Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miss Grand Tanzania 2014, Lorraine Clement atua nchini apongeza Watanzania

Lorraine akiwasili muda

Lorraine Clement akipungia watu waliofika kumlaki , alipokuwa akiwasili uwanja wa ndege JNI, alipokuwa akitokea nchini, Thailand, kushiriki mashindano ya Miss Grand International 2014, ambapo Lorraine aliibuka nafasi ya 20 bora.

Na Andrerw  Chale

MWANADADA Lorraine Clement aliyeiwakilisha Tanzania katika mashindano ya urembo ya kimataifa ya Miss Grand International 2014,  na kufanikiwa kushika nafasi ya 20 bora katika shindano lililofanyika mjini, Bangkok, Thailand, ametua nchini jana...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

LORRAINE ATUA NCHINI APONGEZA WATANZANIA

Lorraine Clement akimshukuru Mungu, alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akitokea nchini, Thailand, kushiriki mashindano ya Miss Grand International 2014, ambapo Lorraine aliibuka nafasi ya 20 bora. Lorraine Clement akipungia watu waliofika kumlaki alipowasili jijini…

 

10 years ago

Michuzi

MPIGIE KURA BINTI WA KITANZANIA LORRAINE MARRIOT KATIKA SHINDANO MISS GRAND INTERNATIONAL 2014

HAYA HAYA WADAU TUMPIGIE KURA BINTI WA KITANZANIA LORRAINE MARRIOT KATIKA SHINDANO KUBWA DUNIANI, MISS GRAND INTERNATIONAL 2014, LINALOFANYIKA BANGKOK, THAILAND, MWISHO WA KUPIGA KURA NI TAREHE 5 OCTOBER 2014 (3;00 PM BANGKOK TIME), UNAWEZA KUPIGA MARA NYINGI UWEZAVYO, MUWEZESHE LORRAINE KUINGIA KATIKA FINALISTS 15 BORA JINSI YA KUPIGA KURA BONYEZA LINK HIYO HAPA CHINI NA WEKA ALAMA YA VYEMA KWENYE JINA LA TANZANIA LORRAINE...

 

10 years ago

Michuzi

LORRAINE ATUA NCHINI, ASHUKURU NA KUPONGEZA WATANZANIA

Lorraine akiwasili mudaLorraine Clement akipungia watu waliofika kumlaki , alipokuwa akiwasili uwanja wa ndege JNI, alipokuwa akitokea nchini, Thailand, kushiriki mashindano ya Miss Grand International 2014, ambapo Lorraine aliibuka nafasi ya 20 bora.
Na Andrew ChaleMWANADADA Lorraine Clement aliyeiwakilisha Tanzania katika mashindano ya urembo ya kimataifa ya Miss Grand International 2014, na kufanikiwa kushika nafasi ya 20 bora katika shindano lililofanyika mjini, Bangkok, Thailand, ametua nchini jana Oktoba 9...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kushiriki Miss Grand International 2014

Kwa mara ya kwanza katika historia, mshiriki kutoka Tanzania ataliwakilisha Taifa kwenye mashindano ya urembo ya kimataifa yanayofahamika kama ‘Miss Grand International 2014 (MGI) yatakayofanyika mwishoni mwa mwaka huu Bangkok, Thailand.

 

9 years ago

Michuzi

MISS TANZANIA Lorraine at Miss Universe 2015

 Lorraina C. Marriot, Miss Universe Tanzania 2015 poses for a photo at The Venetian in Las Vegas, Nevada on Monday, December 7th. The 2015 Miss Universe contestants are touring, filming, rehearsing and preparing to compete for the DIC Crown in Las Vegas. Tune in to the FOX telecast at 7:00 PM ET live/PT tape-delayed on Sunday, Dec. 20, from Planet Hollywood Resort & Casino in Las Vegas to see who will become Miss Universe 2015. HO/The Miss Universe OrganizationKeywords: Miss Universe 2015,...

 

11 years ago

Michuzi

HOYCE TEMU AHAMASISHA WATANZANIA KUMPIGIA KURA MISS TANZANIA USA 2014 KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA MISS AFRICA USA

IMG-20140727-WA0011Miss Tanzania USA 2014, Joy Kalemera katika pozi kabla ya mahojiano na Mtangazaji wa kipindi cha "Mimi na Tanzania" Hoyce Temu nchin Marekani.
Mpigie Kura Miss Tanzania USA, Joy Kalemera anayeshiriki kinyang'ayiro cha kumtafuta Miss Africa USA. Mtangazaji wa Mimi Na Tanzania Hoyce Temu ambaye pia ni Miss Tanzania 1999 yupo nchini Marekani na amefanya mahojiano na mrembo huyo.Usikose kuangalia marudio ya mahojiano hayo kwenye kipindi cha "Mimi na Tanzania" Jumamosi ya tarehe 2 August ,2014...

 

9 years ago

Michuzi

Lorraine Marriot - Miss Universe Tanzania 2015

Picha ya Lorraine Marriot -Miss Universe Tanzania 2015 akiwa Las Vegas - Official Photo Head shot

 

11 years ago

GPL

HOYCE TEMU AHAMASISHA WATANZANIA KUMPIGIA KURA MISS TANZANIA USA 2014 KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA MISS AFRICA USA‏

Pichani ni Miss Tanzania USA 2014, Joy Kalemera katika pozi kabla ya mahojiano na Mtangazaji wa kipindi cha "Mimi na Tanzania" Hoyce Temu nchin Marekani. Miss Tanzania 1999 ambaye pia ni Mtangazaji wa kipindi cha "Mimi na Tanzania" Hoyce Temu akipata ukodak na Miss Tanzania USA, Joy Kelemera baada ya mahojiano maalum nchini Marekani. Let us all wish her all the best!… ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mtanzania 20 bora Miss Grand International 2014

MWANADADA Lorraine Clement aliyeiwakilisha Tanzania katika mashindano la urembo la kimataifa ya Miss Grand International 2014, amefanikiwa kushika nafasi ya 20 bora katika shindano lililofanyika mjini, Bangkok,Thailand. Kwa kushika nafasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani