Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TEAM WEMA Wapumua,Project Mpya Ya Wema

Makundi ya mashabiki mitandaoni maarufu kama TEAMS yamekuwa ni sehemu ya maisha ya mtandaoni ya wasanii na watu maarufu wengi hapa nchini. Linapokuja swala ya ushabiki na mada nzito team hizi  huvutana kwa kutupiana maneno na wakati mwingine hadi maneno makali.

Siku za hivi karibuni baada ya mwigizaji Wema Sepetu alipoachana na mpenzi wake Diamond Platnum, na badaye Diamond kuamua kutoka na mwanamama Zari kutoka nchini Uganda, Mashabiki (TEAM) wa Diamond na wale wanaomponda Wema Sepetu...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

TEAM WEMA Yapumua,Project Mpya Ya Wema

Makundi ya mashabiki mitandaoni maarufu kama TEAMS yamekuwa ni sehemu ya maisha ya mtandaoni ya wasanii na watu maarufu wengi hapa nchini. Linapokuja swala ya ushabiki na mada nzito team hizi  huvutana kwa kutupiana maneno na wakati mwingine hadi maneno makali.

Siku za hivi karibuni baada ya mwigizaji Wema Sepetu alipoachana na mpenzi wake Diamond Platnum, na badaye Diamond kuamua kutoka na mwanamama Zari kutoka nchini Uganda, Mashabiki (TEAM) wa Diamond na wale wanaomponda Wema Sepetu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Team Wema Wakwera na Tabia ya Watu Kumzushia Wema

Baada ya Picha za staa mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu akiwa na mshindi wa Big Brother Africa (BBA) 2014, Idris Sultan wakiwa kwenye moja ya supermarket hapa jijini Dar kusambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii zaidi ya moto wa vifuu  huku kila mtu akiandika lake kuhusiana na kile alichokiaona, Team Wema waneoneshwa kukerwa na tabia za watu kumzushia Wema  kwenye mahusiano.

Licha ya ukweli ni kwamba Wema na Idris wanaonekana kikazi zaidi, yaani ulikuwa ni wito maarumu kutoka kwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Team Wema Wakwerwa na Tabia ya Watu Kumzushia Wema

Baada ya Picha za staa mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu akiwa na mshindi wa Big Brother Africa (BBA) 2014, Idris Sultan wakiwa kwenye moja ya supermarket hapa jijini Dar kusambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii zaidi ya moto wa vifuu  huku kila mtu akiandika lake kuhusiana na kile alichokiaona, Team Wema waneoneshwa kukerwa na tabia za watu kumzushia Wema  kwenye mahusiano.

Licha ya ukweli ni kwamba Wema na Idris wanaonekana kikazi zaidi, yaani ulikuwa ni wito maarumu kutoka kwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Team Wema Wakerwa na Tabia ya Watu Kumzushia Wema

Baada ya Picha za staa mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu akiwa na mshindi wa Big Brother Africa (BBA) 2014, Idris Sultan wakiwa kwenye moja ya supermarket hapa jijini Dar kusambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii zaidi ya moto wa vifuu  huku kila mtu akiandika lake kuhusiana na kile alichokiaona, Team Wema waneoneshwa kukerwa na tabia za watu kumzushia Wema  kwenye mahusiano.

Licha ya ukweli ni kwamba Wema na Idris wanaonekana kikazi zaidi, yaani ulikuwa ni wito maarumu kutoka kwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kadinda: Sipendi ‘Drama’ za Wema, Team Wema Msinitusi

Meneja  wa staa mrembo, mjasiliamali  na mwigizaji  wa filamu, Wema Sepetu , Martin Kadinda ametoboa kuwa anapenda kila kitu kuhusu Wema isipokuwa  ‘drama’  zake na kuwasihi watu ambao ni mashabiki na watetezi wa Wema Sepetu kwa kila jambo huko mtandaoni maarufu kama Team Wema wasimtukane .

Meneja huyo ambaye ni mbunifu wa mavazi aliyasema hayo hivi juzi kati kwenye ukursa wake mtandao mara baada ya kubandika picha ya Wema akiwa ndani ya ofisi ya Hospitali ya kimataifa ambayo imeingia...

 

10 years ago

GPL

PENNY, WEMA ETI WANA PROJECT

Imelda Mtema
STAA wa filamu Bongo, Wema  Sepetu na Mtangazaji Penniel Mwingila ‘Penny’ ambao wote kwa nyakati tofauti wamewahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ baada ya kuona habari za mwenza wao huyo wa zamani akiwa na mpenziwe mpya, Zali zinapamba moto kila siku, wameibuka na kudai hawababaishwi nazo, kwani hivi sasa wameamua kuingia kazini kwa kufanya...

 

10 years ago

Vijimambo

WEMA, IDRIS MAHABA NIUE AU PROJECT


WAANDISHI WA GPLWAPENZI? Kwa mara nyingine Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu amesababisha kichwa cha habari kufuatia kunaswa ‘live’ usiku mnene akiwa na mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan wakioneshana vitendo vya ‘nakupenda tu’ mbele ya kadamnasi, Risasi Mchanganyiko lina mkanda kamili.
Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu akiwa na mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan.
NI ESCAPE ONE MIKOCHENIWawili hao walinaswa wakioneshana mahaba niue...

 

9 years ago

Bongo Movies

Picha: Wema Sepetu Akiwa na Team ya ‘Mama Ongea na Mwanao’

Hizi ni baadhi ya picha za mastaa wa bongo movies wanaokiunga mkono chama cha mapinduzi na kushiriki katika kwampeni za chama hicho kupitia kampeni yao ya MAMA ONGEA NA MWANAO.

“Dah Tunashinda kwa Kishindo kikubwa mjue.. John Pombe Magufuli na Mama Samia mpaka Ikulu....”-Wema aliandika kwenye moja ya picha hizo hapo juu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani