Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tangawizi, Vanilla zahitajika nje -Tan Tanzania

WAKULIMA nchini wameshauriwa kuongeza uzalishaji wa mazao ya viungo hasa tangawizi na Vinilla  na kuviongeza thamani kutokana na kuwapo kwa soko kubwa nchi za Ulaya. Pia kampuni za Ulaya  zipo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Wakulima wa Tangawizi Same kunufaika kiuchumi

Na Zephania Renatus,

Same.

Tatizo la ukosefu wa barabara lililokuwa likiwakabili wakulima wa zao la Tangawizi kufikisha mazao yao kiwandani katika kata ya Mamba Myamba wilayani Same Mkoani Kilimanjaro huenda likamalizika mwishoni mwa mwezi Februari mwaka huu, baada ya serikali kwa kushirikiana na benki ya maendeleo ya afrika kutenga kiasi cha shilingi bilioni 2. ili kukamilisha ujenzi wa barabara hizo.

 

Barabara hizo mbili zenye urefu wa kilimota 13.9 zinazopita katika vijiji nne vya...

 

5 years ago

The African Exponent

Why Vanilla Beans are the new “Superfood”

Why Vanilla Beans are the new “Superfood”  The African Exponent

 

9 years ago

Habarileo

Mbunge agawa mbegu za tangawizi kukuza uchumi

MBUNGE wa Madaba, Songea Vijijini, Joseph Mhagama amesema njia rahisi ya kuwainua wananchi ni kutafuta mazao ambayo wakiuza yanaweza kutatua matatizo yao kwa haraka.

 

10 years ago

Vijimambo

MIRIA KINUNDA NA UTENGENEZAJI WA SHURUBATI YA TANGAWIZI NA LIMAU


Modern Swahili Recipes For The West, cookbook is now Available at Amazon World-wide. Check Amazon in your country. Also in USA you can get at Walmart and Barnes and Noble Online or ask your nearest store. Now on sale at Amazon USA http://www.amazon.com/dp/0988735903/ Thank you Miriam Kinunda Author of Taste of Tanzania Cookbook

 

11 years ago

Daily News

Zanzibar gets Vanilla Islands membership to boost tourism


Zanzibar gets Vanilla Islands membership to boost tourism
Daily News
ZANZIBAR'S ongoing efforts to develop its tourism sector have received an astounding boost after the isles joined the Vanilla Islands group. Vanilla Islands, formed in 2010, is an affiliation of the island nations of Seychelles, Madagascar, La Reunion, ...

 

10 years ago

Mwananchi

Sh1.5/- trilioni zahitajika ukarabati wa reli ya kati

Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (Rahaco), imesema kiasi cha Sh1.5 trilioni kinahitajika kukarabati reli ya kati ili iweze kurudi katika hali yake ya kawaida.

 

10 years ago

BBCSwahili

MSF:Mbinu mpya zahitajika kukabili Ebola

Shirika la Madaktari wasio na mipaka MSF limetoa wito wa kutumia mbinu mpya kupambana na Ebola

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zaidi ya Mil. 500/- zahitajika sherehe za mwenge Kagera

MKUU wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe, amesema zaidi ya sh milioni 500 zinahitajika kukamilisha sherehe za kuwasha mwenge kitaifa, Mei 2, mwaka huu. Kanali Massawe aliwaomba wadau...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani