Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Suarez angojewa kwa hamu Barcelona

Luis Suarez anaelekea kumaliza kutumikia adhabu aliyoipata wakati wa michuano ya kombe la dunia mwaka huu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Hatimaye Luis Suarez atua Barcelona kwa pauni milioni 75

Klabu ya soka ya Liverpool imekubali kumuuza mshambulizi wake Luis Suarez kwa Barcelona kwa pauni milioni 75. Mchezaji huyo wa Uruguay ,ambaye amepigwa marufuku ya kutocheza mpira miezi miinne baada ya kukutwa na hatia ya kumng’ata begani mchezaji mwenzake wa Italy, Giorgio Chiellini wakati wa mechi yao katika kombe la dunia anatarajia kusafiri kwenda Barcelona […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Barcelona: Suarez kucheza Jumatatu

Licha ya kupigwa marufuku kwa miezi 4 Barcelona imetangaza kuwa Luis Suarez atacheza katika mechi ya kirafiki.

 

11 years ago

BBCSwahili

Barcelona inataka kumsajili Suarez

Licha ya kukabiliwa na marufuku ya miezi minne Barcelona haija kata tamaa ya kumsajili Suarez

 

11 years ago

BBCSwahili

Luis Suarez ahamia Barcelona

Liverpool imekubali kumuuza Luis Suarez kwa Barcelona kwa kima cha pauni milioni 75.

 

5 years ago

Mirror Online

Barcelona star Luis Suarez opens door to return to former club

Barcelona star Luis Suarez opens door to return to former club  Mirror OnlineView Full coverage on Google News

 

9 years ago

MillardAyo

Video na pichaz za ushindi wa FC Barcelona fainali ya klabu Bingwa Dunia, Messi na Suarez waingia nyavuni …

Michuano ya klabu Bingwa Dunia imeendelea tena kwa mchezo wa fainali kupigwa katika uwanja wa Nissan, mchezo wa fainali ya klabu Bingwa Dunia umepigwa kwa kuzikutanisha timu mbili klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambaye ni muwakilishi wa bara la Ulaya katika michuano hiyo dhidi ya klabu ya River Plate kutoka bara la America. Huu […]

The post Video na pichaz za ushindi wa FC Barcelona fainali ya klabu Bingwa Dunia, Messi na Suarez waingia nyavuni … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video)

Baada ya klabu ya TP Mazembe inayochezewa na washambuliaji wa wawili wa Tanzania Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kutolewa katika mashindano ya klabu Bingwa Dunia katika hatua ya robo fainali dhidi ya Sanfrecce kwa goli 3-0, December 17 ilikuwa ni zamu ya Mabingwa wa Ulaya FC Barcelona kutupa karata yao katika hatua ya nusu fainali. […]

The post Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video) appeared first on...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mafuta yasubiriwa kwa hamu Turkana

Maandamano tayari yameshuhudiwa miongoni mwa wakaazi wa Turkana wanaodai hawajaona matunda ya kugunduliwa mafuta eneo hilo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani