Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dude:Nina Watoto Wanane Tu!!

MWONGOZAJI na mwigizaji mahiri katika tasnia ya filamu za Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’, ametaja idadi ya watoto wake akisema wapo wanane tu. Amekanusha vikali kuwa na timu ya mpira (watoto 11) idadi inayovumishwa na wengi.

Dude anatajwa kuwa ni msanii anayeongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya watoto kwa wasanii wengine wa kiume wa Tanzania.

“Kila mtu anasema anavyojisikia, mara ooh Dude ana timu nzima ya mpira wa miguu, lakini ukweli ni kwamba nina watoto wanane tu, ambao nimezaa na...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ESTER: NINA ‘PROJECT’ NA DUDE!

Stori:Imelda Mtema/Ijumaa Wikienda
MSANII wa filamu anayechipukia Bongo, Ester Kiama, amefunguka kuwa ukaribu wake na mwigizaji Kulwa Kikumba ‘Dude’ ni kwa sababu ana ‘project’ ya kazi anafanya na staa huyo. Msanii wa filamu anayechipukia Bongo, Ester Kiama akipozi. Akizungumza na mwandishi wetu, Ester alisema ameshangaa kusikia watu wakieneza habari kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na Dude wakati...

 

11 years ago

Habarileo

Werema: Nina watoto halafu natukanwa?

TAFRANI iliyojitokeza bungeni juzi kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Frederick Werema kumuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila(NCCR Mageuzi) tumbili, naye kumjibu kwa kumuita mwizi imeingia katika hatua nyingine ambapo wawili hao wamekataa kusuluhishwa. Jana asubuhi baada ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuahirisha shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan ‘Zungu’, aliwakuta Werema na Kafulila wakiendeleza mzozo nje ya ukumbi wa Bunge mjini...

 

11 years ago

Mwananchi

Prisons yaacha wachezaji wanane

Timu ya Tanzania Prisons ya jijini hapa imewafungashia virago wachezaji wake wanane kati ya 11 waliomaliza mikataba ya kuichezea timu hiyo kwa msimu uliopita.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanane wapigwa chini Simba

Wakati wagombea nane wakienguliwa kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi wa Simba, mchakato huo huenda ukasimama muda wowote kuanzia sasa kutokana na Kamati ya Uchaguzi ya Simba kukabiliwa na ukata.

 

11 years ago

BBCSwahili

Radi yauwa wanane Malawi

Radi imeuwa watu kadha katika matukio mbalimbali nchini Malawi tangu masika kuanza

 

10 years ago

Mwananchi

Majeruhi wanane urais CCM

>Wakati mchakato wa kumtafuta mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM ukiwa umekamilika, ni dhahiri kwamba baadhi ya vigogo waliokuwa na matumaini makubwa ya kuukwaa, sasa wanaugulia maumivu huku wengine wakiwa wameshautangazia umma kutoendelea na ubunge.

 

9 years ago

Mtanzania

Watu wanane wauawa Burundi

BUNJUMBURA, BURUNDI

WATU wanane wameuawa kwa risasi kwenye mji mkuu wa Burundi, Bunjumbura usiku wa kuamkia jana.

Mji huo umekuwa ukikumbwa na mashambulizi ya risasi, milipuko ya mabomu tangu kumalizika kwa uchaguzi wa rais wenye utata miezi mitatu iliyopita.

Kwa mujibu ya walioshuhudia baadhi ya miili, ambayo ilikutwa katika barabara za vitongoji vya kaskazini mwa Bunjumbura ilikuwa na majeraha ya risasi kichwani, pamoja na alama za kamba kuashiria kuwa walifungwa nazo kabla ya...

 

10 years ago

Habarileo

Madereva wanane wafutiwa leseni

Meneja Mawasiliano wa SUMATRA, David MzirayMAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchikavu na Majini (SUMATRA) imewafutia leseni madereva wanane, waliosababisha ajali kwa uzembe na hawataruhusiwa kuendesha mabasi ya abiria.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanane washinda kampeni ya Brazuka

WASHINDI nane walioshiriki kutuma ujumbe katika shindano la Brazuka, wamejinyakulia zawadi mbalimbali ikiwemo fedha taslimu na ‘smartphone’. Akizungumza na waandishi wa habari wakati akitoa zawadi kwa washindi hao, Mratibu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani