Shule za msingi serikalini masomo yote kwa Kiingereza
WAKATI kukiwa na mjadala kuhusu lugha ipi itumike kufundishia katika shule za msingi za Serikali, kati ya Kiingereza na Kiswahili, tayari baadhi ya shule hizo zimeshaanza kuacha kutumia Kiswahili kufundisha masomo yote na zingine zinajiandaa kufanya hivyo. Kwa muda mrefu tangu Uhuru, shule karibu zote za msingi za Serikali zilikuwa zikitumia Kiswahili kufundishia masomo yote isipokuwa somo la Kiingereza.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV15 Nov
Wanafunzi Shule ya Msingi Raranya Rorya wasitishiwa masomo kwa ukosefu wa choo.
Wanafunzi zaidi ya mia tano wa shule ya msingi Raranya wilayani Rorya mkoani Mara wamelazimika kusimama masomo kwa zaidi ya miezi mitano kutokana na shule hiyo kufungwa kwa kutokuwa na choo.
Uongozi wa shule umetoa maelezo hayo kwa mbunge wa jimbo la Rorya Lameck Airo kufanya ziara ya kushutukiza na kukuta shule hiyo haina wanafunzi zaidi ya wa darasa la nne wanaoendelea na masomo.
Akiongea na star tv katika shule ya msingi Raranya ,mwl Magdalena John amekiri kufungwa kwa shule hiyo, huku...
9 years ago
StarTV25 Nov
Shule ya Msingi Bafanka mkoani Geita hatarini kufungwa kwa Kujaa Kwa Vyoo Vya Shule
Ukosefu wa Vyoo kwa baadhi ya Shule limekuwa tatizo sugu lililosababisha shule ya msingi Isumabuna kufunga wakati shule ya msingi Bafanka wilayani Bukombe mkoani Geita ikiwa hatarini kufungwa wakati wowote kutokana na vyoo kujaa na kutoa wadudu hali inayowalazimu wanafunzi kujisaidia vichakani.
Kufungwa kwa shule ya Msingi Isumabuma tangu Novemba 12 mwaka huu kulikolenga kunusuru afya za watoto na kuwaepusha ma magonjwa ya mlipuko kumeathiri ratiba ya masomo kwa kiasi kikubwa kwa wanafunzi...
10 years ago
Vijimambo08 Oct
FNB YAKABIDHI MADARASA BAADA YA KUFANYIA UKARABATI NA MADAWATI NA MIKOBA YA SHULE KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MSASANI B
![](https://3.bp.blogspot.com/-8ODlrrxpUIo/VDRJ42tYilI/AAAAAAAAOt4/NIP3B_E-UbQ/s1600/IMG_8488fnb.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-ScVFR97yrXU/VDRKJLbdYFI/AAAAAAAAOuA/s9-IdQPPTQU/s1600/IMG_8950fnb.jpg)
10 years ago
Bongo Movies15 Jun
Wema: Yangu ya Pili na Van Vicker Hapa Bongo,Yote Itakuwa ya Kiingereza
Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu amesema filamu ya pili atakayofanya na muigizaji kutoka Ghana, Van Vicker itakuwa ya Kiingereza pia.
Wema ameiambia Bongo5 kuwa lengo la kufanya hivyo ni kuifanya filamu hiyo iwe ya kimataifa zaidi.
“Atakuja atakaa kama for three weeks, tutafanya audition, kwasababu tunataka kufanya movie ambayo itakuwa ni straight English. Tutaweka subtitles za Kiswahili lakini tutakuwa tunaongea lugha ya Kiingereza,” alisema Wema.
“Lengo ni kuwa international, kutoka...
10 years ago
Mwananchi17 Jul
Utafiti Twaweza wataka Kiingereza kuanzia msingi
10 years ago
Michuzi12 Apr
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9mxzB7OsylY/VakDz26LLrI/AAAAAAAHqQs/zlsmw_7oQCA/s72-c/unnamed%2B%252887%2529.jpg)
NMB YAKABIDHI MADAWATI KWA SHULE YA MSINGI KISEKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-9mxzB7OsylY/VakDz26LLrI/AAAAAAAHqQs/zlsmw_7oQCA/s640/unnamed%2B%252887%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vmg5UXSut6U/VakD0GbZZoI/AAAAAAAHqQw/jUb6RDi-Xrk/s640/unnamed%2B%252888%2529.jpg)
10 years ago
Mtanzania03 Sep
UTAFITI: Wanafunzi shule za msingi wakithiri kwa ngono
![Mratibu wa mradi wa PREPARE ambaye pia ni mwanasaikolojia wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili kitengo cha magonjwa ya afya ya akili, Lusajo Kajula (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilisha sampuli tathmini ya matokeo ya mradi huo uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono. kulia ni mtathmini kiongozi wa mradi huo, Mrema Kilonzo. Na Mppigapicha Wetu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Mtafiti.jpg)
Mratibu wa mradi wa PREPARE ambaye pia ni mwanasaikolojia wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili kitengo cha magonjwa ya afya ya akili, Lusajo Kajula (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilisha sampuli tathmini ya matokeo ya mradi huo uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono. kulia ni mtathmini kiongozi wa mradi huo, Mrema Kilonzo. Na Mppigapicha Wetu
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
UTAFITI uliofanywa na mradi wa PREPARE...
9 years ago
MichuziNaibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundu Mhe. Eng Stella Manyanya afungua mafunzo ya walimu mahiri wa masomo ya Hisabati, Kiingereza na Kiswahili Ruvuma.
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Eng Stella Manyanya akizungumza na washiriki wa mafunzo ya Walimu Wawezeshaji wa masomo ya Hisabati, Kiingereza na Kiswahili kutoka shule za msingi katika Halmashauri za Mkoa wa Ruvuma na Halmashauri ya Ludewa Mkoa Njombe.