Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania kushiriki Miss Grand International 2014

Kwa mara ya kwanza katika historia, mshiriki kutoka Tanzania ataliwakilisha Taifa kwenye mashindano ya urembo ya kimataifa yanayofahamika kama ‘Miss Grand International 2014 (MGI) yatakayofanyika mwishoni mwa mwaka huu Bangkok, Thailand.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mtanzania 20 bora Miss Grand International 2014

MWANADADA Lorraine Clement aliyeiwakilisha Tanzania katika mashindano la urembo la kimataifa ya Miss Grand International 2014, amefanikiwa kushika nafasi ya 20 bora katika shindano lililofanyika mjini, Bangkok,Thailand. Kwa kushika nafasi...

 

10 years ago

Michuzi

MPIGIE KURA BINTI WA KITANZANIA LORRAINE MARRIOT KATIKA SHINDANO MISS GRAND INTERNATIONAL 2014

HAYA HAYA WADAU TUMPIGIE KURA BINTI WA KITANZANIA LORRAINE MARRIOT KATIKA SHINDANO KUBWA DUNIANI, MISS GRAND INTERNATIONAL 2014, LINALOFANYIKA BANGKOK, THAILAND, MWISHO WA KUPIGA KURA NI TAREHE 5 OCTOBER 2014 (3;00 PM BANGKOK TIME), UNAWEZA KUPIGA MARA NYINGI UWEZAVYO, MUWEZESHE LORRAINE KUINGIA KATIKA FINALISTS 15 BORA JINSI YA KUPIGA KURA BONYEZA LINK HIYO HAPA CHINI NA WEKA ALAMA YA VYEMA KWENYE JINA LA TANZANIA LORRAINE...

 

11 years ago

Michuzi

MSHINDI WA MISS TANZANIA BEAUTY CONTEST USA 2014 KUSHIRIKI REDD'S MISS TANZANIA

KWA MARA YA KWANZA MSHINDI  KWENDA KUIWAKILISHA USA KWENYE MASHINDANO YA REDD'S MISS TANZANIA  2014 - JIJINI DAR-ES-SALAAM MSHINDI WA 1,2,3 KILA KANDA KUJA DC KWENYE FINALS AMBAPO  MKURUGENZI NA MWAKILISHI WA MISS TANZANIA KUTOKA TANZANIA WATAKUWEPO KUTOA TAJI HILO.
MSHIRIKI LAZIMA AWE NA MAKARATASI YA KUSAFIRIA  VENUES & REGISTRATION -DROPPING NEXT   MAELEZO-TUANDIKIE ## MISSTANZANIA2014@GMAIL.COM

 

11 years ago

GPL

KWA MARA YA KWANZA MSHINDI WA MISS TANZANIA BEAUTY CONTEST USA KWENDA BONGO KUSHIRIKI REDD'S MISS TANZANIA 2014!‏

KWA MARA YA KWANZA MSHINDI  KWENDA KUIWAKILISHA USA KWENYE MASHINDANO YA REDD'S MISS TANZANIA  2014 - JIJINI DAR-ES-SALAAM MSHINDI WA 1,2,3 KILA KANDA KUJA DC KWENYE FINALS AMBAPO MKURUGENZI NA MWAKILISHI WA MISS TANZANIA KUTOKA TANZANIA WATAKUWEPO KUTOA TAJI HILO. MSHIRIKI LAZIMA AWE NA MAKARATASI YA KUSAFIRIA VENUES & REGISTRATION -DROPPING NEXT  MAELEZO-TUANDIKIE ## MISSTANZANIA2014@GMAIL.COM ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Miss Grand Tanzania 2014, Lorraine Clement atua nchini apongeza Watanzania

Lorraine akiwasili muda

Lorraine Clement akipungia watu waliofika kumlaki , alipokuwa akiwasili uwanja wa ndege JNI, alipokuwa akitokea nchini, Thailand, kushiriki mashindano ya Miss Grand International 2014, ambapo Lorraine aliibuka nafasi ya 20 bora.

Na Andrerw  Chale

MWANADADA Lorraine Clement aliyeiwakilisha Tanzania katika mashindano ya urembo ya kimataifa ya Miss Grand International 2014,  na kufanikiwa kushika nafasi ya 20 bora katika shindano lililofanyika mjini, Bangkok, Thailand, ametua nchini jana...

 

10 years ago

IPPmedia

Tanzanian in top 20 of Miss Grand International


Latin American Herald Tribune
Tanzanian in top 20 of Miss Grand International
IPPmedia
Tanzanian representative in this year's edition Miss Grand International Lorraine Marriot managed to finish the event among the top twenty in the event staged in Bangkok over the weekend. She was the only Tanzanian in the event that saw Miss Cuba ...
Miss Grand International Is Self-Described “Crazy” PersonLatin American Herald Tribune
Cuba's Daryanne Lees wins Miss Grand International 2014 Title [WATCH...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Michuzi

19 WARUDISHA FOMU ZA KUSHIRIKI NICE & LOVELY MISS TANGA 2014

Mratibu wa Mac D Promotions, waandaaji wa mashindano ya Nice & Lovely Miss Tanga 2014, Benson Jackson akiongea na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari katika hoteli ya Mkonge jijini Tanga, ambapo amesema mpaka sasa jumla ya washiriki 19 wamechukua na kurudisha fomu za kushiriki shindano hilo linalosubiriwa kwa hamu kubwa na wakazi wa jiji la Tanga, shindano ambalo litafanyika jumamosi ya tarehe 21/ 06/ 2014 Mkonge Hotel. Gari aina ya Toyota Vitz atakalokabidhiwa mshindi wa shindano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani