Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUMBUKUMBU YA MWALIMU JOHN CHARLES KAYUZA

Mwalimu JOHN CHARLES KAYUZA (02/ 12/ 2010 – 02/ 12/ 2015)Leo Baba umetimiza miaka 5 tangu ulipoitwa na Bwana tarehe 02/ 12/ 2010 saa 12 asubuhi.Baba tunakukumbuka sana kwa upendo wako, Hekima zako, busara zako na ulikuwa ni mshauri mzuri katika familia.
Unakumbukwa sana na mkeo mpendwa Edna, watoto wako wapendwa Josephine, Masauko, Hellen na Lwanda, mkweo Japhet Mwaisupule na wajukuu zako Gave na kippy.
Unakumbukwa sana na Kaka yako Mathew Kayuza, Mdogo wako Joseph Kayuza, Binamu yako Jaji...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere

Tanzania inaadhimisha kumbukumbu ya miaka 15 tangu kufariki kwa mwasisi wa taifa hilo marehemu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

 

10 years ago

Dewji Blog

VIDEO: Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere na Magavilla

Untitled

HAVE A REFLECTIVE NYERERE DAY! Twitter @cmagavilla

 

10 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA MAREHEMU MWALIMU NOVATI SIMEON RUTAGERUKA


TAREHE 5 - MEI - 2015, UMETIMIZA MIAKA MITANO TANGU MWENYEZI MUNGU ALIPOKUTWAA TOKA HAPA DUNIANI.  PAMOJA NA KWAMBA KIMWILI HAUPO NASI, KIROHO TUNAKUKUMBUKA DAIMA.
UNAKUMBUKWA DAIMA NA WATOTO WAKO FLORIDA, ILLUMINATA, LIBERATA, DUNSTAN, JOYCE NA EDWIN PAMOJA NA WAKWE, WAJUKUU, NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI.


IBADA YA MISA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU MWALIMU RUTAGERUKA ITAADHIMISHWA SIKU YA JUMANNE TAREHE  5 - MEI - 2015, KATIKA KANISA LA MTAKATIFU JOSEPH, DAR-ES-SALAAM, SAA 11.30 JIONI.


BWANA ALITOA,...

 

10 years ago

GPL

KUMBUKUMBU YA MIAKA 15 TANGU KIFO CHA MWALIMU NYERERE

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. WATANZANIA leo tunaadhimisha kumbukumbu ya miaka 15 tangu kufariki kwa muasisi na Rais wa kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Mwalimu Nyerere alifariki dunia Oktoba 14, 1999 akiwa nchini Uingereza alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na maradhi ya kansa ya damu. Akizindua rasmi maadhimisho ya kumbukumbu hizo jana, Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Kate Kamba alisema kitaifa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini :Kumbukumbu ya John Garang

Leo ni miaka 10 imepita tangu kufariki kwa kiongozi wa kundi la waasi wa SPLM nchini Sudani, John Garang.

 

10 years ago

GPL

KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MWALIMU NYERERE YAZINDULIWA JIJINI DAR

Mgeni rasmi katika hafla hiyo, Kate Kamba, akizungumza na wanahabari …Akizindua maadhimisho hayo.…

 

9 years ago

Vijimambo

LEO NI MIAKA 16 YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MWALIMU JULIUS NYERERE

Mwalimu Nyerere alikuwa na uwezo wa kuona mbali, hata alipopingwa baadaye waliompinga walikiri ukweli wa maono yake. 
By Pius Msekwa
Ni dhahiri kwamba Mwalimu Nyerere anakumbukwa kwa mambo mengi ya msingi aliyoyapa kipaumbele wakati wa uongozi wake. Jambo mojawapo alilisema Julai 29 Julai, 1985, kwamba: “Kazi iliyokuwa muhimu kuliko zote kwangu mimi, ilikuwa ni kujenga Taifa lenye umoja kwa msingi wa heshima na usawa wa binadamu”.

Lakini yapo mambo mengine mengi ya uongozi wake ambayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani