Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUMBUKUMBU YA MAREHEMU MWALIMU NOVATI SIMEON RUTAGERUKA


TAREHE 5 - MEI - 2015, UMETIMIZA MIAKA MITANO TANGU MWENYEZI MUNGU ALIPOKUTWAA TOKA HAPA DUNIANI.  PAMOJA NA KWAMBA KIMWILI HAUPO NASI, KIROHO TUNAKUKUMBUKA DAIMA.
UNAKUMBUKWA DAIMA NA WATOTO WAKO FLORIDA, ILLUMINATA, LIBERATA, DUNSTAN, JOYCE NA EDWIN PAMOJA NA WAKWE, WAJUKUU, NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI.


IBADA YA MISA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU MWALIMU RUTAGERUKA ITAADHIMISHWA SIKU YA JUMANNE TAREHE  5 - MEI - 2015, KATIKA KANISA LA MTAKATIFU JOSEPH, DAR-ES-SALAAM, SAA 11.30 JIONI.


BWANA ALITOA,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA MIAKA MITANO YA KIFO CHA MWALIMU NOVATI SIMEON RUTAGERUKA


TAREHE 5 - MEI  UMETIMIZA MIAKA MITANO TANGU MWENYEZI MUNGU ALIPOKUTWAA TOKA HAPA DUNIANI.  PAMOJA NA KWAMBA KIMWILI HAUPO NASI, KIROHO TUNAKUKUMBUKA DAIMA.

UNAKUMBUKWA DAIMA NA WATOTO WAKO FLORIDA, ILLUMINATA, LIBERATA, DUNSTAN, JOYCE NA EDWIN PAMOJA NA WAKWE, WAJUKUU, NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI.


IBADA YA MISA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU MWALIMU RUTAGERUKA ITAADHIMISHWA SIKU YA JUMANNE TAREHE  5 - MEI - 2015, KATIKA KANISA LA MTAKATIFU JOSEPH, DAR-ES-SALAAM, SAA 11.30 JIONI.



BWANA ALITOA, BWANA...

 

5 years ago

Michuzi

TANGAZO LA KUMBUKUMBU YA MZEE NOVATI RUTAGERUKA



MAREHEMU MWALIMU NOVATI SIMEON RUTAGERUKA
TAREHE 5 - MEI - 2020, UMETIMIZA MIAKA KUMI TANGU MWENYEZI MUNGU ALIPOKUTWAA TOKA HAPA DUNIANI.  PAMOJA NA KWAMBA KIMWILI HAUPO NASI, KIROHO TUNAKUKUMBUKA DAIMA. 
UNAKUMBUKWA DAIMA NA WATOTO WAKO ILLUMINATA, LIBERATA, DUNSTAN, JOYCE NA EDWIN PAMOJA NA WAKWE, WAJUKUU, NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI. NI IMANI YETU KUWA MWENYEZI MUNGU AMESHAWAKUTANISHA HUKO MBINGUNI NA MPENDWA MKEO THERESIA NYAMICHWO NA BINTI YAKO MPENDWA FROLIDA AMBAO NAO WAMETWALIWA NA...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere

Tanzania inaadhimisha kumbukumbu ya miaka 15 tangu kufariki kwa mwasisi wa taifa hilo marehemu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

 

10 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA MAREHEMU BAKARI .M. NYAMBI

Familia ya Bw.BAKARI NYAMBI wa Temeke Dar es Salam wanakumbuka kifo cha baba yao mpendwa Bw.BAKARI NYAMBI kilichotokea tarehe 22.09.2014 siku ya Alhamisi na kuzikwa Ijumaa hapa DSM.Leo ni siku ya kumbukumbu yake mpendwa wetu Bakari Nyambi,kama ndugu jamaa na marafiki wa familia hiyo tunaomba kushirikiana katika kumuombea kwa mungu siku zote za maisha yetu.
Tulimpenda sana hila Mungu alimpenda zaidi (‘TUKUMBUKE MANENO WANAYOTUELEZA WAZAZI KWANI YANA FAIDA KWA MAISHA YA BAADAE HASA...

 

11 years ago

Michuzi

Kumbukumbu ya Marehemu Saidaty Mfilinge

Miaka minne iliyopita, tarehe kama ya leo, ni siku ambayo hatuwezi kuisahau kamwe. Ni siku ambayo ulituacha ndugu zako katika majonzi makubwa sana. Ingawa hatukuoni, hatuongei na wewe, hatubadilishani mawazo kama ilivyokuwa wakati wa uhai wako, hatujaacha kukukumbuka na kukuombea kwa Mwenye ezi Mungu kila siku. Unakumbukwa sana Mama yako, ndugu na jamaa zako wote. Mwenye ezi Mungu Ailaze roho yako Mahala Pema Peponi, Amina. Inna Lillahi wa inna ilaihi raji'un!

 

11 years ago

Michuzi

Kumbukumbu ya marehemu Lucy F. Njeama

Mpendwa wetu LUCY FIDELIS NJEAMA, Leo yapata miaka mitatu tangu siku ulipotutoka,lakini yaonekana kama ni Jana tu kwa jinsi ulivyotushiba. Unakumbukwa sana na mume wako, wanao Glory, Glady na Gallya, wazazi wako,dada na kaka zako na ndugu na Jamaa wote waliokupenda. Daima utabakia mioyoni mwetu tukikukumbuka kwa sala na maombi. Twamuomba Mungu akupokee katika ufalme wake, AMEN.

 

9 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA MWALIMU JOHN CHARLES KAYUZA

Mwalimu JOHN CHARLES KAYUZA (02/ 12/ 2010 – 02/ 12/ 2015)Leo Baba umetimiza miaka 5 tangu ulipoitwa na Bwana tarehe 02/ 12/ 2010 saa 12 asubuhi.Baba tunakukumbuka sana kwa upendo wako, Hekima zako, busara zako na ulikuwa ni mshauri mzuri katika familia.
Unakumbukwa sana na mkeo mpendwa Edna, watoto wako wapendwa Josephine, Masauko, Hellen na Lwanda, mkweo Japhet Mwaisupule na wajukuu zako Gave na kippy.
Unakumbukwa sana na Kaka yako Mathew Kayuza, Mdogo wako Joseph Kayuza, Binamu yako Jaji...

 

10 years ago

Dewji Blog

VIDEO: Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere na Magavilla

Untitled

HAVE A REFLECTIVE NYERERE DAY! Twitter @cmagavilla

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani