Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Standard Tz yaendelea kuwa kinara

Kampuni mama ya Stanbic Tanzania, Benki ya Standard Group imeshinda tuzo ya kutoa huduma bora za ubadilishaji fedha za kigeni tofauti na taasisi nyingine yoyote ya fedha barani Afrika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Mabingwa Standard Chartered TZ waahidi kuwa mabalozi wazuri

Wachezaji wa timu ya Dar es Salaam Corridor Group (DCG)  ya Tanzania wameahidi kuwa mabalozi wazuri wa soka baada ya mafunzo waliyopata kutoka kwa makocha wa Liverpool.
Mafunzo hayo yaliyoandaliwa chini ya udhamini wa benki ya  Standard Chartered Tanzania yaliwahusisha wachezaji sita ambao walikuwa chini ya gwiji wa zamani wa timu ya Liverpool John Aldridge.
Wachezaji hao ni  Salim  Kuziwa, Michael Lyimo, Rafael  Kutoka, Yusuph Lugonzo, Godfrey Waninda na Abdallah Maguzo.
Nahodha wa DCG,...

 

11 years ago

Dewji Blog

JK amteua Gabriel Nderumaki kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard NewsPapers (TSN)

NDERUMAKI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Gabriel Lyimo Nderumaki (pichani) kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard NewsPapers (TSN).

Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Mei, 2014.

Kabla ya uteuzi huo Bwana Nderumaki alikuwa Kaimu Mhariri Mtendaji wa Kampuni hiyo.

“Mwisho”

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,

Ikulu.

Dar es Salaam.

22 Mei,...

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete amteua Bw. Gabriel Nderumaki kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard NewsPapers (TSN).

Bwana Gabriel Lyimo Nderumaki,Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard NewsPapers (TSN).  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Gabriel Lyimo Nderumaki kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard NewsPapers (TSN). 
 Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Mei, 2014.
 Kabla ya uteuzi huo Bwana Nderumaki alikuwa Kaimu Mhariri...

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya Standard Chartered yazindua “Kombe la Standard Chartered Trophy — Njia kwenda Anfield 2015

Viongozi wa vitengo mbalimbali wa Benki ya Standard Chartered wakipigiga mpira kwa pamoja kuashiria uzinduzi wa shindano la soka la “Kombe la Standard Chartered – Njia Kwenda Anfield” katika ofisi za Benki hiyo mapema leo. Kutoka kushoto kwenda kulia ni: Femi Alonge - Mkuu wa kitengo cha Wateja wa Makampuni Makubwa, Juanita Mramba – Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Masoko, Mike Shio – Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi na Ruth Zaipuna – Mkuu wa Kitengo cha...

 

11 years ago

TheCitizen

BY THE WAY: Is skinny really the standard beauty?

>There are certain things that are better left unsaid about women, these include their age and lately even their weight especially, when it is on the plus side. A woman’s weight is something no man can fathom out, it is such a sensitive matter.

 

9 years ago

Gauge Railway, More Roads

As Magufuli aims at standard


TVC News
As Magufuli aims at standard-gauge railway, more roads
IPPmedia
Singida CCM regional campaign chairman Captain John Chiligati has called upon voters to stay away from politicians bent on acquiring leadership positions with the use of financial muscle. Chiligati, the outgoing MP for Manyoni East constituency, made ...
Magufuli sketches middle income road mapDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
Tensions rise ahead of tight Tanzania voteNew Vision
Tensions rise ahead of...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Thousands Sit for Standard Seven Examinations


Thousands Sit for Standard Seven Examinations
AllAfrica.com
AS Standard Seven examinations kicked off on Wednesday in the country, there had been no cheating cases or examination malpractices spotted in Dar es Salaam region. Dar es Salaam Region Education Officer, Raymond Mapunda, told the 'Daily News' in ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani