Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAZAMA PICHA 5 ZA USINGIZI WA SPIKA WA BUNGE UZUNGUNI DODOMA KIROHO SAFI

Hatimaye Spika wa Bunge la Tanzania pale Dodoma atakuwa na makazi rasmi baada ya ujenzi wa nyumba ya Spika kukamilika na makabidhiano kufanyika. Nyumba hiyo ambayo ipo maeneo yaUzunguni nje kidogo ya Dodoma mjini imegharimu takribani Tshs Billion 1.5 imejengwa na kampuni ya Pacha Building Construction Company. Hii inakuwa nyumba ya kwanza rasmi ya Spika kwani hapo awali hapakuwahi kuwa na nyumba rasmi ya Spika.Mlango wa mbeleUpande wa nyuma wa jengoNgazi ndani ya jengo ambalo lina vyumba...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZA MTANANGE WA YANGA NA AZAM JITIRIRISHE CHINI KIROHO SAFI

Kikosi cha timu ya Azam FCKikosi cha timu ya Yanga.Wachezaji wa timu ya Azam FC wakishangilia goli yao la kwanza dhidi ya Yanga.
Mshambuliaji wa Yanga,Hamis Tambwe akiipatia timu yake bao la kusawazisha katika mtanange wa muendelezo wa ligi kuu Tanzania bara uliochezwa kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salaam .Picha zote na Othman Michuzi.Mfungaji wa goli la kwanza kwa timu ya Yanga,Hamis Tambwe na Mfungaji wa Bao la pili,Simon Msuva wakishangia ushindi wao dhidi ya timu ya Azam katika...

 

5 years ago

Michuzi

SPIKA NDUGAI AONGOZA VIONGOZI MKOA WA DODOMA KUKAGUA UJENZI WA SHULE YA WASICHANA YA BUNGE MKOANI DODOMA

 Spika wa Bunge, Job Ndugai akizungumza na viongozi wa Mkoa wa Dodoma, kamati ya ujenzi wa Shule wakati walipotembelea na kujionea ujenzi wa Shule ya Wasichana ya Bunge ya kidato cha Tano na Sita iliyopo Kikombo Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma. Kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Patrobas Katambi, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Ndg. Godfrey Kunambi, Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Dkt. Binilith Mahenge na Katibu Tawala Mkoa wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MAISHA KUSAIDIANA KIROHO SAFI

Mambo ya usawa ndiyo haya ukipenda boga

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

NDIYO HABARI YA MJINI SASA KIROHO SAFI

Baada ya kuwa ni wazi sasa kuwa wawili hao wapo kwenye Le Project flani Amazing..sasa wameamua kutupia picha kwenye kurasa zao za mitandaoni wakiwa kitandani.
Alianza Ommy na badae akafuta Wema ambae aliweka picha hizo jana usiku na kuwatakia followers wake usiku mwema.
Penzi la watu hawa linaendelea kuzua mvutano mkali kati ya wale ambao wanaona sawa na wale ambao wanaona kama sio sawa, wanaosema sawa wanasema,baada ya watu kuachana kila mmoja ana haki ya kula maisha na anaempenda hivyo...

 

10 years ago

Vijimambo

THE BOSSLADY NDANI YA IKULU YA WASAFI KIROHO SAFI


Hizi tatu, Zari The Boss lady ndani ya nyumba mpya ya Diamond Platnumz.
Zari the boss lady ameshare picha ya chumba cha kulala kwenye jumba la kifahari la Diamond Platnumz lililopewa jina ‘[State House]. Zari aliweka picha ya Gypsum ambayo imetengenezwa peke kwaajili ya Diamond Platnumz huku ujumbe ukisema [Gotta love ny current view]

 

10 years ago

Vijimambo

JITIRIRISHE NA HII KUTOKA KWA KIBA FOR REALLY KIROHO SAFI

Baada ya kutamba na wimbo wake wa “Mwana Dar Es Salaam” Msanii Mkali Wa Bongo Flaiva Alikiba Ameachia Wimbo Wake Mpya Leo Unaitwa "Chekecha Chekechua".

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani