Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta: Natukanwa, ni mapambano

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amesema amekuwa akitishwa kupitia simu yake ya mkononi na kutaka baadhi ya vyombo vya habari na watu wanaomchukia, kutenganisha chuki hizo na Bunge Maalumu la Katiba. Akizungumza bungeni jana, Sitta alisema kwa siku anapokea ujumbe mfupi wa simu (SMS) 50 tofauti, wenye matusi jambo alilosema ni baada ya Chadema kuweka simu zake katika mtandao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Werema: Nina watoto halafu natukanwa?

TAFRANI iliyojitokeza bungeni juzi kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Frederick Werema kumuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila(NCCR Mageuzi) tumbili, naye kumjibu kwa kumuita mwizi imeingia katika hatua nyingine ambapo wawili hao wamekataa kusuluhishwa. Jana asubuhi baada ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuahirisha shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan ‘Zungu’, aliwakuta Werema na Kafulila wakiendeleza mzozo nje ya ukumbi wa Bunge mjini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani