Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘TANZANIA KWANZA’ YAVISHAMBULIA VYAMA VYA SIASA KUHUSU KATIBA

Mwenyekiti Tanzania Kwanza Nje ya Bunge, Augustino Matefu, akizungumza na waandishi wa habari  (hawamo pichani).
Kushoto ni Katibu wa Tanzania Kwanza, Othman Suleiman, kulia ni Mwenyekiti Augustino Matefu.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAJA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI WA KUDUMU AMBAVYO VINASTAHILI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Monica Laurent (kushoto), akizungumza na wanahabari wakati akimkaribisha msemaji wa mkutano huo kuzungumza na waandishi.Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa nchini, Sisty Nyahoza (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu ambavyo ninastahili kushiriki uchaguzi mkuu. Kulia ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Vyama vya siasa vyampinga Kafulika kuhusu IPLT

escrow

Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila NCCR-Mageuzi.

Na Mwandishi wetu

MUUNGANO wa Vyama vitano vya siasa umewataka wanasiasa kuacha kumpiga Mwenyekiti wa Kampuni ya IPTL na PAP, Harbinder Saign Sethi, kwamba amehusika na upotevu wa sh bilioni 200 katika Akaunti ya Escrow.

Vyama hivyo vitano ni Chana Cha Kijamii (CCK), Chama cha wa Kulima (AFP), Chama cha Sauti ya Umama (SAU), UMD na Demokrasia Makini.

Akizungumza jijini Dar es Salaam, Katibu chama cha SAU, Ali Kaniki, alisema wanapenda...

 

11 years ago

Habarileo

Vyama vya siasa vyaonywa Katiba mpya

KAMATI ya Tanzania Kwanza nje ya Bunge Maalumu la Katiba, imevitaka vyama vya siasa kuweka maslahi ya nchi mbele katika mchakato wa kuunda Katiba mpya.

 

10 years ago

Vijimambo

Kiama vyama vya siasa, Mageuzi kuwalazimu kubadilisha Katiba zao, Lengo ni pamoja na kufuta vikundi vya ulinzi

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi
Mtikisiko mkubwa unavikabili vyama vya siasa nchini, vinapoandaliwa kufanya mabadiliko ya lazima kwa Katiba zao, ili pamoja na mambo mengine, vifute vifungu vinavyohalalisha uhai wa vikundi vya ulinzi na usalama.

Hatua hiyo inatokana na kubainika kuwapo kwa vifungu vya katiba hizo hasa vinavyohusu uwapo wa vikundi vya ulinzi na usalama na hivyo kukiuka Katiba ya nchi inayotoa haki hiyo kwa majeshi ya ulinzi na usalama.

Taarifa za uhakika...

 

11 years ago

Mwananchi

Vyama vya siasa vyataka mwafaka wa Katiba Mpya

 Vyama vya siasa vimekubaliana kutafuta mwafaka wa agenda za Katiba Mpya kabla ya kuanza kwa Bunge la Katiba.

 

10 years ago

GPL

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATOA TAMKO KUHUSU CHAMA CHA TPP

Msajili msaidizi upande wa usajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza, akitoa taarifa yake kwa wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakichukua tukio hilo. Wanahabari wakimsikiliza kwa makini, msaidizi upande wa usajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza. ... Nyahoza akitoa ufafanuzi wa jambo, kulia kwake ni, Mkurugenzi Utawala na Raslimali Watu, Emmanuel Kayuni kutoka ofisi ya msajili wa vyama vya siasa. (PICHA NA DENIS...

 

10 years ago

GPL

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKUTANA NA VYAMA VYA SIASA KUHUSU MAJIMBO MAPYA

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Uchaguzi, Julius  Malaba,  akizungumza jambo. Sehemu ya viongozi wa vyama vya siasa katika mkutano huo. Prof. Lipumba akichangia katika mkutano…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani