KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA MVOMERO YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA CHUO KIKUU MZUMBE
Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Mvomero ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Mwl. Mohammed Utali ameupongeza uongozi wa Chuo kikuu Mzumbe kwa kuwa na maamuzi yenye tija kwa Chuo na Taifa kwa kuwekeza kwenye ujenzi wa vyumba vya madarasa,, kumbi za mikutano na ofisi za wafanyakazi kwa kutumia mapato yake ya ndani katika ujenzi wa jengo jipya nala kisasa lenye ghorofa nne eneo la Maekani Kampasi Kuu.
Hayo ameyasema wakati akikagua maendeleo ya ujenzi wa mabweni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yxqZN51jFu8/XlaKgOsYYFI/AAAAAAALfkE/Hq77cbPEG8QrIz_0hB7A9QN5r4J3RsIcQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WANAWAKE CHUO KIKUU MZUMBE WAKABIDHI JENGO LA CHOO CHA WAVULANA SHULE YA MSINGI MZUMBE
Ikiwa zimebaki siku chache kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani ambayo huadhimishwa Machi 8 kila mwaka, Jumuiya ya Wanawake ya Chuo Kikuu Mzumbe wakiongozwa na Makamu Mkuu wa Chuo wamekabidhi choo cha Wavulana kwa shule ya msingi Mzumbe baada ya kukifanyia ukarabati.
Akizungumza kwa niaba ya Makamu Mkuu wa Chuo wakati wa hafla ya makabidhiano, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Fedha na Utawala Prof. Ernest Kihanga, ameipongeza Jumuiya ya Wanawake wafanyakazi wa Chuo Kikuu...
10 years ago
Michuzi18 Dec
MKUU WA WILAYA YA MAKETE AONGOZA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA KUKAGUA ENEO LILILOKUMBWA NA MADHARA YA UPEPO MKALI
Ametoa agizo hilo hivi karibuni wakati alipotembelea eneo lililopata maafa ya kuezuliwa nyumba na upepo mkali ulioambatana na mvua na kugundua kuwa ujenzi hafifu wa nyumba zao nao umechangia kwa kiasi kikubwa hasara hiyo
"Wananchi wanajenga nyumba...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RkTMDD3EyMw/VVWzQvGW1KI/AAAAAAAHXbk/omfk-fWR_VU/s72-c/mkongotema%2B2.jpg)
SERIKALI YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA WA MKOA WA RUVUMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-RkTMDD3EyMw/VVWzQvGW1KI/AAAAAAAHXbk/omfk-fWR_VU/s640/mkongotema%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hdVjqbl-_-w/VVWzQl05RoI/AAAAAAAHXbg/0z3qeie2Pmc/s640/mkongotema%2B1.jpg)
10 years ago
VijimamboOFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO
10 years ago
MichuziTIMU YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO YAKAGUA MADARAJA LUHEKEI MKOANI RUVUMA
11 years ago
Habarileo18 Dec
Chuo Kikuu Mzumbe kuongeza wanafunzi
UONGOZI wa Chuo Kikuu Mzumbe Kampasi ya Mbeya umedhamiria kuendelea kuongeza idadi ya wanafunzi mwaka hadi mwaka, ili kutekeleza Sera ya Serikali ya kupanua elimu ya juu na kuchangia kufikia malengo ya mileniamu.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eh-smpWaylc/VISWP7GrPMI/AAAAAAAG1yU/ep5z6oS3DYk/s72-c/IMG_3237.jpg)
nondozzz chuo kikuu Mzumbe mjini morogoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-eh-smpWaylc/VISWP7GrPMI/AAAAAAAG1yU/ep5z6oS3DYk/s1600/IMG_3237.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1PANWYWGKrc/VISWeZK-dsI/AAAAAAAG1yk/IaLhmVWzMzU/s1600/IMG_3272.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-b-vf1oFFkX0/VISWc_MiNMI/AAAAAAAG1yc/ftjVmUHFjS0/s1600/IMG_3274.jpg)
11 years ago
Habarileo21 Dec
Chuo Kikuu Mzumbe kufunda wataalamu mafuta na gesi
CHUO Kikuu Mzumbe, Kampasi ya Dar es Salaam, kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Stellenbosch, cha Afrika Kusini kinaandaa mitaala ya programu ya shahada ya uzamili katika menejimenti ya miradi mikubwa ya sekta za madini, gesi na mafuta.
10 years ago
Uhuru NewspaperRAIS JAKAYA KIKWETE AKIWA CHUO KIKUU MZUMBE