Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sunfish; samaki mzito kuliko wote

LEO tumzungumzie samaki anayeaminika kuwa na mwili mzito kabisa miongoni mwa samaki wenye mifupa. Samaki huyo anayeitwa sunfish, hujulikana pia kwa jina maarufu la molamola au mola. Rekodi zilizopo zinaonyesha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

SUNFISH: samaki asiye na mkia

WIKI iliyopita tulianza kuangalia sifa za samaki aina ya sunfish. Tukaangalia ukubwa wake na kuelezwa ni mmoja wa samaki wakubwa duniani wenye mifupa. Hata hivyo, pamoja na ukubwa huo, uti...

 

11 years ago

Mwananchi

Cye:Paka mfupi kuliko wote afariki akiwa na miaka 24

Miezi miwili iliyopita, tuliwaletea makala fupi kuhusu paka aliyeitwa Poppy maarufu kwa jina la Cye aliyekuwa akishikilia rekodi ya ufupi kuliko wote duniani, ambaye wiki hii amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 24.

 

10 years ago

Bongo Movies

"Kajala ni rafiki MBAYA KULIKO WOTE DUNIANI, NAJUTA kumsaidia" - Wema Sepetu

HATARI BALAA!, Wema finally kaamua kufunguka kuhusu Kajala.  Yani kamwaga ubuyu wote! kaongeaaaaaaaaa mpaka mwisho, ni hatari sana!

Amedai Kajala is the worst friend she has ever had. Na kasema ana regret kumsaidia Kajala,ile kumlipia kumtoa jela anasema anaregret vibaya sana.

Tusimalize uhondo. Msikilize mwenyewe akiongea HAPA

 

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford: Bongo Movies Nzima, Irene Uwoya Ndio Mwenye Roho Nzuri Kuliko Wote

Mwigizaji wa filamu,Shamsa Ford amefunguka kwa kusema yake ya moyoni kuhusu ni kwajinsi gani mwigizaji mwenzake, Irene Uwoya anavyojitoa kwa wenzake, kwa kusema kuwa Irene ndie mwenye roho nzuri kuliko wanawake wote wa Bongo Movie.

Mara baada ya kuiweka picha hiyo hapo juu ya Irene Uwoya Shamsa aliandika;

“Kwa mtazamo wangu mimi katika wanawake wa bongo movie nzima hamna mwanamke anayempata iren kwa roho nzuri, ni mtu ambaye anapenda wenzake, anaweza akatumia hata senti yake ya mwisho...

 

11 years ago

Michuzi

Mhe.Theddy Ladislaus Patrick mjumbe wa bunge la katiba mwenye umri mdogo kuliko wote mjengoni

 Mhe.Theddy Ladislaus Patrick (21) Mbunge mwenye umri mdogo kuliko wote katika bunge maalum la katiba anaye wakilisha taasisi za elimu ya juu akiingia mjengoni Dodoma   Mwenyekiti wa Bunge Maalum Mhe.Samweli Sitta kushoto akimwapisha Mhe.Theddy Ladislaus Patrick kuwa mbunge wa bunge maalum. Mhe.Theddy Ladislaus Patrick akibadilishana mawazo na  wajumbe Mhe.Beatrice Shelukindo kulia na mhe. Hamad  Rashid  nje ya ukumbi wa bunge mjini Dodoma leo. Picha na Deusdedit Moshi wa Globu ya...

 

9 years ago

MillardAyo

RIP mtu mnene kuliko wote duniani, kutana na picha za mwili wake wakati wa uhai wake

Unakumbuka au umwahi kusikia zile headlines za mtu mnene kuliko wote duniani, basi imenifikia stori yake mpya japokuwa sio njema mtu wangu. Andres Moreno jamaa ambaye anashikilia rekodi ya kuwa mtu mnene duniani amefariki dunia December 25 siku ya sikukuu ya Chrismass. Stori kutoka indianexpress.com zinaeleza Andres Moreno ambaye alikuwa anatajwa kuwa na uzito wa Kilogram […]

The post RIP mtu mnene kuliko wote duniani, kutana na picha za mwili wake wakati wa uhai wake appeared first on...

 

11 years ago

Michuzi

TAMASHA LA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MANGWEA JUNI 28, SAMAKI SAMAKI MOROGORO

MASTAA mbalimbali nchini wakiwemo wanamuziki wanatarajiwa kushiriki kwenye tukio maalum la kumbukumbu ya mwaka mmoja tokea kifo cha marehemu Albert Mangwea ‘Ngwair’ , litakalofanyika ndani ya ukumbi wa Nyumbani Park (Samaki samaki Spot) , Kihonda Morogoro mjini Juni 28.  Mratibu Mtendaji wa tamasha hilo, Kareeem Omary ‘KO’ amesema maandalizi ya tukio hilo litakalokuwa la kila mwaka, limepwa jina la ‘Love Concert - Kumbukumbu ya kifo cha Albert Mangwe’.  Kareem amewaomba wadau...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani