TAMASHA LA FIESTA 2014 LILIVYOSAMBAZA UPENDO KWA WAKAZI WA MJI WA MOSHI MWISHONI MWA WIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Gtr0pGK_Fcc/VAOAg5eTI9I/AAAAAAACpn0/-p5Ml9sXcB0/s72-c/b.jpg)
Mmoja wa mashabiki wa tamasha la Fiesta 2014 pichani akitazama kwa makini yaliyokuwa yakijiri kwenye jukwaa la tamasha hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki mjini Moshi.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka THT,Rachael akiimba kwa hisia jukwaani.
Mashabikii wakishangilia jambo wakati wasanii mbalimbali wa tamasha la Fiesta 2014 wakiendelea kutumbuiza jukwaani.
Mwanadada Feza Kessy akiimba jukwaani wakati wa tamasha la Fiesta 2014 lililofanyka mwishoni mwa wiki katika viwanja vya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tEh2B4dZ7yA/VA1JCwQOoyI/AAAAAAAGhf8/3xQ4wHLV3OI/s72-c/IMG_4860.jpg)
TAMASHA LA FIESTA 2014 LASAMBAZA UPENDO WA KUTOSHA KWA WAKAZI WA MUSOMA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-tEh2B4dZ7yA/VA1JCwQOoyI/AAAAAAAGhf8/3xQ4wHLV3OI/s1600/IMG_4860.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hfZZub2-blU/VAzHCRLG1hI/AAAAAAACqLE/lVavBPNQ9wM/s1600/1%2B(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bJk4yJXaGpw/VAzZxDw9a0I/AAAAAAACqMk/dSDj9ePOjkw/s1600/IMG_4197.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0cPmGNgf51M/VBNloT72_bI/AAAAAAACquM/1WIpqy1LTpo/s72-c/5.jpg)
WAKAZI WA SHINYANGA WAKUNWA NA UJIO WA TAMASHA LA FIESTA,LEO KUSAMBAZA UPENDO KWA WAKAZI WA GEITA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0cPmGNgf51M/VBNloT72_bI/AAAAAAACquM/1WIpqy1LTpo/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qvJtI-FXRpE/VBNpzXDxTgI/AAAAAAACquk/NcynDHmhNvE/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-txkv9zEdcDM/VBNp0e6MWFI/AAAAAAACqu0/xzNCMXQVVRg/s1600/4.jpg)
11 years ago
Michuzi17 Feb
WAZEE WA NGWASUMA WALIVYOWAPAGAWISHA WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA MWISHONI MWA WIKI
![DSCF2780](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/4kmjN7xTPf20TTTqwx1y0cS5k01p2BCxX8ZyiCzghoxCZrwklYLpqITI5YIvIZZfpxWW29wbKaEPFWUKAo1PtzTS_lIYrRPwrrGI1W5fUbKyp5IFDNVK1Xq0aTwiTQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2780.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2770](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/VXHesam46xP_k5Isch4ZASILVf1P7Fusj89hJR40jdCc-ZcswK8ICCFbNJkMqN1lCa22Sc9rNCcRon8FsR1X0nBTQxLFX9u3vhta7BiXo4kf-LKb4i2RlO4Qvf64cQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2770.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2783](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/BBd_xO5q9hYFKA-2icj3dsLOdOn9t0sut6NuRgvdz0dbjbMasQLOpR8qsVP7BAT98LXBYcmXT9xP9T0BSFP-PpWT41EGl7Snxr8Mqhkxa9_uDsf_SAYQZ0ufCsmu-g=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2783.jpg?w=627&h=470)
![DSCF2778](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/QDnp3ONur2FlRAUBdcO8bEKRfo1CqK58N2gVA-EW3SHzVWWqhXDHC9vASEoQCUEUpIL-XuZGox_Uv3uOcEGeZzmMNi1ZUS5k1SruXANfmBw-peCrAMUVA3LKoScUcA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2778.jpg?w=627&h=470)
10 years ago
Dewji Blog25 Nov
Hii ni zaidi ya burudani ya Tamasha la Tigo Welcome Pack wilayani Kahama mwishoni mwa wiki
Msanii wa vichekesho Lucas Mhavile a.k.a Joti akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo Welcome Pack.
Msanii wa vichekesho Masanja akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo Welcome Pack.
Msanii wa vichekesho mpoki akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo Welcome Pack.
Msanii wa Bongo fleva Mwana FA akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-i3vxXIdtXEA/VC_rv5Is2HI/AAAAAAACsKA/pt0XDxgqh8c/s72-c/2.jpg)
WAKAZI WA SINGIDA WAKUNWA NA UPENDO WA TAMASHA LA FIESTA,KESHO JUMAPILI KURINDIMA MJINI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-i3vxXIdtXEA/VC_rv5Is2HI/AAAAAAACsKA/pt0XDxgqh8c/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YJ6zUyxIra0/VC_ryMcP0HI/AAAAAAACsKg/tnUHISGSC4Y/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IFA7HV9lUbA/VC_rzNHblzI/AAAAAAACsKw/CK_TApSh-qQ/s1600/5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-P2qiopCGtTQ/VDG4UiO2-TI/AAAAAAAGoJM/81rDX6TEwrE/s72-c/1.jpg)
WAKAZI WA DODOMA WASAMBAZA UPENDO WA KUTOSHA NDANI YA TAMASHA LA FIESTA MKOANI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-P2qiopCGtTQ/VDG4UiO2-TI/AAAAAAAGoJM/81rDX6TEwrE/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XjgVr8hRH6I/VDHP97QoYbI/AAAAAAAGoNE/DRSpW2L9ZwA/s1600/7.jpg)
Pichani ni kulia ni Msanii wa bongofleva AbdulKiba akiimba sambamba na kaka yake Alli Kiba ambaye amekuwa akifanya vyema katika anga ya muziki wa kizazi kipya kupitia nyimbo zake mbili alizoziachai hivi karibuni,ikiwemo MwanaDaisalama na Kimasomaso,
![](http://3.bp.blogspot.com/-q01ufSDEll8/VDJOCTrlcuI/AAAAAAACsT0/Xpoq0k0Ow9Y/s1600/IMG_3191.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Nov
Tamasha la Tigo Welcome Pack lapagawisha wakazi wa Mji wa Moshi
Wasanii wa kundi la Original Komedi wakitoa burudani kwenye uwanja wa Ushirika Mjini Moshi wakati wa kampeni ya kifurushi cha Tigo welcome pack, Kifurushi hicho kitamwezesha mtumiaji wa Tigo kupata muda wa maongezi wa dakika 20, mb175,sms bila kikomo na pesa shilingi mia 500 kwenye akaunti yake ya tigopesa, yote hayo kwa shilingi 1000 mteja atakaponunua laini yake ya Tigo.
Msanii Emmanuel Mgaya Maarufu Masanja Mkandamizaji akiwapa raha wakazi wa Moshi waliofurika kwenye uwanja wa...
10 years ago
GPLTIMU YA VODACOM YALALA 1-0 KWA CBA MWISHONI MWA WIKI