Shilole atawanya ‘Usinikate Mood’
MWANADADA anayetamba katika tasnia ya muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, amesambaza kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Usinikate Mood’ katika vituo mbalimbali vya redio. Shilole ni mkali aliyewahi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Shilole aachia ‘Usinikate Mood’
MWANADADA anayetamba katika tasnia ya muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, amesambaza kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Usinikate Mood’. Shilole ni mkali aliyewahi kutamba na nyimbo kama ‘Paka...
10 years ago
BBC
Nigeria U17 coach in cautious mood
9 years ago
TheCitizen12 Dec
SINGLE IN THE CITY: In a good mood this holiday season
10 years ago
TheCitizen17 Dec
Panick mood within CCM as opposition gains in polls
10 years ago
TheCitizen27 May
CCM risks defeat if it ignores public mood
10 years ago
IPPmedia29 Aug
Suluhu in no compromise mood with 'artiste' opposition duo
IPPmedia
IPPmedia
Presidential running mate Samia Suluhu Hassan for CCM has ridiculed the presidential candidate of an opposition coalition saying he and his group were aristes going around seeking out voters in various places by asking to know the problems people face.
Politicians cautioned over briberyDaily News
all 3
10 years ago
TheCitizen23 Dec
JK's VERDICT: Mood swings in Jubilee hall crowd
10 years ago
Bongo Movies04 Jul
Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...
10 years ago
Bongo Movies11 May
Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini
Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.
Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...