Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA WA MKOA WA RUVUMA

SAFARI: Wataalamu Kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakielekea kukagua mradi wa kilimo cha Karafuu wa kikundi cha ujasiriamali cha ushindi uliopo katika kijiji cha Mkongotema Kata ya Mkongotema Tarafa ya Madaba Halmashauri ya Songea Jimbo la Peramiho uliopo umbali wa Kilometa 106 kutoka Ruvuma mjini. Timu ya wataalamu kutoka Wizara ya Habari wakielekea kukagua mradi wa kilimo cha Karafuu cha kikundi cha ujasiriamali cha Ushindi uliopo katika kijiji cha Mkongotema...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TIMU YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO YAKAGUA MADARAJA LUHEKEI MKOANI RUVUMA

Meneja wa wakala wa barabara (TANROADS) mkoani Ruvuma, Mhandisi Abraham Kissimbo akizungumza na timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ilipofika ofisini kwake. Meneja wa wakala wa barabara (TANROADS) mkoani Ruvuma, Mhandisi Abraham Kissimbo akitoa maelekezo kwa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ilipofika ofisini kwake. Timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ikijionea...

 

10 years ago

Vijimambo

OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Mapema wiki iliyopita Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ilitembelea miradi ya maendeleo katika maeneo mbalimbali nchini ili kukagua utekelezaji wake. Miradi hiyo ni pamoja na Kituo cha kuzalisha samaki Morogoro, Skimu ya Umwagiliaji Iringa vijijini, Maghala ya COWABAMA Iringa Vijijini, Ujenzi wa Barabara ya Iringa – Dodoma, Bwawa la Mtera, Ujenzi wa Barabara ya Manyoni – Itigi, utandikaji wa Reli eneo kati ya Kitaraka na Malongwe, Shamba la Kitengule, One Stop Border Post Mutukula, Mkongo wa...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA MVOMERO YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA CHUO KIKUU MZUMBE

Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Mvomero ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Mwl. Mohammed Utali ameupongeza uongozi wa Chuo kikuu Mzumbe kwa kuwa na maamuzi yenye tija kwa Chuo na Taifa kwa kuwekeza kwenye ujenzi wa vyumba vya madarasa,, kumbi za mikutano na ofisi za wafanyakazi kwa kutumia mapato yake ya ndani katika ujenzi wa jengo jipya nala kisasa lenye ghorofa nne eneo la Maekani Kampasi Kuu.

Hayo ameyasema wakati akikagua maendeleo ya ujenzi wa mabweni...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAITAKA SERIKALI KUONGEZA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO YA JAMII

Na Mwandishi Wetu Arusha

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka Serikali kuongeza na kutoa fedha za miradi ya maendeleo ya jamii katika Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini.

Akitoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inayosimamia Taasisi ya Maendeleo ya Jamii leo tarehe 16/03/2020 mkoani Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba ametaka ...

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA DAR YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki akizungumza na wajumbe hao katika Manispaa ya Kinondoni kabla ya kuanza kwa ziara. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Madabida na Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda. Wajumbe wakiwasili Kata ya Mabwepande kukagua ujenzi wa Hospitali ya Mabwepande. Mhandisi wa Majengo wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Mhandisi Brighton Kimaro akiwaongoza Meya wa Manispaa hiyo Yusuf Mwenda (kushoto), Mkuu wa Mkoa...

 

9 years ago

Dewji Blog

UN, Serikali washukuru wakazi wa Singida kujimilikisha miradi ya maendeleo

IMG_4100

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akisalimiana na mmoja wa watendaji wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida mara tu alipowasili kijiji cha Puma kukagua mradi wa ufugaji kuku wa kusaidia watu wanaoishi na VVU unaofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) kupitia TACAIDS. Wa pili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Parseko Kone.

Na Modewjiblog team, Singida

MRATIBU Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa...

 

9 years ago

Vijimambo

MKUTANO KATI YA SERIKALI YA TANZANIA NA YA JAPANI JUU YA MIRADI YA MAENDELEO

Mhandisi Happiness Mgalulla, Naibu Katibu Mtendaji, Ofisi ya Rais Tume ya Mipango (aliyesimama) akisoma hotuba wakati wa ufunguzi wa mkutano huo. Kushoto kwake ni Bw. Maduka Kessy, Naibu Katibu Mtendaji, Ofisi ya Rais Tume ya Mipango. Wengine ni Bibi Florence Mwanri, Naibu Katibu Mtendaji, Ofisi ya Rais Tume ya Mipango (wa kwanza kulia), Bw. Paul Sangawe, Naibu Katibu Mtendaji, Ofisi ya Rais Tume ya Mipango (wa tatu kulia). Picha na maelezo na Thomas Nyindo Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango

 

5 years ago

Michuzi

kamati ya hesabu za serikali za mitaa yakoshwa na miradi ya maendeleo Makambako

Na Amiri kilagalila,Njombe

Kamati ya kudumu ya bunge ya hesabu za serikali za mitaa LAAC imeridhishwa na hali ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya halmashauri ya mji wa Makambako mkoani Njombe,na kuahidi kuongeza nguvu serikalini ili kusaidia ukamilishwaji wa ujenzi wa majengo ya makao makuu ya halmashauri hiyo.

Makamu mwenyekiti wa kamati ya LAAC Abdalah Chikota ambaye ni mbunge wa jimbo la Nanyamba amesema hali ya utekelezaji wa miradi katika halmashauri ya mji wa Makambako inaridhisha...

 

5 years ago

Michuzi

NABII JOSHUA AIPONGEZA SERIKALI KWA KUFANIKISHA MIRADI MINGI YA MAENDELEO



 Muonekano wa Soko Kuu la Morogoro ambalo limejengwa kisasa. (Picha na Sauti ya Uponyaji)Kiongozi Mkuu wa Huduma ya Sauti ya Uponyaji Tanzania, Nabii Joshua Aram Mwantyala (kushoto) akimpongeza Mhandisi wa Manispaa ya Morogoro,Juma Ngwisu kwa kazi nzuri ya usimamizi wa Soko Kuu la Morogoro na miradi mingine. (Picha na Sauti ya Uponyaji).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani