SIMU TV: UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI December 30, 2015
![](http://img.youtube.com/vi/FePeC6X79Q0/default.jpg)
Kampuni iliyopewa kandarasi ya kusambaza umeme katika mkoa wa Kagera imelalamikiwa kuwa baadhi ya wafanyakazi wake kujihusisha na vitendo vya Rushwa.https://youtu.be/46Yk2_Je9us
Familia 79 za walemavu wa ukoma katika kambi ya Nyabange wilayani Butiama watoa wito kwa taasisi na mashirika mbalimbali kuwasaidia kuboresha huduma za kijamii.https://youtu.be/Haig5So1Fow
Wakazi wa kijiji cha Mwambegwa kilosa Mkoani Morogoro waiomba Wizara ya ardhi kufuta mashamba pori ya wawekezaji ambayo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/biAJU7aQHl8/default.jpg)
SIMU TV: UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI December 29, 2015.
Serikali imetoa agizo kwa wakuu wa mikoa na wilaya kuhakikisha wanafikisha taarifa za ugonjwa wa kipindupindu wizarani kwa wakati. https://youtu.be/wxauztmL6Rk
Baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu wameunga mkono jitihada za rais Dkt Magufuli kwa hatua anazochukua kupambana na vitendo vya ubadhirifu. https://youtu.be/bYqUW5DXtao
wakazi wa eneo la Kinondoni Jijini Dar wameanza kujenga upya mabanda ili kujihifadhi baada ya nyumba zao kubomolewa. https://youtu.be/BasLD6w7-xw Watanzania...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Mc_E2Hlvbz8/default.jpg)
SIMU TV: UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI OCTOBER 27, 2015.
Wakazi Wa Kata Ya Saranga jijini Dar Jana wamefanikiwa kupiga kura ya mbunge na Raisi baada ya kuahirishwa kwa zoezi hilo Oktoba 25. https://youtu.be/vIOP_RKkwuU
Matokeo ya uchaguzi katika jimbo la Mtwara mjini Yametangazwa na msimamizi wa jimbo hilo huku kukiwa na hali ya Vurugu. https://youtu.be/CY2Y2WnYkaM
Jeshi la polisi Visiwani Zanzibar limelazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya wafuasi wa CUF waliokusanyika katika ofisi za CUF. https://youtu.be/944jzWlWh6kMwenyekiti wa Tume Ya...
9 years ago
Michuzi12 Oct
SIMU TV: UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI OKTOBA 12, 2015.
Itambue siku ya Taifa ya kuadhimisha upunguzaji wa maafa na majanga ambayo huadhimishwa ifikapo Okoba 13 kila mwaka: https://youtu.be/cFM0NLapGxY https://youtu.be/iC6UbTwuR_0
Klabu ya Toto Afrikan imefanya uchaguzi mdogo kuziba nafasi 3 ambapo Godwin Aiko ameibuka mshindi na kuwa mwenyekiti mpya klabuni hapo:https://youtu.be/s1Q6msm58iY
Klabu...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3DLABbGxCzE/default.jpg)
UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI OKTOBA15, 2015.
SIMUtv: Michuano maalum ya gofu kufanyika jumamosi hii katika viwanja vya Lugalo jijini Dar es Salaam kwalengo ya kuunda kikosi cha taifa; https://youtu.be/yLAoH5MvQ2U
SIMUtv: Waangalizi wa Uchaguzi kutoka SADC wawataka watanzania kuwa watulivu kwa kufuata sheria na kanuni za nchi kuelekea uchaguzi mkuu. https://youtu.be/BOGEYz5goVE
SIMUtv: Watanzania waombwa kudumisha amani, umoja na mshikamano iliyoachwa na...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/uiLocx34ki4/default.jpg)
UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI OKTOBA 16, 2015.
SIMUtv: Fuatilia namna ambavyo vuguvugu la kampeni za uchaguzi Mkuu linavyoweza kusababisha vurugugu siku ya uchaguzi https://youtu.be/EUyKaqh2fgQ
SIMUtv: Tambua ni kwa kiasi gani sera za wagombea kutoka vyama mbalimbali zimegusia saula la kupunguza ajari za...
9 years ago
Michuzi21 Oct
UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI OKTOBA 21, 2015.
SIMUtv: Tanzania imetajwa kutofanya vizuri katika utoaji wa huduma kwa wazee katika Nyanja mbalimbali hususani Afya na Mazingira. https://youtu.be/cnYXI1-elnI
SIMUtv: Rais Jakaya Kikwete ameliagiza Jeshi la Polisi nchi kufanya kazi kwa weledi ili kuhakikisha Taifa linamaliza uchaguzi Mkuu wa Amani na utulivu https://youtu.be/ktVuerobzYY
SIMUtv: Mgombea Urais CCM Dkt. John Magufuli awaondoa hofu...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Ad5Ja3Srsl4/default.jpg)
UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI OCTOBER 14, 2015
Raisi Jakaya Kikwete anatarajia kuongoza shughuli ya kuzima mwenge wa uhuru mjini Dodoma ikiambatana na Maadhimisho Ya Kumbukumbu ya Mwl. Nyerere. Wafanyakazi wa Uchumi Supermarket jijini Dar wamelazimika kulala ndani ya ofisi ya kampuni hiyo kushinikiza madai yao. https://youtu.be/-B413uOYQvQ Raisi Kikwete Jana amezindua mtambo wa kufua umeme wa gesi asilia eneo la kinyerezi utakaozalisha Mega Watt...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/AOgHEHRNyLQ/default.jpg)
UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI OKTOBA 26, 2015.
SIMUtv: Waangalizi wa ndani wa uchaguzi ambao ni muungano wa Asasi Mbili CEMOT umetoa matokeo ya awali muda mchache baada ya kupiga kura.SIMUtv: Tume ya Taifa Ya Uchaguzi Zanzibar imetangaza matokeo rasmi ya majimbo 2 ya ubunge na madiwani katika majimbo ya Fuoni Na Kiembesamaki. https://youtu.be/YKGnxP4NJ2E
SIMUtv: Timu ya Manchester City imerejea kileleni katika ligi kuu ya England baada ya Kutoka suluhu na...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/IAUBveMznrg/default.jpg)
UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI OKTOBA 23, 2015.