taswira mwanana ufukweni wakati wa mawingu ya mtawanyiko bila jua
![](http://4.bp.blogspot.com/-3HFrZkp22Hs/U5rCcPtNunI/AAAAAAAFqT4/2ohQ1BIADYY/s72-c/20140518_161826.jpg)
Siku moja moja Ankal huweka kamera begani na kwenda kusaka taswira. Hapa ni ufukwe wa Kunduchi jijini Dar es salaam ambako baharini kuna wadau wakicheza mchezo wa baharini
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8SyPPoRvAGM/U81cQXIY4eI/AAAAAAAF4gs/Dfpr_k-yVcg/s72-c/unnamed+(36).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q6pthd5Uos4/Vd-BQs9KbCI/AAAAAAAH0iI/-AcLw9QMfXI/s72-c/MMGL2945%2Bcopy.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_0zhqh9tSr0/UylotTzlMBI/AAAAAAAFU1Y/W0Ak_ai1Bcg/s72-c/MMG20490.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3K09E16IsDs/UxlpyD6eoBI/AAAAAAAFRno/iYGNNh-NZrc/s72-c/Mafuriko.jpg)
TASWIRA MWANANA ZA MATUMIZI YA BARABARA BAADA YA KUNYESHA KWA MVUA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-3K09E16IsDs/UxlpyD6eoBI/AAAAAAAFRno/iYGNNh-NZrc/s1600/Mafuriko.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b3UzzqvIWVA/Uxlp0l7JMUI/AAAAAAAFRnw/T_IH-QYe4UI/s1600/DSC_0279.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-j8GRTbDTlu8/Uxlp2vXvqGI/AAAAAAAFRn4/C8WNH3PyNXo/s1600/DSC_0305.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Q2u6IXcjmWE/VKE3hGKTAKI/AAAAAAAG6V4/vDdpvyr4FA8/s72-c/DSC_1097.jpg)
TASWIRA MWANANA ZA JIJINI DAR LEO BAADA YA MVUA YA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q2u6IXcjmWE/VKE3hGKTAKI/AAAAAAAG6V4/vDdpvyr4FA8/s1600/DSC_1097.jpg)
Baada ya mvua ya kubwa ya kama masaa mawili mfululizo,maeneo mengi jijini Dar yamejaa maji na kupelekea adha kubwa kwa wakazi wa jiji hili.Pichani ni eneo la Morogoro Road.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fv2Du3ZjdoA/VKE3hkYdPEI/AAAAAAAG6WA/CiAImmwUz0Q/s1600/DSC_1107.jpg)
Barabara ya Bibi Titi Mohamed mambo yalikuwa namna hii,wenye magari madogo walipita kwa staili ya maji ya shingo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZYgMINwGN2o/VKE3gl8M6BI/AAAAAAAG6V0/NebeZTj4ic4/s1600/DSC_1105.jpg)
Matolori ya kuuzia ice creame yakionekana kununiwa leo,huku wapita njia wakiendelea kupiga mbizi kwenye maji hayo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-w2zA45p3-YU/VKE3jxAjBSI/AAAAAAAG6Wk/D_KJErjo5D8/s1600/DSC_1132.jpg)
Hapa ndio inakuwaga kimbebe,maana daladala ndio lishabuma tena.
![](http://3.bp.blogspot.com/-E2U6E7KWr9U/VKE5P-BqPlI/AAAAAAAG6X4/eMPQS2Xyxqg/s1600/DSC_0114.jpg)
Hakuna namna nyingine ya kuyakwepa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GfEm3Ytt0bs/U4JssbgtxGI/AAAAAAAFk-M/tXAy3VbXfdM/s72-c/MMGN8616.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania