Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Werema: Nina watoto halafu natukanwa?

TAFRANI iliyojitokeza bungeni juzi kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Frederick Werema kumuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila(NCCR Mageuzi) tumbili, naye kumjibu kwa kumuita mwizi imeingia katika hatua nyingine ambapo wawili hao wamekataa kusuluhishwa. Jana asubuhi baada ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuahirisha shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan ‘Zungu’, aliwakuta Werema na Kafulila wakiendeleza mzozo nje ya ukumbi wa Bunge mjini...

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Dude:Nina Watoto Wanane Tu!!

MWONGOZAJI na mwigizaji mahiri katika tasnia ya filamu za Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’, ametaja idadi ya watoto wake akisema wapo wanane tu. Amekanusha vikali kuwa na timu ya mpira (watoto 11) idadi inayovumishwa na wengi.

Dude anatajwa kuwa ni msanii anayeongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya watoto kwa wasanii wengine wa kiume wa Tanzania.

“Kila mtu anasema anavyojisikia, mara ooh Dude ana timu nzima ya mpira wa miguu, lakini ukweli ni kwamba nina watoto wanane tu, ambao nimezaa na...

 

10 years ago

Habarileo

Sitta: Natukanwa, ni mapambano

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amesema amekuwa akitishwa kupitia simu yake ya mkononi na kutaka baadhi ya vyombo vya habari na watu wanaomchukia, kutenganisha chuki hizo na Bunge Maalumu la Katiba. Akizungumza bungeni jana, Sitta alisema kwa siku anapokea ujumbe mfupi wa simu (SMS) 50 tofauti, wenye matusi jambo alilosema ni baada ya Chadema kuweka simu zake katika mtandao.

 

10 years ago

GPL

SITTI UMESHINDA, SAWA NINI KINAFUATA? HALAFU LUNDENGA NA WEWE!

KWAKO
Miss Sitti Mtemvu mwakilishi wa Wilaya ya Temeke na sasa wewe ni Redds Miss Tanzania 2014.
Vipi uko poa? Raha ya ushindi unaionaje? Najua sasa hivi bado hujatulia, unatafakari kwa makini juu ya shilingi milioni 18 ulizokabidhiwa kama mshindi, tafakari mama, ndiyo muda wake. Ukitaka kujua hali yangu, mimi ni mzima wa afya, namshukuru Mungu. Hongera kwa ushindi uliopata japo nimesikia kuna baadhi ya watu...

 

10 years ago

Mwananchi

NATOA HOJA : Taifa Stars majanga, halafu tumeitia janga

Mwishoni mwa wiki iliyopita, nilisikia habari kuwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limepitisha utaratibu wa klabu za Ligi Kuu kusajili wachezaji saba wa kigeni kwa ajili ya kuchezea klabu hizo.

 

10 years ago

GPL

UMEMPA MOYO WAKO WOTE HALAFU AKAKUTENDA? SOMA HAPA!

JUMAMOSI nyingine Mungu ametujalia mimi na wewe msomaji wangu tunakutana katika safu yetu na kuweza kubadilishana yahusuyo ulingo wa uhusiano. Kama ilivyo kawaida hapa tunajadili mada mbalimbali ambazo hakika zinakupa elimu kubwa. Mada iliyopo hapo juu inajieleza. Ni dhahiri kwamba wapo watu wengi ambao walianzisha uhusiano, wakajitoa kwa moyo na akili zote kwa wapendwa wao kisha wakaambulia maumivu ya moyo. Wameachika katika...

 

9 years ago

Vijimambo

Coletha Makuala na Sam Mfalila kutoka Nashville, TN (USA) walivyo meremeta siku ya July 18, 2015 Azania Front halafu Hyatt Regency Kilimanjaro, Dar es salaam TZ



Coletha Makuala na Sam Mfalila kutoka Nashville, TN wakiwa na nyuso za furaha baada ya kufunga ndoa yao iliyofanyika julai 18 2015 katika kanisa la Azania Front, Dar es Salaam Tanzania.

U kodak moment baada ya ndoa

Maarusi, Coletha and Sam wakiwa kwenye nyuso za furaha kwenye reception yao iliyofanyika kwenye ukumbi wa Hyatt Regency Kilimanjaro, Dar es salaam TZ siku ya July 18, 2015

Coletha akihakikisha kuwa mume wake Sam anapata chakula

U kodak moment hotelini Hyatt Regency Kilimanjaro, Dar es...

 

10 years ago

Vijimambo

`Werema jiuzulu`

  Wabunge CCM washinikiza kuiokoa serikali kashfa ya Escrow
  Atia ngumu, adai hadi mtu aliyemwita ``bwana mkubwa`` pia anaijuaMwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema
Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamemtaka Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema, kujiuzulu ili kuisafisha serikali dhidi ya kashfa ya kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ya uchotwaji wa Sh. bilioni 306 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoko Benki Kuu ya...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Kafulila amchefua Werema



 Anusurika kuchapwa makonde bungeni  Sitta, Wasira waingilia kati kumwokoa
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), jana alichafua hali ya hewa bungeni na kunusurika kuchapwa makonde kwa kumtolea kauli za kuudhi Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema.

Pia Kafulila ametakiwa kukabidhi ushahidi alio nao kuhusiana na malipo yaliyofanywa kwa Kampuni ya IPTL kupitia akaunti ya Escrow kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU),...

 

11 years ago

Mwananchi

Werema alikoroga, alinywa

>Kwa maneno ya siku hizi ni kwamba Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Fredrick Werema ‘amelikoroga na kulinywa mwenyewe’, baada ya jana kutoa kauli ya kuudhi alipomtaka mbunge kutoka Zanzibar akaulize swali lake visiwani humo, iliyosababisha baadhi ya wabunge kususia Bunge na kutoka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani