Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shamsa Ford Atoboa ‘Negative Sides’ Zake 20 Usizozijua

Staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford ameandika haya kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa instagram.

Morning my people..hizi ndo my negative sides

(1) Nina wivu kupitiliza kwa mtu ambae nampenda ingawa sioneshi

(2) Nina kaukorofi nikiudhiwa

(3) Nina hasira sana

(4) Ni mtu ambae nikiamua langu nimeamua

(5) Mimi ni msiri mnooooo

(6) Ni mtu ambae ni mzito kusema shida yangu niko radhi nife nayo kimiya kimiya

(7) Ni mgumu kusamehe

(8) Mtu anaweza kunikosea na nikakaa kimiya...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Hatimaye Shamsa Ford Atoboa Kuwa Nay ndio “EndlessLove” Wake

Staa mrembo wa Bongo Movies Shamsa Ford ambae siku za hivi karibuni alikanusha waziwazi alipokuwa akihojiwa na vy mbo mablimbali vya habari juu ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi wa Staa Nay wa Mitego hatimaye jana kupitia ukurasa wake mtandaoni alibandikaa picha yake pamoja na ya Nay ankuandika maneno ya kimahada yaliyosomeka “Miss u so much my endlesslove.”

Kitendo ambacho kinathibitisha kuwa wawili hawa wapo kwenye penzi moto moto

Siku za hivi baribuni zilisambaa picha za wawili hawo...

 

11 years ago

GPL

SHAMSA FORD: POMBE IMENIZEESHA

Na Imelda Mtema
DIVA wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford, amefunguka kuwa ameamua kuacha pombe kwa sababu ameona haina faida yoyote kwake zaidi ya kumzeesha na kumfanya aonekane kama mama mtu mzima. Shamsa Ford. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, juzikati jijini Dar es Salaam, Shamsa alisema: “Nilikuwa napiga sana mtungi, yaani nilikuwa nikipata nafasi ya kunywa, napiga balaa lakini naona hakuna cha maana, sanasana...

 

11 years ago

GPL

SHAMSA FORD NA HOFU YA KIFO

Stori: Gladness Mallya DUH! Staa  wa filamu Bongo, Shamsa Ford amefunguka kuwa anakiona kifo chake hivyo anawaomba msamaha aliowakosea na kuwasamehe waliomkosea. Staa  wa filamu Bongo, Shamsa Ford akipozi. Akistorisha na gazeti hili, Shamsa alisema ameamua kuanza kujisafishia njia kwani yeye ni binadamu na umauti unaweza kumkuta muda wowote hata kama akiwa mzima. “Ninaomba msamaha kwa wote niliowakosea kwani mimi ni...

 

9 years ago

Global Publishers

Shamsa Ford hana aibu!

shamsaaaaMsanii wa filamu, Shamsa Ford.

Imelda Mtema
Hana aibu! Msanii wa filamu, Shamsa Ford hivi karibuni alizua gumzo baada ya kutupia picha kwenye mtandao ikimuonesha akiwa nusu utupu mbele ya Wamasai walioonekana kupata mfadhaiko.

Mara baada ya msanii huyo kuiwekaN mtandaoni picha hiyo, mashabiki wake wengi walimchana kwa kuacha maungo yake wazi tena pembeni wakiwepo watoto.

Akiizungumzia picha hiyo, Shamsa alisema kuwa, aachwe avae anavyotaka kwani hakuna mtu anayeweza kumuingilia kwenye maisha...

 

11 years ago

GPL

SHAMSA FORD AGOMA KUOLEWA

Na Mwandishi Wetu STAA wa filamu Bongo ‘Shamsa Ford’ amegoma kuolewa siku chache baada ya tarehe ya harusi yake kufika kwa madai kuwa mambo yalivyopangwa sivyo alivyotarajia. Shamsa Ford. Habari kutoka kwa chanzo chetu cha kuaminika, zinasema kuwa harusi ya Shamsa ilikuwa ifanyike kati ya Desemba 24 na 25, mwaka huu lakini aligoma kwa vile walikwenda kinyume na makubaliano ya tarehe husika. “Unajua mwanzoni...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Shamsa Ford ajivunia mapokezi ya Chausiku

MWANADADA anayetamba katika filamu ya ‘Chausiku’, Shamsa Ford amewashukuru wapenzi wake kwa kuipokea vyema filamu hiyo na kwamba anauhakika kati ya kazi zote hiyo amecheza vizuri zaidi. Akizungumza jijini Dar...

 

10 years ago

GPL

SHAMSA FORD NAYE AMSALITI NAY

Brighton masalu
USALITI? Huenda maumivu ya mapenzi yakazidi kumuandama msanii wa muziki Bongo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ baada ya gazeti hili kunasa picha za mchumba’ke Shamsa Ford akiwa katika mahaba mazito na msanii mwanaume mwingine aliyedaiwa kuwa ni mchepuko wake, Rammy Galis, Amani lilifuatilia hatua kwa hatua. Staa wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford akipozi kimahaba na Rammy Galis. Ishu hiyo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford Amfunda Aunt Ezekiel

Staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford ameamua kumfunda mwezie Aunt Ezekiel juu ya kulinda familia yake. Aunt Ezekiel ambaye amejifungua hivi kalibuni mototo wa kike aliyempa jina la Cookie, alipewa mafunzo hayo kupitia ukurasa wake wa  instagram baada ya Aunt  kuweka picha iliyomuonesha baba wa mototo wake  Moses Iyobo ambaye pia ni dansa wa msaanii wa muziki Diamond Platnum akiwa amekaa pembeni ya mototo wao akimuangalia.

Katika picha hiyo Aunt aliandika maneno”Daddy’s home sio kwa kutaka muda...

 

10 years ago

GPL

SHAMSA FORD: NAWACHUKIA WANAOPENDA KUJIKWEZA

Muigizaji wa Bongo Movie, Shamsa Ford. Gabriel Ng’osha NI wiki nyingine tena mpenzi msomaji wa safu hii ya Dukuduku. Leo tunaye muigizaji wa Bongo Movie, Shamsa Ford akifunguka kuwa hapendi au kusikia watu wanashindana kwenye vitu vya kijinga. “Huwa nawashangaa hao wanaojiita ni watoto wa mjini, kuna wakati utakuta wanashindana katika mambo ya kijinga, mfano mwenzake kafanya hiki basi na yeye pia anataka akifanye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani