Sherehe za kumuapisha Rais mpya Dk. John Magufuli zafana jijini Dar
Rais Dk. John Magufuli akila kiapo cha kuwa Rais wa Tanzania, mbele ya Jaji Mkuu Othman Chande. Katikati ni Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue na kushoto ni Rais mstaafu Jakaya Kikwete. (PICHA ZOTE NA CATHBERT KAJUNA WA KAJUNASON BLOG).
Rais Dk. John Magufuli akiwa ameshika mkuki na ngao baada ya kukabidhiwa na wazee katika hafla ya kumuapisha iliyofanyika jana kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akila kiapo cha kuwa Rais wa Tanzania, mbele ya Jaji...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hrSEKRtUIM8/VLgutZAE_gI/AAAAAAAG9rY/iaEq_aymfxw/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Rais Kikwete ahudhuria sherehe za Kumuapisha Rais Mpya wa Msumbiji
![](http://3.bp.blogspot.com/-hrSEKRtUIM8/VLgutZAE_gI/AAAAAAAG9rY/iaEq_aymfxw/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cP7l80GWSFg/VLgutRBnw9I/AAAAAAAG9rg/Uim3yD6UtvQ/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--AbXjbZ8myo/VLgutSgjNCI/AAAAAAAG9rc/jQTRkAhAQko/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4C-_JPEIScc/VLgve4M5JVI/AAAAAAAG9rw/yXWzNVH4Ntg/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Sherehe za Miaka 50 ya uhai wa Bendi Msondo Ngoma zafana Jijini DarMsondo Ngoma zafana Jijini Dar
Bendi Kongwe ya Muziki wa Dansi hapa nchini iliyodumu kwa miaka 50 toka kuanzishwa kwake mwaka 1964,Msondo Ngoma Music Band imesherehekea Jubilei yake hiyo iliyofanyika Novemba 1,2014 katika viwanja vya TCC Club,Chang’ombe jijini Dar es Salaam na kuwakutanisha mashabiki wake lukuki kutoka sehemu mbali mbali.
Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo ya kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Bendi ya Msondo Ngoma,alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante...
9 years ago
MichuziMAANDALIZI YA SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS MPYA DK. MAGUFULI YAPAMBA MOTO JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-aFLXxtBusfU/U1uVq_ACAMI/AAAAAAAANYg/KN5NHHIBoVk/s1600/7.jpg)
SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZAFANA JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
MichuziSherehe za Kuadhimisha Siku ya Afrika Zafana jijini Dar es Salaam
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0WOyVAr7Uno/VTzVcedFLgI/AAAAAAAHTZc/Y1v8QLKh-5A/s72-c/unnamed%2B(53).jpg)
sherehe za miaka 51 ya Muungano zafana jijini Dar es salaam leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-0WOyVAr7Uno/VTzVcedFLgI/AAAAAAAHTZc/Y1v8QLKh-5A/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AZrnXR-zoKU/VTzVc43GFuI/AAAAAAAHTZk/hhSxQXWdoJg/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gyj8o4Bqh1E/VTzVb9SOqII/AAAAAAAHTZY/LBlBbkKRDJo/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
11 years ago
MichuziMHE. MEMBE ASHIRIKI KATIKA SHEREHE ZA KUMUAPISHA RAIS WA MISRI
9 years ago
MichuziRAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3bxIkxhe-tc/Vo06jrDogdI/AAAAAAADElU/fuh6Qlgm5Vk/s1600/New%2BPicture.png)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CGu-FeZzoqQ/VjI3bkQOpvI/AAAAAAAIDXg/z6eSR9JF6ao/s72-c/j11.jpg)
JK AMPONGEZA RAIS MTEUL JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM JIONI HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-CGu-FeZzoqQ/VjI3bkQOpvI/AAAAAAAIDXg/z6eSR9JF6ao/s640/j11.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang'anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli wakifurahia matokeo mara baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jioni hii Oktoba 29, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qou44moVYi4/VjI3dOuNzTI/AAAAAAAIDXo/m0sZzU3th6M/s640/j7.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10