Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAHARUKI JENGO LA DERM LENYE OFISI ZA TIGO MAKUMBUSHO

Jengo lenye ofisi za Tigo lililopo Makumbusho, Dar limezua taharuki baada ya kusikika kishindo ndani na kuwafanya watu wote waliokuwemo kukimbilia nje!

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WILLIAM MPINGA AKIONGELEA KUHUSU MTIKISIKO ULIOTOKEA KATIKA JENGO LA OFISI ZA TIGO

Meneja Chapa wa Tigo, William Mpinga, akiongea na wanahabari baada ya mtikisiko kutokea katika jengo la Derm lenye ofisi za kampuni ya simu za mkononi ya Tigo lililopo Makumbusho jijini Dar es Salaam leo.

 

11 years ago

GPL

KAMANDA WAMBURA AKIONGEA NA WANAHABARI BAADA YA MTIKISIKO KWENYE JENGO LA OFISI ZA TIGO DAR

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camilius Wambura akiongea na wanahabari jirani na jengo la Derm lenye ofisi za Tigo lililopo Makumbusho jijini Dar es Salaam palipotokea mtikisiko leo. (VIDEO: BALINABAS MANYILIZU / GPL)

 

11 years ago

Mwananchi

Kituo kipya cha makumbusho chazua Taharuki

Dar es Salaam. Wakazi wa maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam jana walikumbwa na taharuki baada ya kituo cha daladala cha Mwenge kuhamishiwa eneo la Makumbusho .

 

9 years ago

Global Publishers

Picha: Moto Wazua Taharuki Jengo la Wizara ya Mambo ya Ndani

????????????????????????????????????Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nchi wakiwa katika wamesimama nje ya jengo hilo baada ya kutokea hitilafu ya cheche za umeme katika gholofa ya nne.Moto (2)Wafanyakazi ambao walipata mshtuko wa ghafla wakiwa nje ya jengo hilo.

Moto (3)????????????????????????????????????Baadhi ya maofisa wa jeshi la polisi wanaofanya kazi zao katika jengo hilo la wizara ya mambo ya ndani wakitoka nje baada ya hitilafu hiyo.????????????????????????????????????Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, SSP, Advera Senzo Bulimba,akizungumza na waandishi wa habari nje ya jengo la wizara ya mambo ya ndani...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA DODOMA DR REHEMA NCHIMBI AMEFUNGUA JENGO LA HUDUMA KWA WAGONJWA WA NJE (O.P.D) KWENYE KITUO CHA AFYA LUMUMA MPWAPWA LENYE THAMANI YA MIL.350

 Hafla ya ufunguzi wa jengo jipya la huduma kwa wagonjwa wa nje OPD kwenye kituo cha afya cha lumuma Mpwapwa iliyofanyika mwishoni mwa wiki ilitanguliwa na ibada takatifu iliyoongozwa na makamu wa askofu kanisa katoliki dodoma padiri Chesco Msaga (wa pili kulia) kituo hiko cha afya kinamilikiwa na kanisa hilo kupitia shirika lake la watawa la Mt. Gema. Mkuu wa Mkoa Dodoma Dr Rehema Nchimbi akiwa amembeba mtoto aliyepewa jina la Rehema na mama yake kama ishara ya kumuenzi mkuu huyo wa Mkoa...

 

10 years ago

GPL

OFISI YA MAKAMU WA RAIS NA MAKUMBUSHO YA TAIFA WATOA MAFUNZO KWA SHULE ZA MSINGI DAR

Ofisa Elimu wa Makumbusho ya Taifa, Anamary Bagenyi (kulia) akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafunzo hayo. Kushoto ni Ofisa Ustawi wa Jamii, Idara ya Muungano Ofisi ya Makamu wa Rais, Elimida Kashuna. Ofisa Ustawi wa Jamii, Idara ya Muungano Ofisi ya Makamu wa Rais, Elimida Kashuna (katikati), akizungumzia mafunzo hayo mbele ya wanahabari.… ...

 

11 years ago

GPL

MAOFISA WA TIGO WATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS

Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (kulia) akiteta jambo na maofisa wa Tigo.  Katikati ni  Suleiman Asilia na John Wanyancha. Abdallah Mrisho akiwatambulisha maofisa hao kwa wafanyakazi wa Global.…

 

10 years ago

Michuzi

JENGO LA OFISI NDOGO YA CCM MTAA WA LUMUMBA LATEMBEZEWA NYUNDOZZ

Wananchi wakiangalia jengo la ofisi ndogo ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) la Lumumba, ambapo kilizaliwa chama cha Tanu lililobomolewa kupisha ujenzi wa jengo jipya la chama hicho Dar es Salaam jana
Dotto Mwaibale
JENGO la ofisi ndogo la Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Mtaa wa Lumumba Dar es Salaam ambako ndiko kilizaliwa Chama cha Tanu limebomolewa ili kupisha ujenzi wa jengo jipya la chama hicho.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM,Nape Nnauye alisema jengo hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani