Sitta kuteta na Kardinali Pengo, Mufti Simba leo
WAKATI mjadala wa Bunge Maalumu la Katiba ukizidi kupoteza mwelekeo, huku Mwenyekiti wake, Samuel Sitta, akionekana kuyumba, kiongozi huyo wa Bunge leo anatarajia kukutana na viongozi wakuu wa dini nchini....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Sitta asiishie kwa Pengo, Mufti Simba
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wakuu wawili wa dini za Kikiristo na Kiislamu nchini juzi. Viongozi hao aliokutana nao kwa nyakati...
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Ni utumishi uliotukuka wa Kardinali Pengo
9 years ago
Habarileo02 Jan
Kardinali Pengo alazwa Muhimbili
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-h_ywRM3aGIg/VSTRi4h9N5I/AAAAAAAACDM/UQDLfV09yhk/s72-c/Caridnal%2BPengo.jpg)
Kardinali Pengo aweka msimamo
Aonya matukio ya ugaidi si mambo ya dini Awataka wanaoamini wasambaze ujumbe
NA MWANDISHI WETU
ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo, amesema msimamo wake kuhusu katiba inayopendekezwa, uko pale pale na ametaka wanaoamini alichosema, wasambaze ujumbe wake kwa wengine.
![](http://4.bp.blogspot.com/-h_ywRM3aGIg/VSTRi4h9N5I/AAAAAAAACDM/UQDLfV09yhk/s1600/Caridnal%2BPengo.jpg)
9 years ago
Habarileo03 Jan
Afya ya Kardinali Pengo yaimarika
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete anaendelea vizuri na anaweza kuruhusiwa wiki ijayo.
10 years ago
Mwananchi30 Mar
Kardinali Pengo amjibu Askofu Gwajima
11 years ago
Habarileo13 Mar
Rais Kikwete amtumia rambirambi Kardinali Pengo
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Muadhama Polycarp Kardinali Pengo na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), kutokana na kifo cha Askofu mstaafu Fortunatus Lukanima, aliyekuwa Askofu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha.
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Kardinali Pengo akemea utoaji mimba, ushoga
ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo, amekemea tabia ya utoaji mimba inayofanywa na baadhi ya wanawake nchini kwani kufanya hivyo ni...
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Mkapa, Kardinali Pengo waalikwa Tamasha la Pasaka
RAIS wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Dar es Salaam, Muadhama Polycap Kardinali Pengo ni miongoni mwa wageni waalikwa wa Tamasha la Pasaka litakalofanyika Aprili 5 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, alisema amewaalika viongozi hao kwa lengo la kufikisha ujumbe kwa jamii kubwa ndani na nje ya nchi kutokana na kushirikisha wasanii wa ndani na nje ya nchi.
Msama alisema wanaendelea...