Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA PWANI LEO MEI 26, 2014

Kamanda wa polisi mkoani Pwani Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) Ulrich Matei .

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LEO TAREHE 14.06.2014.

JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LINAWASHIKILIA WATU WAWILI KWA TUHUMA TOFAUTI.


KATIKA MSAKO WA KWANZA:


MTU MMOJA ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA EDGAR PATRICK (24) MKAZI WA MAPOROMOKO ANASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA AKIWA NA BHANGI KILO 12 AMBAYO ALIIFICHA KATIKA NDOO YA PLASTIC.


MTUHUMIWA ALIKAMATWA MNAMO TAREHE 13.06.2014 MAJIRA YA SAA 13:36 MCHANA KATIKA MTAA WA MAPOROMOKO, KATA NA TARAFA YA TUNDUMA, WILAYA YA MOMBA, MKOA WA MBEYA.


MSAKO WA PILI:


MTU MMOJA ALIYEFAHAMIKA KWA...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LEO TAREHE 09.02. 2014.

AFISA MSAMBAZAJI WA TANROAD AFARIKI  DUNIA KATIKA AJALI YA BARABARANI MKOANI MBEYA.
GARI LISILOFAHAMIKA NAMBA ZAKE ZA USAJILI WALA DEREVA WAKE LILIMGONGA MPANDA PIKIPIKI AITWAYE ANDREW CHIWINGA (50) AFISA MSAMBAZAJI WA TANROAD NA MKAZI WA IWAMBI MBEYA ALIYEKUWA ANAENDESHA PIKIPIKI YENYE NAMBA ZA USAJILI STK 8793 AINA YA TVS STAR NA KUSABABISHA KIFO CHAKE PAPO HAPO.  AJALI HIYO ILITOKEA MNAMO TAREHE 08.02.2014 MAJIRA YA SAA 20:45HRS USIKU ENEO LA IYUNGA WILAYA YA MBEYA VIJIJINI. CHANZO CHA...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LEO TAREHE 27.04.2014.

KATIKA TUKIO LA KWANZA:

 MTOTO ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA VANESA PATRICK NJOJO (03) MKAZI WA ISISI, WILAYANI MBARALI ALIUAWA KWA KUPIGWA NGUMI NA BABA YAKE MZAZI AITWAYE PATRICK  NJOJO (23) MKAZI WA ISISI.
TUKIO HILO LIMETOKEA MNAMO TAREHE 26.04.2014 MAJIRA YA SAA 23:45USIKU HUKO KATIKA KIJIJI CHA ISISI, KATA NA TARAFA YA RUJEWA, WILAYA YA MBARALI, MKOA WA MBEYA. INADAIWA KUWA CHANZO CHA TUKIO HILI ULEVI WA POMBE ZA KIENYEJI WA BABA HUYO. MTUHUMIWA AMEKAMATWA, MWILI WA MAREHEMU...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA TABORA LEO TAREHE 26/05/2014.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora ACP Suzan S. Kaganda  leo ameongea na waandishi wa habari na kutoa taarifa ya mafanikio yaliyopatikana katika misako ya wahalifu na uhalifu, ambapo kumekematwa bastola, gobore , banghi gunia sita mitambo ya kutengenezea pombe ya moshi.  Afande ACP Suzan S. Kaganda KAMANDA WA POLISI MKOA WA TABORA akionesha gobore iliyotengenezwa kienyeji ikiwa imekatwa kitako na risasi 2 za shotgun na 3 za SMG/SAR
Pistol Glock17 namba TZ Car 91968  ikiwa na magazine yenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani