Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barcelona: Suarez kucheza Jumatatu

Licha ya kupigwa marufuku kwa miezi 4 Barcelona imetangaza kuwa Luis Suarez atacheza katika mechi ya kirafiki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Luis Suarez ahamia Barcelona

Liverpool imekubali kumuuza Luis Suarez kwa Barcelona kwa kima cha pauni milioni 75.

 

11 years ago

BBCSwahili

Barcelona inataka kumsajili Suarez

Licha ya kukabiliwa na marufuku ya miezi minne Barcelona haija kata tamaa ya kumsajili Suarez

 

10 years ago

BBCSwahili

Suarez angojewa kwa hamu Barcelona

Luis Suarez anaelekea kumaliza kutumikia adhabu aliyoipata wakati wa michuano ya kombe la dunia mwaka huu

 

5 years ago

Mirror Online

Barcelona star Luis Suarez opens door to return to former club

Barcelona star Luis Suarez opens door to return to former club  Mirror OnlineView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Bongo5

Hatimaye Luis Suarez atua Barcelona kwa pauni milioni 75

Klabu ya soka ya Liverpool imekubali kumuuza mshambulizi wake Luis Suarez kwa Barcelona kwa pauni milioni 75. Mchezaji huyo wa Uruguay ,ambaye amepigwa marufuku ya kutocheza mpira miezi miinne baada ya kukutwa na hatia ya kumng’ata begani mchezaji mwenzake wa Italy, Giorgio Chiellini wakati wa mechi yao katika kombe la dunia anatarajia kusafiri kwenda Barcelona […]

 

10 years ago

CloudsFM

BARCELONA KUCHEZA NA TANZANIA MACHI 28 TAIFA

TIMU ya wachezaji nyota wa zamani Barcelona FC watacheza mechi na wachezaji wa zamani wa Tanzania, Tanzania All stars machi 28 kwenye uwanja wa taifa.Mwakilishi wa wachezaji wa Barcelona, Patrick Kluivert alisema jana mechi hiyo itawahusisha wachezaji nyota wa Barcelona wakiwemo, Edgar Davis,Gaiza Mandieta, Ludovi Giuly, Francesco Coco na wengine waliopita kwenye timu hiyo.Kluivert alisema "ameshakuwa mwenyeji hapa Tanzania kwani ni ujio wake wa tatu na anaamini kuwa mashabiki wanapenda...

 

9 years ago

MillardAyo

Video na pichaz za ushindi wa FC Barcelona fainali ya klabu Bingwa Dunia, Messi na Suarez waingia nyavuni …

Michuano ya klabu Bingwa Dunia imeendelea tena kwa mchezo wa fainali kupigwa katika uwanja wa Nissan, mchezo wa fainali ya klabu Bingwa Dunia umepigwa kwa kuzikutanisha timu mbili klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambaye ni muwakilishi wa bara la Ulaya katika michuano hiyo dhidi ya klabu ya River Plate kutoka bara la America. Huu […]

The post Video na pichaz za ushindi wa FC Barcelona fainali ya klabu Bingwa Dunia, Messi na Suarez waingia nyavuni … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video)

Baada ya klabu ya TP Mazembe inayochezewa na washambuliaji wa wawili wa Tanzania Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kutolewa katika mashindano ya klabu Bingwa Dunia katika hatua ya robo fainali dhidi ya Sanfrecce kwa goli 3-0, December 17 ilikuwa ni zamu ya Mabingwa wa Ulaya FC Barcelona kutupa karata yao katika hatua ya nusu fainali. […]

The post Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video) appeared first on...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mfaransa Sean Garnier aja Tanzania kuonyesha umahiri wa kucheza mpira wa mtaani huku akibinuka sarakasi na kucheza dansi

Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohan’s John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.

Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo akifafanua machache mbele ya waandishi wa habari mara baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani