TANZANIA YACHUKUA UWENYEKITI WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA KWA MWEZI MEI 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-bqdiGiw2bFU/U2USc4n5PRI/AAAAAAAFfLw/-6l62lProWU/s72-c/PICHA+PSC+OPENING.jpg)
Mhe. Naimi Aziz, Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia na mwakilishi wa kudumu katika Umoja wa Afrika akiongoza mkutano wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika uliofanyika tarehe 2 Mei 2014 mjini Addis Ababa, Makao Makuu ya Umoja huo. Tanzania itakuwa mwenyekiti wa chombo hicho muhimu kinachoshughulikia Amani na Usalama barani Afrika kwa kipindi cha Mwezi Mei 2014. Katika kipindi cha Uwenyekiti wake, Tanzania pamoja na mambo mengine itaongoza Baraza hilo katika kujadili na kutafuta...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziBARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA LAADHIMISHA MIAKA 10 KUANZISHWA KWAKE CHINI YA UWENYEKITI WA TANZANIA
11 years ago
MichuziTANZANIA YAONGOZA MKUTANO WA PAMOJA KATI YA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA (AU) NA KAMATI YA SIASA NA USALAMA YA UMOJA WA ULAYA (EU) MJINI BRUSSELS, UBELGIJI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OAw5aRoV7Ug/VAW3rQb1RhI/AAAAAAAGbYE/SBL-MX_vbsQ/s72-c/k1.jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA AMANI NA USALAMA WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA JIJNI NAIROBI
![](http://1.bp.blogspot.com/-OAw5aRoV7Ug/VAW3rQb1RhI/AAAAAAAGbYE/SBL-MX_vbsQ/s1600/k1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HPgp8vM0-gE/VAW3rEnRHOI/AAAAAAAGbYA/xdP9i7U8zsE/s1600/k2.jpg)
11 years ago
MichuziTANZANIA YAONGOZA MJADALA WA WAZI (OPEN SESSION) WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA KUHUSU WATOTO NA VITA BARANI AFRIKA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Tiyt1Izo91k/U2uzPcb-GlI/AAAAAAAFgVo/7H-xETYCFFY/s72-c/unnamed.jpg)
TANZANIA YAONGOZA MJADALA WA WAZI (OPEN SESSION) WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA KUHUSU WATOTO NA VITA BARANI AFRIKA (CHILDREN AND ARMED CONFLICTS IN AFRICA) JIJINI ADDIS ABABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Tiyt1Izo91k/U2uzPcb-GlI/AAAAAAAFgVo/7H-xETYCFFY/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HkFEzRB98LOf0is2XWbOIBWQySqKnBDn1QM5lhEiFxqL7gYKXUwkt7rn-KrEsqBoVJON2Ww-TEqkLAoefCSCpEUy5kDmwxQ8/jk.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA JIJNI NAIROBI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMSn*Nm0m4erJtPB7loYgIikURE--5LzWI6O2bhCLJiaywT2Sodg9CWjZTegIkcSLyB3rXOQAWUIqOcL4Ml7dXe2/unnamed12.jpg?width=650)
TANZANIA YACHUKUA RASMI UENYEKITI WA BARAZA LA MAWAZIRI LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iTEb9k4b95Y/VHjUvvkhWjI/AAAAAAAG0Ao/9RZCVSS_0wo/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
Tanzania yachukua Rasimi Uenyekiti wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika mashariki
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8aKrVSgsYDU/XmuMBmym1iI/AAAAAAALi8A/dHbnCbz9l-0tSt5WkBeMwNV77G8dLXkcwCLcBGAsYHQ/s72-c/21.jpg)
BALOZI HESS: TANZANIA NI NGOME YA ULINZI WA AMANI NA USALAMA AFRIKA
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es Salaam na Balozi mteule wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani, Regina Hess wakati wa hafla ya uzinduzi wa karakana kuu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) iliyojengwa na Serikali ya Ujerumani kwa gharama ya Tsh. Bilioni 8.5....