Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sheria ya Mtandao - The Cyber Crimes Act 2015


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015

 Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini, Tanzania Bloggers Network (TBN) tunamuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kutumia mamlaka yake vyema kwa kutokupitisha muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao, 2015 unaokandamiza uhuru wa mawasiliano mitandaoni.  Muswada wa sheria ya makosa ya Mtandaoni unaainisha makosa yanayohusiana na matumizi ya mfumo wa kompyuta na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, na kuweka utaratibu wa upelelezi, ukusanyaji na matumizi...

 

10 years ago

Michuzi

MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI KUHUSU MUSWADA WA SHERIA YA MASOKO YA BIDHAA YA MWAKA 2015 (COMMODITY EXCHANGE ACT,2015)

Msomaji wa Maoni hayo Mhe. David Ernest Silinde (Mb) K.n.y Waziri Kivuli- Wizara ya Fedha 29.06.2015Kusoma maoni hayo BOFYA HAPA

 

11 years ago

Ykileo

UK PROPOSES LIFE IMPRISONMENT FOR SERIOUS CYBER CRIMES

Home Secretary Theresa May's Home Secretary Theresa May's legislative programme was announced in the Queen's Speech on Wednesday, with the Serious Crime Bill one of the changes being introduced with an eye on tackling corrupt accountants, solicitors and even cyber-criminals by giving courts tougher judicial powers. In particular, the changes will allow police to seize assets from convicted gang bosses and will widen the punishment for so-called ‘Mr Big' criminals who often partake in...

 

10 years ago

IPPmedia

Initiatives to fight cyber crimes underway


IPPmedia
Initiatives to fight cyber crimes underway
IPPmedia
The government has started taking measures against cyber-related crimes by empowering its security organs including police on how to deal with the malice. Home Affairs Deputy Minister, Pereila Silima disclosed this yesterday when speaking at the Cyber ...
Cyber Criminals Deprive Country of Sh10 BillionAllAfrica.com

all 3

 

10 years ago

Ykileo

UCHAMBUZI WA SHERIA ZA MAKOSA MTANDAO, 2015

Awali ya yote nirudie kutoa pongezi kwa serikali kwa hatua hii muhimu waliyofikia ya kuwasilisha mswada wa sheria mtandao ambao naimani kubwa itakua na majibu mazuri ya kudhibiti na kuhimili vishindo vya uhalifu mtandao nchini. Naomba itambulike Tanznaia si ya kwanza kuwa na sheria za usalama mitandao na ukweli ni kwamba tumechelewa kwa kiasi Fulani. Nchi nyingi tayari zinasheria za usalama mitandao na zimeendelea kuboreshwa kadri teknolojia inavyo endelea kukua na kubadilika.


Nitaanza na...

 

10 years ago

GPL

UCHAMBUZI WA SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO, 2015

UTANGULIZI
Sheria hii ya Makosa ya Jinai kupitia Mtandao, 2015 ina mapungufu mengi. Mapungufu hayo yamebainika kuwa, kama sheria ikipita yanaweza kuifanya nchi ikawa ni kati nchi adui za matumizi ya mtandao wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano duniani. Watanzania wote wanatakiwa kufahamu kuwa muswada ukipita utatumika nchini kote yani Tanzania Bara na Visiwani. Watanzania walio wengi hawafahamu Sheria hii inawahusu kwa...

 

10 years ago

Daily Times

Experts suggest formation of CCU for tackling cyber crimes


HumanIPO
Experts suggest formation of CCU for tackling cyber crimes
Daily Times
ISLAMABAD: A Tanzanian delegation suggested on Tuesday that Pakistan should launch an initiative for tackling cyber crimes by establishing cyber crime unit (CCU) in the police force, develop relevant legislation and formulate computer emergency ...
Cyber-Related Fraud Costs Tanzania Sh10 BillionHumanIPO
Cyber-Related Fraud Costs Country Sh10 BillionAllAfrica.com

all 6

 

10 years ago

TheCitizen

Rights activists protest passing of statistics, cyber crimes bills

>Human rights activists have blamed  the government over the new Statistics and Cyber Crime Bills approved by Parliament saying they are a violation to human rights.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani