Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sir Nature akana kumponda Diamond

BAADA ya kutamba na ngoma yake ‘Kama Jana’, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Juma Kassim ‘Sir Nature’, amekana kumponda msanii mwenzake, Naseeb Abdul ‘Diamond’ kufuatia mashairi yaliyosimama katika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Sir Nature aweka historia kitabuni

MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Juma Kassim ‘Sir Nature’ amesema yupo katika mikakati ya kuandaa kitabu cha historia ya maisha yake ambayo anatarajia kuisambaza hivi karibuni. Kwa mujibu...

 

10 years ago

CloudsFM

WEMA SEPETU AKANA KUMDAI DIAMOND PLATINUMZ

Jana zilisambaa stori kwenye mitandao ya kijamii ambazo zilitoka kwenye gazeti la Mtanzania,ambazo zilidai kuwa Staa wa Bongo Fleva,Wema Sepetu anamdai aliyekuwa mpenzi wake Diamond Platnumz kiasi cha shilingi Milion 10 ambazo Wema alikopa kwenye Vikoba.

Wema amezungumza na xxl na kudai kuwa amestushwa na taarifa hizo na kwamba hajawai kumdai Diamond na hamdai na wala hiyo Saccos haijui.

‘’Nilivyozisikia hizo habari nilishangaa sana ni mtu tu kaamua kuzusha habari za uongo mimi na Diamond...

 

11 years ago

Bongo Movies

Wema ‘akana’ kuwa na ujauzito wa Diamond! Ila afunguka haya mazito, soma hapa

Baada ya stori nyingi kuzagaa kuwa mwigizaji na mpenzi halali wa mwanamuziki wa bongo fleva Diamond Platinumz – Wema sepetu kuwa yu mjamztio wa wiki 7 na mimba ya msanii huyo, hatimaye leo hii mwanadada Wema ameamua kufunguka “exclusively” kwenye mtandao mmoja wa kijamii na kujibu habari hizo akisema haya yafuatayo kama tunavyomnukuu hapo chini…

“Jamani hizi habari za mimi kuwa pregnant(mjamzito).... sijui watu wanatolea wapi... Im NAT(NOT)... Dah... I wish I was... But im nat wapenzi...

 

10 years ago

CloudsFM

WAKATI FELA ANA MPANGO WA KUMALIZA BIFU NA JUMA NATURE, NATURE ACHOMOA MCHONGO

Mkurugenzi wa kituo cha kukuza vipaji vya wasanii “Mkubwa na Wanae”, Saidi Fela ambaye pia ni kiongozi wa kundi la TMK Wanaume Family, kundi ambalo lilianzishwa mwanzoni mwa miaka ya 2000 baadaye likaja kuvunjika vipande viwili likazaliwa kundi la TMK Halisi chini ya Juma Nature, hiyo ilikuwa mwaka 2006.Hivi karibuni Said Fela amefunguka kuwa ana mpango wa kumfuata Juma Nature ili wakae chini na kushirikiana kikazi kama zamani. Lakini alipoulizwa Juma Nature kama yuko tayari kufanya kazi na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Awavaa Wanaosifia Uzuri wa Mtu Kwa Kumponda Mwingine

“Niongee kidogo kuhusu hili kwa wanawake na wanaume....hivi kuna baadhi ya Watu mnashindwa kabisa kumsifia mtu bila kuponda wengine....!?? Au kupenda mtu bila kuchukia wengine...!?Kwa ufupi tu iko hivi....Kila mwanamke duniani ana uzuri wake na a ana kitu ambacho mwanamke mwingine hana,hata wanaume pia...!
Sasa kuna watu fulani hawawezi kabisa kumsifia mtu bila kumponda mwingine, inafurahisha sana kutaka kulazimisha kuwa Mungu.....hivi unafikiri Mungu alikuwa hayuko sawa kufanya wanawake...

 

10 years ago

GPL

MWANAMUZIKI SIR ELTON JOHN

Stori:  Hashim Aziz na mtandao
Wengi wanamjua Elton John kutokana na sauti yake nzuri awapo jukwaani ambapo nyimbo zake nyingi, zikiwemo Sacrifice na Candle in the Wind, zimemfanya atambulike dunia nzima. Kubwa zaidi, msanii huyu ni miongoni mwa watu wachache duniani waliokiri kuwa na uhusiano wa jinsia moja (shoga). Yafuatayo ni mambo kumi usiyoyajua kuhusu msanii huyu. 1. Elton Johh alianza kujifunza kupiga piano akiwa na...

 

11 years ago

GPL

HAPPY BIRTHDAY SIR ALEX FERGUSON

Kocha mkuu wa zamani wa Manchester United, Sir Alexander Chapman "Alex" Ferguson, katimiza miaka 72 siku ya leo alizaliwa December 31, 1941 Govan, United Kingdom  .

 

9 years ago

Africanjam.Com

SIR ALEX FERGUSON'S LIFE AFTER RETIREMENT

Sir Alex Ferguson addresses students at the Harvard Business School
“Once I made my decision I wasn’t going to go into it as a grumpy old man leaving his job. My dad left the shipyards at 65 because you had to leave your job at 65. The challenges in front of me were good ones, especially the Harvard thing [he teaches part-time at the Harvard Business School]. Then my involvement with United as a director, as an ambassador, and my jobs with Uefa, Unicef. I’ve travelled a bit and I love...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani