Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta- Ikibidi tutaita wataalamu

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amesema Sheria ya Mabadiliko ya Katiba inaruhusu kuitwa mtu yeyote katika Bunge hilo kutoa ufafanuzi kuhusu jambo lolote lenye utata, ikionekana ipo haja kufanya hivyo. Kauli hiyo ya Sitta ameitoa huku siku chache zilizopita, baadhi ya wajumbe wa kamati kuonesha uhitaji wa kutaka ufafanuzi wa kitaalamu wa maneno kadhaa ikiwemo nchi, muungano, serikali, dola, shirikisho katika siku ya kwanza ya kujadili sura ya kwanza na ya sita ya Rasimu...

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KAMA IKIBIDI, TUAHIRISHE KATIBA MPYA

NIMSHUKURU sana Mungu, muumba wa mbingu na ardhi kwa kuweza kutufikisha tena leo, kama alivyofanya jana, juzi na kila siku bila ya sisi kutumia gharama yoyote. Vitendo vyake kwetu ni vya utukufu mkuu, ingawa mara nyingi binadamu tumekuwa tukifanya vitu vingi vya kumkwaza. Jaji Joseph Sinde Warioba. Baada ya kusema maneno hayo, naomba sasa niende kwenye hoja yangu ya leo, ambayo kwa hakika ni ya msingi sana kama bado tunataka...

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI: Vyama vya upinzani vikosoe na kusifu ikibidi

>Siasa ni dhana pana inayoakisi utaratibu na mwenendo wa jumla wa maisha ya mwanadamu katika jamii inayomzunguka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani