Sitta- Ikibidi tutaita wataalamu
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amesema Sheria ya Mabadiliko ya Katiba inaruhusu kuitwa mtu yeyote katika Bunge hilo kutoa ufafanuzi kuhusu jambo lolote lenye utata, ikionekana ipo haja kufanya hivyo. Kauli hiyo ya Sitta ameitoa huku siku chache zilizopita, baadhi ya wajumbe wa kamati kuonesha uhitaji wa kutaka ufafanuzi wa kitaalamu wa maneno kadhaa ikiwemo nchi, muungano, serikali, dola, shirikisho katika siku ya kwanza ya kujadili sura ya kwanza na ya sita ya Rasimu...
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydUyAi6S7O7hcYX1dCYfGUaFhPkVfkYRwcOEPbd9SpwbbrstmNHJNZ9ZKNDqipNe-smA-w2F6mBOcejsV6z05YfM/katiba.jpg?width=650)
KAMA IKIBIDI, TUAHIRISHE KATIBA MPYA
NIMSHUKURU sana Mungu, muumba wa mbingu na ardhi kwa kuweza kutufikisha tena leo, kama alivyofanya jana, juzi na kila siku bila ya sisi kutumia gharama yoyote. Vitendo vyake kwetu ni vya utukufu mkuu, ingawa mara nyingi binadamu tumekuwa tukifanya vitu vingi vya kumkwaza. Jaji Joseph Sinde Warioba. Baada ya kusema maneno hayo, naomba sasa niende kwenye hoja yangu ya leo, ambayo kwa hakika ni ya msingi sana kama bado tunataka...
10 years ago
Mwananchi27 May
UCHAMBUZI: Vyama vya upinzani vikosoe na kusifu ikibidi
>Siasa ni dhana pana inayoakisi utaratibu na mwenendo wa jumla wa maisha ya mwanadamu katika jamii inayomzunguka.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania