600/229.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vqNZRuSiv9k/VSLoZGtDPEI/AAAAAAAHPcA/yqfcD8mILpM/s1600/234.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Sutd8dFv_5k/VSLoV6Fr79I/AAAAAAAHPbw/fynYB7GnjKY/s1600/222.jpg)
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF IDD APOKEA MSAADA WA KOMPYUTA KUTOKA KAMPUNI YA ZTE
.................................................
Kampuni ya Kimataifa ya Mtandao wa Mawasiliano ya Kisasa ya ZTE yenye Makao Makuu yake Nchini Jamhuri...