TANZANIA WAPIGWA CHINI UENYEJI WA AFCON 2017
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limefahamishwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kuwa Tanzania haitaweza kuwa mwenyeji wa Fainali za Afrika- AFCON 2017 kwa kuwa haijawahi kuandaa fainali zozote za vijana Afrika. Fainali hizo ni zile za vijana wenye umri chini ya miaka 17 na 20.
Hivyo, TFF inaelekeza nguvu zote katika kuandaa Fainali za Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka U17 mwaka 2019.
Tunapenda kuchukua fursa hii kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili07 Sep
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
Misri si mwenyeji wa AFCON 2017
10 years ago
Mwananchi26 Aug
TFF yaomba kuandaa Afcon 2017
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Nani kuandaa fainali za Afcon 2017?
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/77134000/jpg/_77134617_161377467.jpg)
Libya withdraw as 2017 Afcon hosts
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82161000/jpg/_82161360_nationscuptrophy.jpg)
Caf set to vote for Afcon 2017 hosts
10 years ago
Mwananchi29 Sep
MAONI: Serikali za Afrika Mashariki zipiganie Afcon 2017
11 years ago
Mwananchi31 May
Wanane wapigwa chini Simba