Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SOUTHERN AFRICAN FASHION SHOW YAFANYIKA KWA KISHINDO‏

Washereheshaji wakifanya vitu vyao kwenye usiku wa onesho la mavazi kutoka kwa wanamitindo na wabunifu mbalimbali wa nchi za kusini mwa Afrika wakiwemo wabunifu wawili Watanzania waliopendezesha maonesho hayo.  
Juu na chini ni bendera kutoka nchini za kusini mwa Afrika zikipita kwenye ufunguzi wa maonesho hayo yaliyofanyika siku ya Ijumaa Agosti 29, 2014 Silver Spring, Maryland nchini Marekani.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SOUTHERN AFRICAN FASHION SHOW YAFANYIKA KWA KISHINDO

Washereheshaji wakifanya vitu vyao kwenye usiku wa onesho la mavazi kutoka kwa wanamitindo na wabunifu mbalimbali kutoka nchi kusini mwa Afrika wakiwemo wabunifu wawili Watanzania waliopendezesha maonesho hayo. 
Juu na chini ni bendera kutoka nchini za kusini mwa Afrika zikipita kwenye ufunguzi wa maonesho hayo yaliyofanyika siku ya Ijumaa Aug 29, 2014 Silver Spring, Maryland nchini Marekani.kwa picha zaidi bofya hapa

 

10 years ago

Vijimambo

AFRICAN ART AND FASHION WEEK YAFANYIKA WASHINGTON DC

Ma Winny Casey akipita mbele ya mashabiki wa mavazi katika wiki ya maonesho ya sanaa na mavazi yaliyofanyika kwenye Ubalozi wa Nigeria Washington, DC siku ya Jumamosi May 16, 2015.Models wakipita mbele ya mashabiki wa mavazi.Kwa picha zaidi zikiwemo vivazi vya wabunifu wengine bofya soma zaidi.

 

10 years ago

GPL

OPEN CALL FOR FASHION DESIGNERS: OPPORTUNITY TO PARTICIPATE IN LONDON FASHION WEEK INTERNATIONAL FASHION SHOWCASE 2015‏

Open call to all Tanzanian or Tanzanian-based designers and fashion houses!
The Tanzanian Embassy, UK in association with the British Council and the British Fashion Council is participating in the International Fashion Showcase 2015 to run from 19 – 24 February 2015 (in parallel with London Fashion Week 20-24 February 2015). The International Fashion Showcase (IFS) is addressed to foreign embassies and cultural...

 

10 years ago

Vijimambo

SOUTHERN AFRICA BAZAAR YAFANYIKA SILVER SPRING, MARYLAND MAREKANI

 Mdau kutoka Uganda akiwa kwenye maonesho yaliyobeba jina la  Southern Bazaar yaliyofanyika siku ya Jumamosi Novemba 8, 2014 Silver Spring, Maryland nchini Marekani nchi nyingi kutoka kusini mwa Afrika zilishiriki ikiwemo Tanzania. Mdau mwakilishi kutoka Lesotho akiwakilisha nchini yake kwenye maonesho hayo ya Southern Bazaar yaliyofanyika siku ya Jumamosi Novemba 8, 2014 Silver Spring, Maryland nchini Marekani. Wawakilishi wengine kutoka nchi kusini mwa Afrika wakiwa kwenye maonesho ya...

 

10 years ago

Vijimambo

GREAT NEWS: A new TV Show for Southern Africans and Friends!!!


Episode 1 of Southern African Connection introduces viewers to our TV Show and what they can expect to see on future episodes. We go behind the scene introducing the show, the people behind the show and also highlighting some of the events we have covered. More at www.southernafricanconnection.com. Enjoy and please share. Special thanks to:

Producer: Rachel Nghiwete

Asst. Producer: Omega Tawonezvi

Project Manager: Sitinga Kachipande

Editor: Connie Nkosi

Tech.Director: Happy Garcia

Audio & CG: Roy...

 

10 years ago

Dewji Blog

Shilole Shishi Baby atua Ubelgiji kwa kishindo…Ijumaa atafanya show Leuven na Jumamosi Brussel

DSCF9899

Furaha ilishika nafasi pale mwanadada Shilole alipowasili uwanja wa kimataifa wa ndege wa Zaventem jijini Brussel.

 Msanii Shilole akiwa na furaha baada ya kupokelewa na wenyeji wake uwanja wa ndege wa kimataifa wa Zaventem jijini Brussel. The Big Boss Mohammed akiwa na msanii Shilole muda mfupi tu baada ya kuwasili uwanjani Brussel 

Msanii Shishi Baby Shilole akipata picha na mmoja wa sapota wake bidada Latifa

 Chantel akiwa na msanii Shilole baby Shilole akipata picha na mmoja wa...

 

10 years ago

GPL

KINANA AHITIMISHA ZIARA KWA KISHINDO IRINGA‏

 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihuubia huku mkono wake ukiwa umefungwa POP, katika mkutano wa hadhara katika viwanja vya Mwembetogwa, mjini Iringa jana wa kuhitimisha ziara  ya siku sita mkoani Iringa kuimarisha uhai wa chama, kukagua Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.…
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani