SUMATRA yatahadharisha wanaosafiri kipindi cha msimu wa siku kuu za mwisho wa mwaka
Katibu Mtendaji wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafi wa nchi kavu na Majini, Dk Oscar Kikoyo akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es salaam jana juu ya hali ya usafiri kipindi cha siku kuu za Krismas na mwaka mpya ambapo ametahadharishja abiria kuto kukubali kutozwa nauri za juu na pindi ikitokea hivyo Sumatra ipewe taarifa haraka. Soma taarifa kamili hapa chini. (Source Father Kidevu Blog).
NAURI HALALI ZA MABASI YA MIKOANI
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-68Eh7If52J0/VEPKQmRmITI/AAAAAAAABNA/1noySCXgDmU/s72-c/FullSizeRender.jpg)
9 years ago
MichuziJESHI LA POLISI LAANZA KUTOA ELIMU KWA ABIRIA NA MADEREVA ILI KUKABILIANA NA AJALI KATIKA KIPINDI CHA MWISHO WA MWAKA
10 years ago
Michuzi02 Mar
HAFLA YA KIKUNDI CHA WAHITIMU WA CHUO CHA MZUMBE WALIOMALIZA MASOMO KATIKA KIPINDI KATI YA MWAKA 1992 NA MWAKA 1996 YAFANA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/13.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/24.jpg)
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/41.jpg)
![5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/51.jpg)
9 years ago
StarTV17 Dec
Upandishaji Nauli Kipindi Cha Sikukuu SUMATRA Mbeya yatoa tahadhari
Mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa majini na nchi kavu nchni SUMATRA Mkoa wa Mbeya imewatahadharisha wamiliki wa vyombo vya usafiri kutokupandisha nauli katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu za mwisho mwa mwaka.
Afisa Mfawidhi wa SUMATRA mkoani Mbeya Denis Daudi amesema mamlaka hiyo haitasita kuwachukulia hatua watoa huduma wakiwemo wamiliki, wafanyakazi na wapiga debe wa vyombo vya usafiri watakaokiuka agizo hilo.
Akizungumza na Star tv, Denis amesema yamejengeka mazoeza ya kila...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CeqftBs_HwI/VkiWx0akE5I/AAAAAAAIF7w/DK8kOBRnYrk/s72-c/4788748b75d5066858755ac5973e9f2d.jpg)
JK alipotua Dodoma kuongoza kikao cha siku moja cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kujadili majina ya walioomba kugombea Uspika
![](http://2.bp.blogspot.com/-CeqftBs_HwI/VkiWx0akE5I/AAAAAAAIF7w/DK8kOBRnYrk/s640/4788748b75d5066858755ac5973e9f2d.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c1T2y99qqkA/VkiW1el6J9I/AAAAAAAIF74/byI1HWv9iRU/s640/231f052ece9fe2d443699739ec975e0a.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EbVmOjLBkOk/VJpfBr1w4dI/AAAAAAAG5es/JqEDh0Vdk14/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Wateja wa Airtel Money kutuma pesa bure kwa msimu huu wa siku kuu
![](http://4.bp.blogspot.com/-EbVmOjLBkOk/VJpfBr1w4dI/AAAAAAAG5es/JqEDh0Vdk14/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
Akiongea wakati wa uzinduzi wa promosheni hiyo Mkurugenzi wa Mawasiliano Bi Beatrice Singano Mallya alisema” Tumeona ni vyema kuwazawadia wateja wetu nchin nzima na kuwawezesha kutuma pesa BURE wakati wa msimu huu wa sikukuu kwani tunatambua wateja wetu na watanzania wanafanya miamala...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gJ99xVrjqDk/VmSs0U14G-I/AAAAAAAIKio/K5aNM11zuY8/s72-c/20151205_200103.jpg)
J&M VIRGO WASHUSHA MALI MPYA KATIKA KIPINDI HIKI CHA MSIMU WA SIKUKUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-gJ99xVrjqDk/VmSs0U14G-I/AAAAAAAIKio/K5aNM11zuY8/s1600/20151205_200103.jpg)
FIKA ILI UWEZE KUJIPATIA VIWALO VYA KIJANJA,POCHI BABKUBWA,MOKA...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6aOMGtxdGe6WHi4gd8FQRoDn*4stbPC8Td8WqbzLApRiuEZe466rN7TU9CJCOAS1zjuVb*fQhmS6lEs9Dx92YOhlA1gTqHmx/BeatriceSingano.jpg?width=650)
WATEJA WA AIRTEL MONEY KUTUMA PESA BURE KWA MSIMU HUU WA SIKU KUU
10 years ago
VijimamboKLABU YA RUVU SHOOTING YAUNGANA NA POLISI MORO SC KUSHUKA DARAJA LIGI KUU TANZANIA BARA MSIMU WA MWAKA 2014/2015.
![](https://ramadhaniabubakari.files.wordpress.com/2012/10/81.jpg?w=593&h=311)
Ndanda FC imefanikiwa kubaki ligi kuu Tanzania bara baada ya kuilaza Yanga SC bao 1-0 katika uwanja wa Nangwanda mjini Mtwara.
Kipigo walichopata Polisi Moro SC cha bao 1-0 dhidi ya Mbeya City kimewafanya kupata tikiti ya kushuka daraja na kuungana na Ruvu Shooting.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/00.1stand-united-Vs-mtibwa11.jpg)
Kwa upande wa Stend United yenyewe imepata matokeo mazuri ya bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting na kuinusuru timu hiyo kushuka daraja huku ikiiachia dhahama Ruvu Shooting.
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/TFF-Tanzania-Prisons.jpg)
Kikosi cha Prison.
Klabu za Polisi Moro SC na Ruvu...