Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STANBIC BANK INAJIVUNIA KUWA MDAU MKUBWA WA MEDANI YA SOKA DUNIANI



NA MWAMVUA MWINYI, BAGAMOYO .
TAASISI ya kifedha ya Stanbic imejivunia,kuwa wadau wakubwa katika medani ya soka, wakigusia michuano mikubwa ya kombe la Dunia na Ligi Kuu ya nchini Uingereza. 
Hatua hiyo ambayo benki hiyo imekuwa ikiichukua katika medani ya michezo hususani soka, imeelezwa kuwa kivutio kikubwa kwa mamilioni ya wapenda soka kutokana na kujitangaza kupitia mashindano hayo. 
Hayo yalielezwa na meneja wa benki ya Stanbic nchini ,Richard Chenga kwa niaba ya Mkurugenzi, akizungumza na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JK ALIPOIKABIDHI VODACOM CHETI CHA KUWA MDAU MKUBWA WA KUHAMASISHA WANANCHI KUHUSIANA NA SUALA LA KUZUIA AJALI BARABARANI

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi cheti Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano wa  Vodacom Tanzania, Bi. Rosalynn Mworia  kwa niaba ya kampuni yake  kwa kuwa mdau mkubwa wa  kuhamasisha wananchi kuhusiana na suala la kuzuia ajali barabarani. Makabidhiano hayo yalifanyika katika uzinduzi wa wiki ya nenda kwa usalama  iliyomalizika hivi karibuni mjini Tanga.

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AIKABIDHI VODACOM CHETI CHA KUWA MDAU MKUBWA WA KUHAMASISHA WANANCHI KUHUSIANA NA SUALA LA KUZUIA AJALI BARABARANI‏

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi cheti Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Rosalynn Mworia kwaniaba ya kampuni yake kwakuwa mdau mkubwa wa kuhamasisha wananchi kuhusiana na suala la kuzuia ajali barabarani.Makabidhiano hayo yalifanyika katika uzinduzi wa wiki ya nenda kwa usalama iliyomalizika hivi karibuni mjini Tanga. ...

 

10 years ago

TheCitizen

Armed robbers grab Sh1bn at Stanbic bank

>Nine employees of Stanbic Bank in Dar es Salaam were arrested yesterday evening as the police moved in to investigate a walk-in robbery in which over Sh1 billion was reportedly carted away by armed suspects.

 

11 years ago

Dewji Blog

Stanbic Bank’s Kahama customer wins Amarok

By Staff Reporter

STANBIC Bank Tanzania, a member of the Standard Bank group, yesterday held a raffle for a draw of its campaign known as ‘switch’

The winner of the campaign was revealed through a raffle draw held at Stanbic headquarters in Dar es Salaam.

The campaign dubbed “Switch”, began on January 28 this year and attracted at least 1,296 participants, was won by Frank Msilu, from Kahama district in Shinyanga.

Speaking during Stanbic Bank’s Head of personal and Business Banking...

 

10 years ago

Michuzi

We remain committed to serving our customers - Stanbic bank tanzaia

Stanbic Bank Tanzania has been made aware of the Parliamentary report regarding IPTL and the Tegeta Escrow account and the associated suggestion that the Bank might have permitted money laundering through banking an affected party. 

We are satisfied that Stanbic Bank Tanzania has complied with all of its anti-money laundering obligations and co-operated fully with the authorities in their investigations. We wish to reassure our customers that Stanbic Bank Tanzania has stringent and robust...

 

10 years ago

IPPmedia

Police hold 6 suspects over Stanbic bank robbery in Dar


Daily News
Police hold 6 suspects over Stanbic bank robbery in Dar
IPPmedia
Police in Dar es Salaam have arrested six suspects in connection with last month's robbery incident at the Mayfair Plaza Stanbic Branch in Dar es Salaam. Among the arrested include three former employees of the bank. Speaking to press yesterday in Dar es ...
Stanbic Bank Heist Suspects in Police CustodyAllAfrica.com

all 4

 

5 years ago

CNBCAfrica.Com

Stanbic Bank names Anne Jukko as its first Ugandan female CEO

Stanbic Bank names Anne Jukko as its first Ugandan female CEO  CNBCAfrica.com

 

5 years ago

Michuzi

Stanbic bank hosts breakfast session to discuss opportunities in the Mozambique Oil and Gas sector to promote industrialization

Standard Bank Head of Oil and Gas Paul Eardley-Taylor speaking about the opportunities resulting from Mozambique Liquefied Natural Gas project, during a breakfast session held in Dar es Salaam, recently. Stanbic Bank is committed to facilitating investment in the oil and gas sector to promote industrialization and economic growth.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani