Serikali yazionya NGOs kuhusu siasa
Serikali imesema ni kosa kwa Mashirika Yasiyo ya Kisheria(NGOs) kujihusisha na masuala ya siasa na kuwa ikibainika kufanya hivyo, shirika au taasisi hiyo itafutiwa usajili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog
SERIKALI YATOA MSIMAMO KUHUSU VYAMA VYA SIASA VINAVYOTAKA KUSHIRIKIANA KINYEMELA UCHAGUZI MKUU (VIDEO)
Na Jacquiline Mrisho - Dodoma
Vyama vya Siasa ambavyo vinatarajia kushirikiana wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu bila kufuata Sheria ya Vyama vya Siasa kama ilivyoainishwa kwenye Kifungu Na.11 (a) cha Sheria hiyo vitakuwa vimevunja sheria.
Onyo hilo limetolewa leo jijini Dodoma na Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, wakati alipofanya mahojiano kuhusu msimamo wa ofisi yake kwenye suala la ushirikiano wa vyama vya siasa wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Nyahoza...
11 years ago
GPLSERIKALI KUBORESHA MICHANGO YA NGOs KATIKA JAMII
11 years ago
Habarileo17 May
Wabunge waonya serikali utitiri wa NGOs za dini
WABUNGE wameshauri Serikali kuwa makini katika kusajili asasi za kiraia, hasa za madhehebu ya dini ili kudhibiti kuwepo utitiri wa vyama hivyo vya kijamii.
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
TPDC yazionya kampuni
SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limezitaka baadhi ya kampuni zinazofanya utafiti wa mafuta kuacha kutoa taarifa za upotoshaji kuwa Tanga, Kilosa, Kilombelo na Kilimanjaro kumegunduliwa mafuta. Akizungumza na...
5 years ago
Michuzi
10 years ago
Habarileo10 Apr
Tanzania yazionya nchi zenye nyuklia
TANZANIA imetaka ihakikishiwe usalama kutoka kwa nchi zenye silaha za nyuklia, huku ikizihimiza nchi hizo kuacha kutoa vitisho kwa nchi nyingine.
11 years ago
Michuzi04 Jul
10 years ago
Dewji Blog07 Nov
Vyama vya siasa vyampinga Kafulika kuhusu IPLT
Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila NCCR-Mageuzi.
Na Mwandishi wetu
MUUNGANO wa Vyama vitano vya siasa umewataka wanasiasa kuacha kumpiga Mwenyekiti wa Kampuni ya IPTL na PAP, Harbinder Saign Sethi, kwamba amehusika na upotevu wa sh bilioni 200 katika Akaunti ya Escrow.
Vyama hivyo vitano ni Chana Cha Kijamii (CCK), Chama cha wa Kulima (AFP), Chama cha Sauti ya Umama (SAU), UMD na Demokrasia Makini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Katibu chama cha SAU, Ali Kaniki, alisema wanapenda...
11 years ago
GPL‘TANZANIA KWANZA’ YAVISHAMBULIA VYAMA VYA SIASA KUHUSU KATIBA