Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sudan Kusini :Kumbukumbu ya John Garang

Leo ni miaka 10 imepita tangu kufariki kwa kiongozi wa kundi la waasi wa SPLM nchini Sudani, John Garang.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kumbukumbu ya Garang

Leo ni miaka 10 imepita tangu kufariki kwa kiongozi wa kundi la waasi wa SPLM nchini Sudani, John Garang.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rebecca Garang: Viongozi wamefeli S Kusini

Mama wa taifa la Sudan Kusini Rebecca Garang amesema kuwa viongozi wa taifa hilo akiwemo yeye mwenyewe wamewafeli raia.

 

9 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA MWALIMU JOHN CHARLES KAYUZA

Mwalimu JOHN CHARLES KAYUZA (02/ 12/ 2010 – 02/ 12/ 2015)Leo Baba umetimiza miaka 5 tangu ulipoitwa na Bwana tarehe 02/ 12/ 2010 saa 12 asubuhi.Baba tunakukumbuka sana kwa upendo wako, Hekima zako, busara zako na ulikuwa ni mshauri mzuri katika familia.
Unakumbukwa sana na mkeo mpendwa Edna, watoto wako wapendwa Josephine, Masauko, Hellen na Lwanda, mkweo Japhet Mwaisupule na wajukuu zako Gave na kippy.
Unakumbukwa sana na Kaka yako Mathew Kayuza, Mdogo wako Joseph Kayuza, Binamu yako Jaji...

 

9 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) ulitiwa saini usiku wa jana, Jumatano, Januari 21, 2015, katika sherehe ya kufana iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Ngurdoto, Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha.

Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...

 

9 years ago

CCM Blog

PICHA ZA KUMBUKUMBU BAADA YA RAIS DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI KUZINDUA BUNGE DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na wabunge muda mfupi baada ya kuhutubia na kuzindua rasmi Bunge la 11 mjini Dodoma Jumamosi Novemba 20, 2015
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Spika Mstaafu Mhe Pius Msekwa huku Spika Mstaafu mwingine Mhe Anne Makinda akisubiri zamu yake muda mfupi baada ya kuhutubia na kuzindua rasmi Bunge la 11 mjini Dodoma Jumamosi Novemba 20, 2015
Rais wa...

 

10 years ago

Michuzi

Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza utiaji wa saini. Kutoka kulia ni  Mhe. Salva Kiir Mayardit  Rais wa Sudan Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa SPLM na anayeongoza kundi linalojulikana kama SPLM in Government (SPLM-IG), Mhe Dkt. Riek Machar ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa SPLM na pia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Sudan Kusini anayeongoza kundi la SPLM in Opposition (SPLM-IO) na Dkt. Deng Alor Kuol ambaye anaongoza kundi la SPLM Leaders- Former Detainees (SPLM Leaders – FD). Nyuma yao ni...

 

10 years ago

GPL

Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) jijini Arusha

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia wakati  Rais Salva
Kiir Mayardiy wa Sudan ya Kusini (kushoto) na Makamu wa Rais wa zamani
wa Sudan Dkt Riek Machar Teny (wa pili kulia) wakipeana mikono na
kubadilishana nyaraka baada ya kutia saini mkatana wa  makubaliano ya
kukiunganisha upya chama cha SPLM cha Sudani Kusini katika hoteli ya…
...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mzozo wa Sudan kusini

Viongozi wa pande zinazopingana Sudan, hawajaunda serikali ya mpito katika kipindi cha siku 90 kama ilivyokubaliwa mwezi wa 8.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani