Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania kinara wa elimu Kusini

Katika miaka ya hivi karibuni Watanzania wamekuwa wakishuhudia wanafunzi wengi wakifanya vibaya katika mitihani ya mwisho, jambo ambalo limekuwa likiwatia shaka wananchi kuhusu mustakabali wa elimu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini kinara-kriketi

Timu ya kriket ya Afrika Kusini, imeendelea kufanya vizuri katika michuano ya kombe la dunia la kriketi kwa kuichapa Sri Lanka.

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Uhamasishaji rasilimali wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Sylvia Lupembe, alipotembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania Jumatano Tarehe 13 Mei 2015.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tanzania kinara mimba za utotoni

LICHA ya jitihada za Serikali na wadau wengine wa mitandao ya kijinsia kutoa elimu kwa jamii juu ya athari za mimba za utotoni, Tanzania bado imeendelea kuwa kinara katika tatizo...

 

10 years ago

Mwananchi

Ripoti: Tanzania kinara wa utumwa A.Mashariki

Ripoti mpya ya kimataifa kuhusu hali ya utumwa duniani imeitajaTanzania kuongoza Afrika Mashariki kwa kuwa na zaidi ya watu 350,000 wanaotumikishwa maeneo mbalimbali nchini.

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania kinara udhibiti utakatishaji fedha haramu

TANZANIA imetajwa kuwa miongoni mwa nchi barani Afrika, ambazo zimeimarisha mifumo yake ya ndani ya kudhibiti utakatishaji wa fedha haramu.

 

11 years ago

Mwananchi

Ripoti: Tanzania kinara biashara meno ya tembo

Kwa hali ilivyo sasa, inatabiriwa kuwa baada ya miaka saba, kama jitihada hazitafanyika, tembo watatoweka katika ardhi ya Tanzania.

 

10 years ago

Michuzi

TBL YAWA KINARA ULIPAJI KODI TANZANIA

Waziri Kiongozi Mstaafu wa Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha, akikabidhi Kombe la mshindi wa Meneja wa Fedha wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Alois Qande, wakati wa maadhimisho ya nane ya mlipa kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania, Dar es Salaam hivi karibuni.

 

10 years ago

Michuzi

NANI KUIBUKA KINARA WA TUZO ZA FILAMU TANZANIA!

  Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Simon Mwakifwamba(kulia) akielezea jambo kwa wana habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza walioingia katika hatua ya mwisho ya kushindania Tuzo za Filamu Tanzania leo jijini Dar es Salaam katika mkutano na wana habari uliofanyika katika hotel ya New Africa ya jijini Dar es Salaam, kulia kwake ni Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya tuzo hizo Caroline Gul na mmoja wa wadhani kutoka International Eye Hospital Dr. Recep Yujel.Jaji mkuu katika mchakato...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani