Snura Ampiga vijembe Wema Sepetu
Aliyewahi kuwa swahiba wa mbunge mtarajiwa Wema Sepetu, Snura Mushi ametoa kauli zenye mlengo wa kumpiga vijembe Wema.
“ Naepukana na unafiki tena naweza kusema ni roho mbaya chuki kwa baadhi ya wasanii kuunda makundi ambayo yanatumia muda mwingi kuwadis wengine, mfano hivi sasa wakata Diamond anawania tuzo za kimataifa eti kuna watu wanaungana na watu wan je kufanya kampeni ashindwe,” alisema Snura.
Snura anadai kuwa siku hizi makundi ambayo yanaundwa na wasanii au wapenzi...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O4qH*YKTcAWlw7hfNNHm-j*FvkpvmTQJWq*TLJ4pyEcZNea3N02yCfMDiMnzVHBgOQ4iEA2sHwLJtLQR-EGuo3eNu5dAGqWB/151.jpg?width=650)
DIAMOND AMPIGA VIJEMBE WEMA SEPETU
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Museveni ampiga vijembe Mbabazi
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/F_3krU1MtNQ/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/L87BcYtLJm8/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies27 May
'Wema Sepetu Msamehe Kajala' Mashabiki Wamlilia Wema
Ikiwa ni masaa kadhaa yamepita toka msanii wa filamu nchini Kajala Masanja kufunguka ya moyoni juu ya Wema Sepetu na Petit Man na kueleza kuwa kamwe katika maisha yake ya hapa Duniani hawezi kusahau fadhila na moyo wa upendo ambao
ulioneshwa na watu wao kipindi ambacho alikuwa na matatizo na jinsi walivyoweza kujitolea mpaka kufikia hatua ya kuweza kumsaidia katika matatizo ambayo alikuwa anakabiliana nayo kwa kipindi kile.
Kajala alifunguka hayo kupitia ukurasa wake wa Instgram na...
10 years ago
Bongo Movies21 Jun
Mzee Majuto Amuunga Mkono Wema Sepetu, Diamond Amtaka Wema Abadilike Kama Kweli Anautaka Ubunge
Mzee Majuto kwa mara ya kwanza ameamua kufunguka kumuunga mkono Wema Sepetu kwa nia yake ya kutaka kuwa mbunge.Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Mzee Majuto ameandika;
Nisingependa kuyaongea haya kwenye mfungu mtukufu ila kiundani ningependa kuonyesha umoja na kumuunga mkono wazo na lengo la Mwanangu kwa kuwa anaweza na amethubutu sasa isitokee wale wasiopenda maendeleo ya watu na taifa hili kuvuruga misingi na mipango madhubuti ya kuwapa nafasi vijana na hasa wanawake kushika hatamu na...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ge9WkNua4TrSYkw13L2R7lufEtecfNpun*UGlwWlTEf8OO2upLyuA65N0-exnUdUi7Aq5A2eiMYzj8j7ars8B3lDkR29QVwK/kyaka.jpg)
ODAMA AMPIGA ‘PUSHI’ WEMA ACHEZE NA JK
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Snura: Wema ndiye aliyenifungulia njia
MWANADADA anayetamba katika tasnia ya muziki wa mduara, Snura Mushi ‘Snura’ au ‘Mamaa Majanga’, amefunguka kuwa msanii wa filamu nchini, Wema Sepetu, ndiye aliyemfungulia milango ya kuelekea kwenye mafanikio ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox5efdlo6kJxsZQo1LV8ccbVvzRZDrDQEL3ouzJWkGMgsjEN7zOt-zyuykRqKVB7fw*5*TDYME3XlPYGaYEqOlyC/snura.jpg?width=650)
SNURA: WEMA NDIYO ALIYENITOA KIMUZIKI