Taarifa kwa Wajumbe wa Bunge Maalum
Katibu wa Bunge Maalum Bwana Yahaya Khamis Hamad anawatangazia Wajumbe wote wa Bunge Maalum kuwa wafike kwenye viwanja vya Bunge leo saa 8:45 mchana ili kushiriki kikao cha Bunge Maalum kitakachoanza saa 9:00 mchana na kufuatiwa na hutuba ya ufunguzi wa Bunge Maalum itakayotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete saa 10 jioni. Kwa maelezo zaidi piga 0713 123 254.
Imetolewa na Ofisi ya Katibu wa Bunge Maalum DODOMA
21/03/2014
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi15 Feb
10 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kushauriana na Rais wa Zanzibar kuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, na kula kiapo cha utekelezaji wa jukumu hili kubwa.Tukiamini kuandaa Katiba Mpya kwa maridhiano ya Kitaifa kwa wananchi wote, tulipokea jukumu hili kama wajibu wetu Kitaifa. Aidha tunaamini kwamba katika kupata maridhiano ya Kitaifa ni muhimu kuheshimu kila wazo na...
11 years ago
Michuzi08 Mar
TAARIFA MUHIMU: Semina ya wajumbe wa Bunge maalum imeahirishwa mpaka saa tisa mchana leo.
Kikao cha semina ya wajumbe wa Bunge maalum la Katiba kilichokuwa kiendelee leo saa nne asubuhi baada ya Mwenyekiti wake wa Muda Mhe. Pandu Amir Kificho Kuaarisha jana mchana sasa kitaendelea leo tarehe 8 machi 2014 saa tisa alasiri.
Hii ni kutokana a kamati ya maridhiano inayopitia vifungu ilivyokuwa inafanyia kazi kuomba mda zaidi.Hivyo wajumbe wote wa Bunge maalum wanaombwa kufika Bungeni kuendelea na semina hiyo saa tisa alasiri badala ya saa nnne asubuhi.
Imetolewa na: Katibu wa...
Hii ni kutokana a kamati ya maridhiano inayopitia vifungu ilivyokuwa inafanyia kazi kuomba mda zaidi.Hivyo wajumbe wote wa Bunge maalum wanaombwa kufika Bungeni kuendelea na semina hiyo saa tisa alasiri badala ya saa nnne asubuhi.
Imetolewa na: Katibu wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TGfB4SnXNfo/UyVnLFMAkGI/AAAAAAAFT7k/-Tz_4mnM7WQ/s72-c/unnamed+(23).jpg)
wajumbe wa bunge maalum wahitimisha zoezi la kuapa kwa muda uliopangwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-TGfB4SnXNfo/UyVnLFMAkGI/AAAAAAAFT7k/-Tz_4mnM7WQ/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fr4oCJ66EEk/UyVnK0D_hjI/AAAAAAAFT7c/XASx6aFTyJ0/s1600/unnamed+(24).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wyztZuzeng4/UyVnLFL8NHI/AAAAAAAFT7g/hIyjDqZPvVs/s1600/unnamed+(25).jpg)
11 years ago
Michuzi13 Feb
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania