Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHINA GALA YAFANA

Meza kuu kutoka kushoto ni Bi. Jennifer Jones ambaye ni ni mkuu wa Kamisheni ya wanawake kaunti ya Prince George, Afisa Suleiman Saleh ambaye alimwakilisha Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson Masilingi. Kulia ni Dr. El Senzengakulu Zulu ambaye ndio mwanzilishi na mmiliki wa shule ya Ujamaa inayofundisha tamaduni za bara la Afrika. PICHA NA KWANZA PRODUCTION/VIJIMAMBO BLOG.Kutoka kushoto ni Dr. John Rutayuga ambaye ni mwanzilish wa Ukwimwi Orphans akiwa meza kuu na Mr and Mrs...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

SHINE WITH SHINA ANNUAL GALA 2015 YAFANA GREENBELT, MARYLAND

Meza kuu kutoka kushoto ni Bi. Jennifer Jones ambaye ni ni mkuu wa Kamisheni ya wanawake kaunti ya Prince George, Afisa Suleiman Saleh ambaye alimwakilisha Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson Masilingi. Kulia ni Dr. El Senzengakulu Zulu ambaye ndio mwanzilishi na mmiliki wa shule ya Ujamaa inayofundisha tamaduni za bara la Afrika. PICHA NA KWANZA PRODUCTION/VIJIMAMBO BLOG.Kutoka kushoto ni Dr. John Rutayuga ambaye ni mwanzilish wa Ukwimwi Orphans akiwa meza kuu na Mr and Mrs...

 

10 years ago

Vijimambo

SHINA GALA YAFANA, LIVE BAND, AWARD ZATOLEWA NA MENGI MENGINEO

Balozi Leberata Mulamula  akitoa nasaha zake wakati wa  SHINA GALA kuchangia watoto yatima TanzaniaShina's President mama Mushala akielezeza historia na maendeleo na malengo mazima ya SHINA Amos Mushala alitoa salam katika  SHINA  GALA kuchangia watoto yatima huko nyumbani TanzaniaJuu na chini ni "The Afrofloerty Band" chini ya uongozi wa Anna Mwalagho wakitumbuiza katika  SHINA GALA














































 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

SHINE WITH SHINA GALA 2014 #USKOSE


It is  about that time of the year when together we reach and touch the Most Vulnerable. This year SHINA Inc., we are focusing on Special needs children in Tanzania collaborating with Anglican Church in Muleba Area and Maziwani Project in Pemba. Your presence/ and or donation will go a long way to touch the most vulnerable. 25% of the fund raised will be contributed toward Ebola Victims through Children Fund

Hope to see you there..KARIBUNI WOTE

 


 

9 years ago

Vijimambo

9 years ago

Vijimambo

SHINE WITH SHINA ANNUAL GALA GREENBELT, MARYLAND

 Wahusika wa Shine with SHINA wakihakiki majina ya wageni waliohudhuria Annual Gala iliyofanyika katika hoteli ya Hilton iliyopo Greenbelt, jimbo la Maryland nchini Marekani. Mada ilikua ni ya kuzungumuzia changamoto za wageni wanazo kutananazo kwenye nyanja mbalimbali hususani utamaduni na malezi ya watoto na hasa unapokua muAfrica wa kutoka Afrika unayezungumuza kiingereza cha kiafrika. Changamoto za watoto wanaozaliwa na wazazi wanaotokea Afrika, changamoto zilizoelezewa kwa ufasaha na...

 

11 years ago

Michuzi

GALA DINNER YA AFRIACAN DAY WASHINGTON, DC YAFANA SANA


Balozi wa kudumu wa African Union Mhe. Amina Salum Ali akiwa kwenye gwaride la bendera wakati hafla ya gala dinner ya African Day iliyofanyika Washington, DC siku ya Jumanne May 27, 2014 katika hotel ya Marriott na kuhudhuriwa na watu zaidi ya 2,000. Afriacam day ya mwaka huu iliandaliwa na Ubalozi wa Tanzania wakishirikiana na Ubalozi wa  Rwanda
Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula akiwa kwenye gwaride la bendera wakati wa ufunguzi wa Gala dinner ya African Day siku...

 

10 years ago

Vijimambo

DICOTA 2014 CONVENTION GALA DINNER YAFANA, WADHAMINI, WADAU DIASPORA WAPATA VYETI NA TUZO

FASHION SHOW NI BALAA Msanii wa vichekesho Masanja Mkandamizaji akisalimia wadau kwa kuwavunja mbavu kwenye DICOTA 2014 Gala Dinner iliyofanyika Ijumaa usiku Oct 3, 2014 katika Hotel ya Millennium Durham, North Carolina nchini Marekani kwenye Gala Dinner kulitolewa vyeti kwa wadhamini wa ndani na nje ya Marekani waliowezesha DICOTA 2014 Convention kuwa ya mafanikio.
Waliowezesha DICOTA 2014 Convention kupata mafanikio kuanzia uongozi wa juu wa DICOTA mpaka kamati ya maandalizi wakaazi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

ASANTENI SANA KWA KUUNGA MKONO SHINA

Bi. Jessca Kamala Mushala
Asante for last night. Your presence meant a lot to us.. Special needs children un Tanzania are better off today because of your you. Hope you enjoyed yourself. Stay blessed. J.mushala

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani