LORRAINE ATUA NCHINI, ASHUKURU NA KUPONGEZA WATANZANIA
Lorraine Clement akipungia watu waliofika kumlaki , alipokuwa akiwasili uwanja wa ndege JNI, alipokuwa akitokea nchini, Thailand, kushiriki mashindano ya Miss Grand International 2014, ambapo Lorraine aliibuka nafasi ya 20 bora.
Na Andrew ChaleMWANADADA Lorraine Clement aliyeiwakilisha Tanzania katika mashindano ya urembo ya kimataifa ya Miss Grand International 2014, na kufanikiwa kushika nafasi ya 20 bora katika shindano lililofanyika mjini, Bangkok, Thailand, ametua nchini jana Oktoba 9...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/Lorraine-Clement-akishukuru.jpg)
LORRAINE ATUA NCHINI APONGEZA WATANZANIA
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Miss Grand Tanzania 2014, Lorraine Clement atua nchini apongeza Watanzania
Lorraine Clement akipungia watu waliofika kumlaki , alipokuwa akiwasili uwanja wa ndege JNI, alipokuwa akitokea nchini, Thailand, kushiriki mashindano ya Miss Grand International 2014, ambapo Lorraine aliibuka nafasi ya 20 bora.
Na Andrerw Chale
MWANADADA Lorraine Clement aliyeiwakilisha Tanzania katika mashindano ya urembo ya kimataifa ya Miss Grand International 2014, na kufanikiwa kushika nafasi ya 20 bora katika shindano lililofanyika mjini, Bangkok, Thailand, ametua nchini jana...
10 years ago
VijimamboBONDIA OMARI KIMWERI ATUA NCHINI NA MWANASOKA WA KIKE WA NCHINI HISPANIA
9 years ago
Habarileo04 Sep
Massaburi akiri kupongeza Chadema walioandamana
MGOMBEA Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Didas Massaburi amekiri kuwapongeza vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) walioandamana kuunga mkono hotuba ya aliyekuwa Katibu Mkuu wao, Dk Willibrod Slaa na kujiunga na CCM, akisema anakubaliana na hoja zilizotolewa.
10 years ago
Vijimambo23 Apr
DJ PETER MOE ATUA NCHINI MAREKANI
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t34.0-12/11139795_10203909128837976_322987610_n.jpg?oh=93e2f0412f3090dfacb0a0d99e6f7d82&oe=553B10A0)
Dj Peter Moe akiwa kwenye moja ya Hotel aliyafikia alipokua Washington, DC alipokua amekuja kwa kazi maalum nchini Marekani
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t34.0-12/11166064_10203909128117958_1559437999_n.jpg?oh=a13a559859179b2b660a40f369b1ee37&oe=553B3DC4)
Dj Peter Moe akipata picha ya kumbukumbu
10 years ago
GPL03 Dec
DIAMOND ATUA NCHINI NA KUPATA MAPOKEZI YA NGUVU
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Rais wa Ujeruman atua nchini, aja na wafanyabiashara 14
10 years ago
Michuzi22 Jan
11 years ago
Michuzi23 Apr