Sudan K.kujua hatima yake katika EAC leo
Viongozi wa kanda ya Afrika Mashariki kuamua iwapo Sudan Kusini itajiunga na muungano au la.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NDILiAzzLEXJ2AszLGF*W4T00MELXOYP8jKsAMxgtQw*2X4Ht1ecX-7hzPda6*smccgafozLtshnDit9jVXY87ATDtrM8GZk/151429671__583769c.jpg?width=650)
PISTORIUS KUJUA HATMA YAKE LEO
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Miaka 30: Cristiano Ronaldo na hatima yake katika soka
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Mtuhumiwa wa mauaji aomba kujua hatima yao
10 years ago
Mtanzania08 May
Marais EAC kuamua hatima ya Nkurunziza
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WAKUU wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanatarajia kukutana Dar es Saalam Mei 13 mwaka huu, katika mkutano wa dharura utakaoamua hatima ya Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi.
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa jana, ilieleza kuwa hatua hiyo imechukuliwa wiki chache baada ya amani kuchafuka nchini Burundi kutokana na chama tawala cha CNDD-FDD kumteua Rais Nkurunziza kuwania nafasi hiyo kwa muhula wa...
10 years ago
BBCSwahili11 Sep
Oscar Pistorius kujua hatma yake
10 years ago
VijimamboWATAKA WESTERN SAHARA IWE HURU KUJIAMULIA HATIMA YAKE
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ilN-kcree68/VDxVbwx8XYI/AAAAAAAGqMs/mNxMwPaRh_I/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
WATAKA WESTERN SAHARA IWE HURU KUJIAMULIA HATIMA YAKE
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Hatima ya vigogo Kinondoni leo
HUKUMU ya kesi namba 38/2013 ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili mweka hazina wa Manispaa ya Kinondoni, Alfred Mlowe na wenzake 12, inatarajiwa kutolewa leo katika Mahakama ya Mkoa Tanga....
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Hatima ya nyumba za mabondeni leo
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
HATIMA ya nyumba zilizojengwa maeneo ya mabondeni katika Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salam itajulikana leo kama zitabomolewa au laa.
Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, inatarajia kutoa uamuzi huo, baada wananchi kufungua kesi wakipinga kubomolewa nyumba zao.
Uamuzi huo, unatarajiwa kutolewa mahakamani hapo mbele ya Jaji Panterine Kente wa mahakama hiyo baada ya wananchi wanane kwa niaba ya wenzao wanaoishi katika maeneo hayo kufungua kesi kupinga hatua ya...