Sir Nature akana kumponda Diamond
BAADA ya kutamba na ngoma yake ‘Kama Jana’, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Juma Kassim ‘Sir Nature’, amekana kumponda msanii mwenzake, Naseeb Abdul ‘Diamond’ kufuatia mashairi yaliyosimama katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Sir Nature aweka historia kitabuni
MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Juma Kassim ‘Sir Nature’ amesema yupo katika mikakati ya kuandaa kitabu cha historia ya maisha yake ambayo anatarajia kuisambaza hivi karibuni. Kwa mujibu...
10 years ago
CloudsFM23 Jan
WEMA SEPETU AKANA KUMDAI DIAMOND PLATINUMZ
Jana zilisambaa stori kwenye mitandao ya kijamii ambazo zilitoka kwenye gazeti la Mtanzania,ambazo zilidai kuwa Staa wa Bongo Fleva,Wema Sepetu anamdai aliyekuwa mpenzi wake Diamond Platnumz kiasi cha shilingi Milion 10 ambazo Wema alikopa kwenye Vikoba.
Wema amezungumza na xxl na kudai kuwa amestushwa na taarifa hizo na kwamba hajawai kumdai Diamond na hamdai na wala hiyo Saccos haijui.
‘’Nilivyozisikia hizo habari nilishangaa sana ni mtu tu kaamua kuzusha habari za uongo mimi na Diamond...
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Wema ‘akana’ kuwa na ujauzito wa Diamond! Ila afunguka haya mazito, soma hapa
Baada ya stori nyingi kuzagaa kuwa mwigizaji na mpenzi halali wa mwanamuziki wa bongo fleva Diamond Platinumz – Wema sepetu kuwa yu mjamztio wa wiki 7 na mimba ya msanii huyo, hatimaye leo hii mwanadada Wema ameamua kufunguka “exclusively” kwenye mtandao mmoja wa kijamii na kujibu habari hizo akisema haya yafuatayo kama tunavyomnukuu hapo chini…
“Jamani hizi habari za mimi kuwa pregnant(mjamzito).... sijui watu wanatolea wapi... Im NAT(NOT)... Dah... I wish I was... But im nat wapenzi...
10 years ago
CloudsFM21 Nov
WAKATI FELA ANA MPANGO WA KUMALIZA BIFU NA JUMA NATURE, NATURE ACHOMOA MCHONGO
Mkurugenzi wa kituo cha kukuza vipaji vya wasanii “Mkubwa na Wanae”, Saidi Fela ambaye pia ni kiongozi wa kundi la TMK Wanaume Family, kundi ambalo lilianzishwa mwanzoni mwa miaka ya 2000 baadaye likaja kuvunjika vipande viwili likazaliwa kundi la TMK Halisi chini ya Juma Nature, hiyo ilikuwa mwaka 2006.
Hivi karibuni Said Fela amefunguka kuwa ana mpango wa kumfuata Juma Nature ili wakae chini na kushirikiana kikazi kama zamani. Lakini alipoulizwa Juma Nature kama yuko tayari kufanya kazi na...
10 years ago
Bongo Movies18 Jan
Lulu Awavaa Wanaosifia Uzuri wa Mtu Kwa Kumponda Mwingine
“Niongee kidogo kuhusu hili kwa wanawake na wanaume....hivi kuna baadhi ya Watu mnashindwa kabisa kumsifia mtu bila kuponda wengine....!?? Au kupenda mtu bila kuchukia wengine...!?Kwa ufupi tu iko hivi....Kila mwanamke duniani ana uzuri wake na a ana kitu ambacho mwanamke mwingine hana,hata wanaume pia...!
Sasa kuna watu fulani hawawezi kabisa kumsifia mtu bila kumponda mwingine, inafurahisha sana kutaka kulazimisha kuwa Mungu.....hivi unafikiri Mungu alikuwa hayuko sawa kufanya wanawake...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zdyFMqJvbXIAkLFWnHz6h2D9cU27ZrfaHmf65g9lNtjjbjp2*6lyhA0-8J8Vuflwoh-jCDN2WX1AQMi0q4Hx-sc0vKVj37RT/eltonjohncredjosephguay6b2f8a905f3ad329dd271a2ea6e4f13eb7a4464a.jpg?width=650)
MWANAMUZIKI SIR ELTON JOHN
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCicxEq1oizp8y1e4rz7*VYHNVkuKK9O9NMBv7GJ7dZORwT-YSLJvIDEsOwY4A1PYAq-gtKc5E7J*zRQOSMFoU50/1488973_10153655397780483_254037395_n.jpg?width=650)
HAPPY BIRTHDAY SIR ALEX FERGUSON
9 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-imbV1GesI2A/Vf0JhMfvWsI/AAAAAAAADhY/JKa0JhJjzJs/s72-c/ferguson_2431842b.jpg)
SIR ALEX FERGUSON'S LIFE AFTER RETIREMENT
![](http://3.bp.blogspot.com/-imbV1GesI2A/Vf0JhMfvWsI/AAAAAAAADhY/JKa0JhJjzJs/s1600/ferguson_2431842b.jpg)
“Once I made my decision I wasn’t going to go into it as a grumpy old man leaving his job. My dad left the shipyards at 65 because you had to leave your job at 65. The challenges in front of me were good ones, especially the Harvard thing [he teaches part-time at the Harvard Business School]. Then my involvement with United as a director, as an ambassador, and my jobs with Uefa, Unicef. I’ve travelled a bit and I love...