SHANGAZI WA BOBBI KRISTINA ASEMA HABARI ZA KUONDOLEWA MASHINE NI ZA UWONGO
Habari za kuondolewa mashine anayotumia Bobbi Kristina ili aendelee kuishi si za kweli habari hizo zilizokuwa zimezagaa kwenye mitandao ya kijamii ndani na nje ya Marekani zilisema familia ya Bobbi Kristina ilikubaliana iondoe mashine ili mtoto huyo wa afe siku moja na ile aliyokufa mama yake Whitney Houston Februari 11 kitu ambacho shangazi huyo wa Bobbi Kristina amekataa na kusema si cha kweli.
Bobbi Kristina alikutwa ameanguka bafuni huku kichwa kikiwa kikiwa ikimeinamia chini na kuonekana...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo506 Feb
Madaktari wamuomba Bobby Brown awaruhusu wazime mashine inayomsaidia Bobbi Kristina kupumua sababu hakuna matumaini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gfjCgTesl5OsY3NRIzLUGEuqvsI9t*MK88t9vmofYJwHFN*ukFlBnUNn-wZk-ZQQe25pm*08fnef*9s4BOgxD1W-0rrARl10/bobbikristina1768.jpg?width=650)
MASTAA WAMLILIA BOBBI KRISTINA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NaiF1Kr7Q13BLDhCNLhuh1oteu6Ss6TPdc6Ds1OU*paiuIJuEDx0kMqd6Na4FYkicc4F1LBsuyy2sWdduU9VOI7x/bobbikristinab768.jpg?width=650)
BOBBI KRISTINA KUREJESHWA NYUMBANI
10 years ago
Dewji Blog27 Jul
Bobbi Kristina Brown Dies at 22
Bobbi Kristina Brown, the daughter of late music legend Whitney Houston and R&B singer Bobby Brown, died on July 26, surrounded by her family, at Peachtree Christian Hospice in Duluth, Georgia. She was 22.
“She is finally at peace in the arms of God,” the Houston family said in statement to ET. “We want to again thank everyone for their tremendous amount of love and support during these last few months.”
On Jan. 31, Bobbi Kristina was found unresponsive in her bathtub, and was then taken...
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Bobbi Kristina mwanawe Whitney afariki
10 years ago
Vijimambo03 Feb
BOBBI KRISTINA AMEANZA KUONYESHA MATUMAINI
![](http://img2.timeinc.net/people/i/2013/news/130722/bobbi-kristina-600.jpg)
Mtoto wa Whitney Houston aliyezaa na Bobbi Brown, Bobbi Kristina ameanza kuonyesha dalili nzuri baada ya siku ya jumatatu kuanza kuchezasha mamcho na madaktari kusema hiyo ni dalili nzuri na ya kutia matumaini.
Bobbi Kristina alikutwa siku ya Jumamosi akiwa amenguka bafuni akiwa ameinamisha kichwa chini huku akishindwa kupumua na kudhaniwa kudhulika na madawa ya kulevya. Madaktari wameeleza kwa sasa hali yake inatia matumaini na oksigeni imeaanza kuongezeka...
10 years ago
Vijimambo07 Feb
MCHUMBA WA BOBBI KRISTINA HUENDA AKAWA MATATANI
![](http://www.crazydaysandnights.net/wp-content/uploads/2015/02/bk2.jpg)
Habari ambazo Vijimambo imezipata, Bobbi Kristina alikutwa na michubuko ambayo bado haijajulikana imetokana na nini japo bado Polisi wanaendelea na uchunguzi ikiwa Nick Gordon na rafiki yake waliokuwepo kwenye tukio wakiwa wamehojiwa na polisi wa jimbo la Georgia.
Polisi inajaribu kutafuta saa moja kabla ya Bobbi Kristina kukutwa bafuni ni nini kilichokua kikiendelea kati ya hao wapenzi wawili. Vijimambo imepata taarifa Max Lomas rafiki ya wawili hao aliyemgundua Bobbi Kristina akiwa...