SSRA katika maonesho ya Sherehe ya wakulima (NANE NANE) Mkoani Morogoro
![](http://2.bp.blogspot.com/-v74xOq8eBb0/VckYk3-mGUI/AAAAAAAHv8k/OvSD6_pO5Q4/s72-c/Untitled.png)
Afisa uhusiano mwandamizi Bw. Fulgence Sebera akitoa maelezo ya shughuli za Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) kwa Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Mhe. Majid Mwanga (wa tatu kulia) aliyeambatana na viongozi wengine wa TASO walipotembelea banda la SSRA katika sherehe za maonesho ya wakulima Nanenane yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere mkoani Morogoro.
Mch. Vernon Fernandes (aliyekaa) alipotembelea banda la SSRA katika maonesho ya Nanenane Morogoro,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8Y-PmuEk6Y0/U-BCueUC4oI/AAAAAAAAVpg/8DP0uHaAP-k/s72-c/1.jpg)
VETA KATIKA MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE VIWANJA VYA NGONGO MKOANI LINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-8Y-PmuEk6Y0/U-BCueUC4oI/AAAAAAAAVpg/8DP0uHaAP-k/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HgshWnOm--g/U-BCuXLiyHI/AAAAAAAAVpo/YoDPxn6ZFNo/s1600/2.jpg)
11 years ago
MichuziWIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA YASHIRIKI KIKAMILIFU MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE KITAIFA MKOANI LINDI
Naibu Katibu mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Maria Bilia akipiga picha ya pamojanaViongozi mbalimbali waserikali katika maonyesho ya Nanenane 2014, Lindi.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-47CPhXDolr4/U-XeUHmj8QI/AAAAAAAF-Dw/i89wNv3srCY/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL MGENI RASMI MAONESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA NANE NANE KITAIFA MKOANI LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-47CPhXDolr4/U-XeUHmj8QI/AAAAAAAF-Dw/i89wNv3srCY/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-U_mP3q90Jh4/U-XecCsyZtI/AAAAAAAF-E4/UqK-tC-xnw4/s1600/6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qqUp5jQ1ILI/VcZhqeEC1RI/AAAAAAAHvX0/XDWllfsBj7A/s72-c/unnamed%2B%252865%2529.jpg)
JESHI LA MAGEREZA LAIBUKA MSHINDI WA JUMLA MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE KIKANDA TAASISI ZA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-qqUp5jQ1ILI/VcZhqeEC1RI/AAAAAAAHvX0/XDWllfsBj7A/s640/unnamed%2B%252865%2529.jpg)
Jeshi la Magereza nchini limeibuka Mshindi wa kwanza kwa upande wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama katika Maonesho ya Nane Nane yaliyofanyika katika Kanda ya Kasikazini(Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nthii1H0v6A/U9u5TAkwfpI/AAAAAAAF8SY/Q9S3aPw-_YQ/s72-c/unnamed+(36).jpg)
Dkt. Shein afungua Maonesho ya Nane Nane Mkoani Lindi leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-nthii1H0v6A/U9u5TAkwfpI/AAAAAAAF8SY/Q9S3aPw-_YQ/s1600/unnamed+(36).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6nVvwS9PIq4/U9u5TeoOTaI/AAAAAAAF8Sg/4Crj6kBSF74/s1600/unnamed+(37).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-l03LjZXQ9eA/U9u5Tggyw8I/AAAAAAAF8Sc/t9lhVBwxdp0/s1600/unnamed+(38).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VzgMOCLnFFo/VcINcDn352I/AAAAAAAHuXc/9XtRv-c_j1M/s72-c/image.jpeg)
BANDA LA JESHI LA MAGEREZA KUWANUFAISHA WANANCHI WA LINDI NJIA BORA ZA KISASA ZA UFUGAJI MIFUGO, MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE KITAIFA
Wananchi mbalimbali wa Mikoa ya Lindi na Mtwara wanaotembelea katika Banda la Jeshi la Magereza Maonesho ya Wakulima Nane Nane Kitaifa wananufaika na elimu inayotolewa bure na Maafisa Mifugo wa Jeshi hilo kuhusiana na njia bora na za Kisasa za Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa na nyama.
Akizungumza umuhimu wa elimu hiyo kwa Wananchi, Mkuu wa Banda la Jeshi la Magereza, Mlasani Kimaro amesema lengo kubwa la kutoa elimu hiyo kwa Wananchi ni kusaidia kuboresha vipato vyao...
10 years ago
Dewji Blog07 Aug
Maonesho ya Nane Nane kitaifa yanayofanyika mkoani Lindi yafikia siku ya sita
Wananchi wote mnakaribishwa kutembela banda la Wizara ya Fedha na taasisi zilizo chini yake ikiwemo UTT AMIS, Mfuko wa Pensheni PPF, GPSA na UTT PID uwanja wa maonesho ya kilimo ya Nane Nane Kitaifa Ngongo mkoani Lindi.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA), Josephat Mwambega akipokea fomu ya kujiunga na Mfumo wa Amana inayotolewa na Mfuko wa Pensheni wa PPF kutoka kwa Afisa Masoko wa Mfuko huo Nelusigwe Mwalugaja wakati alipotembelea banda la Wizara ya Fedha. Wa...
11 years ago
Dewji Blog06 Aug
Tigo yafunika maonesho ya Nane Nane mkoani Lindi
Umati wa watu waliofurika kwenye banda la Tigo Nanenane mkoani Lindi kushuhudia promosheni mbali mbali zitolewazo na kampuni hiyo.
Wananchi wa Lindi wakishuhudia burudani ya sarakasi iliyoandaliwa na Tigo.
Meneja wa Mauzo wa mikoa ya Lindi na Mtwara kutoka Tigo Bw. Daniel Maimuya akimuelekeza Afisa Kilimo wa Mkoa Bw. John Likango jinsi ya kutumia huduma ya Tigo Kilimo, huduma inayomwezesha mkulima kupata taarifa ya jinsi ya kufanya kilimo cha kisasa kupitia simu yake ya mkononi.
Watoto...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lGnSrp4oR90/U94P58BXoBI/AAAAAAAF8mI/XHke9rzYBKE/s72-c/unnamed+(21).jpg)
MKUU WA WILAYA YA NACHINGWEA ATEMBELEA BANDA LA JESHI LA MAGEREZA MAONESHO YA NANE NANE KITAIFA MKOANI LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-lGnSrp4oR90/U94P58BXoBI/AAAAAAAF8mI/XHke9rzYBKE/s1600/unnamed+(21).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oGaM6Dzgq-8/U94P6HUk_KI/AAAAAAAF8mM/QspIjzi3t0c/s1600/unnamed+(22).jpg)