SHAMSA FORD: SINA RAFIKI STAA BONGO MOVIES!
![](http://api.ning.com:80/files/iPu63cE5yCDDnBlphe0m*sBK72x5G3xZm3o98CYU-b4YzJp4p451xn*OdCqLg6WS5SLlek7ojzyU169nfZAYnrLnD61QKiFz/shamsa.jpg)
Stori: Imelda Mtema STAA wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford amefunguka kuwa hana rafiki yeyote maarufu ndani ya Bongo Movies. Staa wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford. Akizungumza na paparazi wetu, Shamsa alisema kuwa tangu huko nyuma alishawafuta marafiki wote ambao ni wasaliti na badala yake mtu pekee ambaye ni rafiki yake ni mwigizaji mwenzake, Wellu Sengo ambaye anachipukia. “Unajua ni bora uwe hata na rafiki mmoja...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies28 Dec
Shamsa Ford: Bongo Movies Nzima, Irene Uwoya Ndio Mwenye Roho Nzuri Kuliko Wote
Mwigizaji wa filamu,Shamsa Ford amefunguka kwa kusema yake ya moyoni kuhusu ni kwajinsi gani mwigizaji mwenzake, Irene Uwoya anavyojitoa kwa wenzake, kwa kusema kuwa Irene ndie mwenye roho nzuri kuliko wanawake wote wa Bongo Movie.
Mara baada ya kuiweka picha hiyo hapo juu ya Irene Uwoya Shamsa aliandika;
“Kwa mtazamo wangu mimi katika wanawake wa bongo movie nzima hamna mwanamke anayempata iren kwa roho nzuri, ni mtu ambaye anapenda wenzake, anaweza akatumia hata senti yake ya mwisho...
10 years ago
Bongo Movies16 Mar
Shamsa Ford: Hawa Ndio Mastaa Wangu wa Tano wa Kiume Hapa Bongo
“Kwa upande wangu mimi kuna wanaume wa 5 ambao huwa nasemaga ni mastaa kupitiliza, yaani naamanisha akipita mtaani ni shida na kila mtu lazima ajue msanii kapita.. (1)Mzee majuto (2)Mboto (3)Kingwendu(4)Joti(5)Jacob……Hawa watu kwanza wanaongoza sana kupendwa na watoto yaani wakipita mtaani ni shida.aisee Mungu awabariki....na wewe nitajie wako 5 unaona wakipita mtaani kwako inakuwaga ni hekaheka”-Shamsa aliandika mtandaoni.
Hebu na sisi tuwataje wetu.
10 years ago
Bongo Movies11 Apr
Hawa Ndio Mastaa 10 Wakiume wa Bongo Movies Ambao Shamsa Anawakubali
Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford ambae ni Binamu Wa Nay Wa Mitego amewataja hawa kua ndio wakali wake.
“Mambo vipi Tanzania? Leo ningependa kuwatajia wanaume 10 ambao huwa napenda sana uigizaji wao, haimanishi kwamba wao ndo the best kuliko wengine but napenda tu sanaa yao. (1) Single Mtambalike ‘Richie’ (2) Marehemu Adamu Kuambiana (3) Marehemu Kanumba (4) Muhogo Mchungu (5) Swebe (6)Tino (7) Gabo (8) Vincet Kigosi ‘Ray’ (9) Bishanga Bashaiga (10) Cloud112....nawakubali sanaaaaa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sTg6vyO*vvEdJfuw1v0NazLOQEgFOQYa8GKAq1i6egmaFlfz-A9F3-4qZSGPe50-bHYYVuK2IxcTcoFEDPX9uEsh6GVkU9*-/shamsa.jpg?width=650)
SHAMSA FORD: POMBE IMENIZEESHA
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Shamsa Ford hana aibu!
Msanii wa filamu, Shamsa Ford.
Imelda Mtema
Hana aibu! Msanii wa filamu, Shamsa Ford hivi karibuni alizua gumzo baada ya kutupia picha kwenye mtandao ikimuonesha akiwa nusu utupu mbele ya Wamasai walioonekana kupata mfadhaiko.
Mara baada ya msanii huyo kuiwekaN mtandaoni picha hiyo, mashabiki wake wengi walimchana kwa kuacha maungo yake wazi tena pembeni wakiwepo watoto.
Akiizungumzia picha hiyo, Shamsa alisema kuwa, aachwe avae anavyotaka kwani hakuna mtu anayeweza kumuingilia kwenye maisha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXsOYm4*bfechRvW-ZTv2j2JBxhUqxGHEitlp*0jJzIQbBhNVlLVvCOfBxAyMUgT-fqjMj-RodrUZ6gjieetY7h1/SHAMSHA.jpg?width=650)
SHAMSA FORD AGOMA KUOLEWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04asF*SQblaZ*F6SKKQLmrLlJHCwGXlxdzsjpYEAAlVRQ2jzIB*bWDt-lOZIloh1Ya8CmxijnhaEm4gmch2CuR8RK/shamsa.jpg?width=650)
SHAMSA FORD NA HOFU YA KIFO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*54juLYOTrNQqP948LddwURh5T81edcovkCwR8Iv0xFsF6wQmcXVC06TYYRX4GgcAJrD6SVFHwR5Y0d2O5YeJ2PutjeIk2hG/SHAMSHA.jpg)
SHAMSA FORD NAYE AMSALITI NAY
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qUZbsOiEeqnxh37lP4GGIgT*iD5v-5dnN2JhANT*wNcZyi5cc1mVp0jHTyVfJKCAl*CFsQw4htHyHWA4SlkAbuLXc7uY5mpV/IMG_0006.jpg?width=650)
SHAMSA FORD: NAWACHUKIA WANAOPENDA KUJIKWEZA