Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tabia za ovyo za wazazi zinaathiri makuzi ya watoto

Upo msemo wa Kiswahili usemao; mtoto wa nyoka ni nyoka au mwana wa muhunzi asipo sana, hufukuta. Huu ni ukweli usiopingika kwa kutazama jinsi tabia nzuri au mbaya za mzazi zinavyoweza kuathiri makuzi ya mtoto.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UFAHAMU MTANDAO WA MALEZI MAKUZI NA MAENDELEO YA WATOTO WADOGO TANZANIA (TECDEN)

unnamedKaimu Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Bruno GhumpiMtandao wa Malezi Makuzi na Maendeleo ya Watoto Wadogo Tanzania – TECDEN ni chombo kinachoundwa na mashirikia mbalimbali yanayofanya kazi za kuhudumia watoto wadogo Tanzania. 
Mtandao huu ulianzishwa mwaka 2000 na kusajiliwa rasmi mwaka 2004. Makao makuu ya Mtandao huu yapo Jijini Dar es salaam. 
Hadi kufikia mwaka 2014 Mtandao huu una jumla ya mashirika wanachama wasiopungua 200 katika mikoa 14 ya Tanzania bara na Visiwani yanayotoa huduma kwa...

 

10 years ago

GPL

UFAHAMU MTANDAO WA MALEZI MAKUZI NA MAENDELEO YA WATOTO WADOGO TANZANIA (TECDEN)‏

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Bruno Ghumpi. Mtandao wa Malezi Makuzi na Maendeleo ya Watoto Wadogo Tanzania – TECDEN ni chombo kinachoundwa na mashirikia mbalimbali yanayofanya kazi za kuhudumia watoto wadogo Tanzania. Mtandao huu ulianzishwa mwaka 2000 na kusajiliwa rasmi mwaka 2004. Makao makuu ya Mtandao huu yapo Jijini Dar es salaam. Hadi kufikia mwaka 2014 Mtandao huu una jumla ya mashirika wanachama wasioungua 200...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la Usonji watakiwa kuwapenda watoto hao

Mama-Salma-Kikwete

Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete.

Na Anna Nkinda – Maelezo

 Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la usonji (Autism) nchini wametakiwa kuwapenda, kuwatunza  na kuwapa mahitaji yao kama watoto wengine kwani ni makusudi na mapenzi ya Mwenyezi Mungu kuwapa watoto hao.

Mwito huo umetolewa leo na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete wakati akiongea na walimu, walezi na wazazi wa watoto hao katika Shule ya Msingi...

 

5 years ago

Michuzi

WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Hadija Mwinuka ametoa wito kwa wazazi wenye watoto wenye mahitaji maalum wawapeleke shule badala ya kukaa nao nyumbani na kuwafungia

Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya

Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume  wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...

 

10 years ago

Mwananchi

Kukabiliana na tabia ya kung’ata kwa watoto

Tabia ya kung’ata kwa watoto ni miongoni mwa changamoto kubwa katika ulezi zinazowakabili wazazi na walezi wengi wa watoto. Kila mmoja kwa wakati wake amekuwa akiumiza kichwa kuangalia ni jinsi gani anaweza kupambana na tatizo hilo.

 

9 years ago

Mwananchi

Wazazi wakiamua watoto watafanikiwa

Shule ya kwanza ya mtoto ni mzazi au mlezi. Ushauri, maagizo na falsafa ya mzazi, huamua mwelekeo wa mtoto kimasomo na kimaisha.

 

10 years ago

Mwananchi

Wazazi wanachangia watoto kufeli

Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita Tanzania imekuwa na rekodi nzuri ya kupanua wigo wa elimu kuanzia idadi ya wanafunzi, walimu na miundombinu.

 

10 years ago

Mwananchi

Wazazi tuzitathmini shule za watoto wetu

Naomba kwanza niwatakie heri ya sikukuu ya Krismasi na maandalizi mema ya kuupokea mwaka ujao wa 2015 kwa wote watakaobahatika kuufikia. Tumwombe Mungu mwenye kuumiliki uhai wetu atupe upendeo wa kuufikia mwaka huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani