Serikali ya Tanganyika yaibuliwa katika Rasimu ya pili
Tume ya Mabadiliko ya Katiba imetoa Rasimu ya Pili ya Katiba ikiwa na mambo sita mpya, huku ikiendelea kupendekeza Muungano wa Serikali tatu na kurejea kwa nchi ya Tanganyika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox7EJyFayh9ZzAfavrOqqOHe4t72q9MDqWKaDPxUoGXntJhOVaDis4B0dFtoZgU2J4pyL4afrCfepy3AXw7PyVN3/rasimu1.jpg?width=650)
10 years ago
MichuziKITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHATOA TAARIFA KUHUSU AWAMU YA PILI YA KAMPENI YA KUSAMBAZA UELEWA WA RASIMU YA PILI-KAMPENI GOGOTA
Picha/Habari na Dotto Mwaibale
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OJaNpSvkHVU/XmefzdfTmpI/AAAAAAALic8/O5t1lKOORFAjztCgwCKChGFtsB40xKNZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_1AA-768x512.jpg)
SERIKALI YAPITIA RASIMU YA MUONGOZO WA KUANDAA MPANGO WA RASILIMALI WATU KATIKA UTUMISHI WA UMMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OJaNpSvkHVU/XmefzdfTmpI/AAAAAAALic8/O5t1lKOORFAjztCgwCKChGFtsB40xKNZQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_1AA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_2AAA-1024x682.jpg)
Mkurugenzi Msaidizi wa Mipango ya Rasilimaliwatu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LHPVeO57LNY/VK4OkfwQ_fI/AAAAAAAG78I/2SJuCLZcbo0/s72-c/110942468.png)
Serikali yatumia shilingi bilioni 881 katika mradi wa REA Awamu ya Pili
![](http://4.bp.blogspot.com/-LHPVeO57LNY/VK4OkfwQ_fI/AAAAAAAG78I/2SJuCLZcbo0/s1600/110942468.png)
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Rasimu ya pili ya Katiba Mpya yakamilika
Hatimaye Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Mwenyekiti wake, Jaji Joseph Warioba imekamilisha kazi ya kuboresha rasimu ya kwanza na kupata rasimu ya pili ya Katiba Mpya tayari kwa hatua nyingine.
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Rasimu ya Pili ya Katiba hakuna cha kujadili
Juzi Rais Jakaya Kikwete alitoa maoni yake kuhusu muundo wa Muungano anaoutaka. Alifanya hivyo wakati alipokuwa akizindua Bunge Maalumu la Mabadiliko ya Katiba mjini Dodoma.
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Rasimu ya pili ya Katiba ilivyozima dua ya CCM
Baada ya kutoka Rasimu ya kwanza ya Katiba mnamo Juni 3, 2013, pamoja na mambo mengine, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama mojawapo ya Mabaraza ya Katiba kilikosoa muundo wa Jamhuri ya Muungano hasa kwa kuwa rasimu hiyo ilipendekeza uwepo wa Serikali tatu.
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Tume ya Katiba kukabidhi rasimu ya pili Desemba 30
Tume ya Mabadiliko ya Katiba itakabidhi rasimu ya pili ya Katiba kwa Rais Jakaya Kikwete pamoja na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein, Desemba 30, mwaka huu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania