STARTIMES LEAGUE KUENDELEA WIKIENDI HII LIVE
Ligi Daraja la Daraja la Kwanza (StarTimes League) inatarajiwa kuendelea wikiendi hii kwa michezo kumi na mbili kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini, huku kituo cha StarTv kikitarajiwa kuonyesha moja kwa moja michezo miwili ya ligi hiyo.Kundi A Ijumaa, Januari Mosi 2016 Polisi Dar watawakaribisha Mji Mkuu katika uwanja wa Karume jijini Dar es salaam, huku kesho Jumamosi michezo tisa ikichezwa katika viwanja mbalimbali nchini.Jumamosi StarTv watakua uwanja wa Karume jijini Dar es salaam...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 May
EPL kuendelea wikiendi hii
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Ligi kuu England kuendelea wikiendi hii
10 years ago
Michuzi
LIGI KUU YA VODACOM KUENDELEA WIKIENDI HII

Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania inatarajiwa kuendelea wikiendi hii katika viwanja sita tofauti nchini, viwanja vinne vikitimua vumbi kesho jumamosi, na michezo miwili kuchezwa siku ya jumapili.
Jumamosi JKT Ruvu watakua wenyeji wa Coastal Union katika Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi jijini Dar es salaam, huku wakata miwa wa Kagera Sugar wakiwakaribisha maafande wa Ruvu Shooting katika uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.
Timu ya Mtibwa Sugar watawakaribisha Azam FC kwenye uwanja wa...
11 years ago
Michuzi.jpg)
10 years ago
Michuzi
11 years ago
GPL
10 years ago
Michuzi
11 years ago
Michuzi
10 years ago
Habarileo16 Oct
Ligi Daraja la Kwanza kunguruma wikiendi hii
LIGI Daraja la Kwanza chini (FDL) inatarajiwa kuendelea wikiendi hii kwa michezo 12 kuchezwa katika viwanja mbalimbali kutoka katika makundi yote matatu ya A, B, na C.